Mungu asante kwa mama uliyenipa
Mungu asante kwa mama uliyenipa
Sidhani kama anachofanya ni kibaya, hapana. Yeye ni binadamu na hisia zake.Labda useme ushukuru Mungu kwa kutokujua usichokijua, Binadamu usimwamini hata siku moja, hivyo wakati mwingine tofauti kati ya mama Mondi na mama zetu ni kwamba hawatuonyeshi wanayoyafanya, kwani mwisho wa siku mama zetu ni Wanawake, sasa kama una uzoefu na Wanawake utaelewa mambo ambayo wanafanya kwa kuficha, na kuitangazia Dunia kuwa ni Watakatifu, mimi nineshashudia mengi na Wanawake ambao kwa heshima wanaoionyesha wengi hawawezi amini wanayoyafanya.
Sidhani kama anachofanya ni kibaya, hapana. Yeye ni binadamu na hisia zake.
Ila kwa umri wake na tayari ukichukulia ana wajukuu nafikiri ni hekima zaidi at least angeweka maisha yake private.
Sidhani kwa kuwa wazazi wetu huwa tunajua wanafanya tendo la ndoa, ndio wafanye hadharani sasa.
Yeye na kina Official Lyyn wana tofautu gani sasa kwa tabia hiyo ?
Inawezekana aliruka stage, hakuyafanya haya enzi za ujana ndomana hisia zinamwambia afanye Sasa. Na zinamwambia ajione Ni kijana kwasasa
Hakuna anaemzuia kufanya, kibaya ni unafanya alafu unawaonyeshea walimwengu kua unafanya, kwa umri wake hapana si sawa kabisa hayo mambo awaachie mabinti
Yeye apigwe Miti Kimya kimya
Huyu bi mkubwa na anko wanapoelekea kuna siku tutaona PILAU lake na anko,tuanze kukimbizana kutafuta connection,smartphone sio za kuziendekeza.