Chadema Digital yatikisa Mbarali, CCM yaanza kupagawa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,769
218,389
Tulionya mapema sana kwamba , huu mpango wa Chadema wa kusajili watu nyumba kwa nyumba , na huku wengine wakifuatwa hadi mashambani utakuja kuleta mtikisiko , hiki ndicho kilichotokea huko Mbarali .

Kipo chama kinaanza kuweweseka kwamba Chadema Digital isifanyike wakati wa kazi au Week end , sasa wanataka tufanye lini ?
Screenshot_2023-12-02-12-50-46-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-50-37-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-50-58-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-51-07-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-51-31-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-51-51-1.png
Screenshot_2023-12-02-12-52-10-1.png
 
Mara nyingine naona Ulaghai wa CCM viashiria vyake huku pengine..., which makes me wonder the future of Tanzania Politically.... Kama kweli kuna mtikisiko haujaonekana kwenye hizo picha mgando ulizoweka
 
Tulionya mapema sana kwamba , huu mpango wa Chadema wa kusajili watu nyumba kwa nyumba , na huku wengine wakifuatwa hadi mashambani utakuja kuleta mtikisiko , hiki ndicho kilichotokea huko Mbarali .

Kipo chama kinaanza kuweweseka kwamba Chadema Digital isifanyike wakati wa kazi au Week end , sasa wanataka tufanye lini ?View attachment 2831380View attachment 2831381View attachment 2831382View attachment 2831383View attachment 2831384View attachment 2831385View attachment 2831386
Lengo nini kukusanya takwimu halafu hazifanyiwi kazi!
 
Tulionya mapema sana kwamba , huu mpango wa Chadema wa kusajili watu nyumba kwa nyumba , na huku wengine wakifuatwa hadi mashambani utakuja kuleta mtikisiko , hiki ndicho kilichotokea huko Mbarali .

Kipo chama kinaanza kuweweseka kwamba Chadema Digital isifanyike wakati wa kazi au Week end , sasa wanataka tufanye lini ?View attachment 2831380View attachment 2831381View attachment 2831382View attachment 2831383View attachment 2831384View attachment 2831385View attachment 2831386
Mbowe hana Gorofa huko?
 
Kanda hii ya Mbeya, Iringa, Njombe, Sumbawanga ni maeneo yetu mengine CHADEMA ipo imara.

Juzi juzi kasi ya CHADEMA imesababisha CCM kuitisha uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa mkoa wa Mbeya baada za taarifa ya kisiasa na kijamii kuonesha hali ni mbaya kwa chama dola kongwe hivyo wameamua kubadili uongozi pengine wanaamini itaweza kuzuia wimbi hili la CHADEMA kukubalika nyanda hizi.

Toka maktaba :

TOKA MAKTABA

2 Julai 2023
Mbeya, Tanzania

"HIZI SIO KAULI ZA MWENYEKITI WA CCM" - DR MPANGO AKASIRIKA AMVAA MWENYEKITI WA CCM MBEYA
Miradi mingi imekwama asema mwenyekiti wa CCM mkoa na kauli hiyo kumstua makamu wa rais

View: https://m.youtube.com/watch?v=u_plPg33ltk


Kuhusu bandari, mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya alisema haya :

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya ajitosa sakata la Bandari, na uwezekano wa CCM kuanguka kisiasa. Asisitiza Uhuru wa Kusema na kukosoa una manufaa



Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Dr. Stephen Mwakajumilo aliye mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa NEC anajibu swali kuhusu sakata la bandari na uwezekano wa CCM kuanguka kisiasa kwa kukosa ushawishi na mvuto kwa wananchi.

Dr. Stephen Mwakajumilo asisitiza umuhimu wa utamaduni wa kusema kweli na kukosoa ni mzuri ili kuweza kurekebisha pale serikali ilipoishindwa ....
 
29 November 2023

ZIFAHAMU SABABU KADHAA ZA CCM KUTEUA WAGOMBEA NGAZI ZA WENYEVITI WA MIKOA NA WILAYA BAADA YA KUFANGA UTENGUZI WALIOUITA WA KIUFUNDI
1701527888232.png

Picha toka maktaba: Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM NEC ikijadili hali ya kisiasa


Kanda ya ziwa habari ni kuwa uchaguzi utafanyika baada ya utenguzi wa kiufundi uliofanyika
IMG-20230530-WA0099.jpg

Picha: Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza ndugu Sixbert Jichagu (katikati) akiwa na mkuu wa mkoa CPA Amos Makala (kushoto), wakati mkuu huyo wa mkoa wa Mwanza,alipofika ofisi za CCM kujitambulisha.

Na kwamba uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza, unakuja baada ya mwenyekiti wa mkoa wa Mwanza ndugu Sixbert Jichagu kuteuliwa kuwa DED mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Masasi. Ndugu Sixbert Jichagu alichaguliwa kwa kishindo kikubwa mwezi September 2022 lakini mwenyekiti wa taifa akampangia kituo cha kazi mwaka 2023 kuwa DED halmashauri ya Masasi.

1701527784888.png


Picha: mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya ndugu Dr. Stephen Mwakajumilo.

Wakati kwa mkoa wa Mbeya hamkani hali si shwari tena kisiasa kwa chama dola kongwe , mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya ndugu Dr. Stephen Mwakajumilo aliye mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa NEC alileta mtafaruku kwa kuhoji sababu za miradi mingi kusimama baada ya Magufuli kufariki.

Pia mwenyekiti huyo wa CCM mkoa wa Mbeya ndugu Dr. Stephen Mwakajumilo alisema kunahitajika mjadala mpana kuhusu mkataba wa bandari na kuungana mkono wananchi walioomba kupatiwa sababu za, uhalali wa bandari kupewa DP World kwa mkataba ulioonekana kuwa na utata. Msimamo wa ndugu Dr. Stephen Mwakajumilo ukaistua CCM na hata makamu wa rais akasema kuwa wanaCCM hawana utamaduni wa kuhoji waziwazi bila kupitia vikao vya ndani vya CCM kama alivyofanya ndugu Dr. Stephen Mwakajumilo mbele ya vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom