Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,194
- 4,112
Diamond amepost kwenye page yake ya Instagram kuwa ataongea na waandishi wa habari kesho huku kukiwa na uvumi wa utata kwenye mahusiano yake.
Inasemeka kuwa Diomond na Tanasha wapo kwenye mgogoro mzito na ikidaiwa kuwa penzi lao limefika mwisho. Je, ndicho kitu ambacho Diamond anataka kukizungumzia kesho kwa waandishi wa habari?
Jambo hilo bado limewaacha watu wengi na maswali kama ni kweli wameachana au ni uvumi wa watu, naamini kesho watapata majibu juu ya utata uliopo kwenye mahusiano ya wazazi wenza hawa.
Inasemeka kuwa Diomond na Tanasha wapo kwenye mgogoro mzito na ikidaiwa kuwa penzi lao limefika mwisho. Je, ndicho kitu ambacho Diamond anataka kukizungumzia kesho kwa waandishi wa habari?
Jambo hilo bado limewaacha watu wengi na maswali kama ni kweli wameachana au ni uvumi wa watu, naamini kesho watapata majibu juu ya utata uliopo kwenye mahusiano ya wazazi wenza hawa.