Sijajua ni woga wa watangazaji ama mbinu za kumfanya aendelee
Kuwa vinywani
Mwa watu?ooh unamuongeleaje diamond? Vipi mchango wa diamond kwenye mziki? Unaonaje anavyowakilisha kimataifa? Waacheni huru wanaohojiwa
hiyo kitu inakera sometimes, kuna siku jux alikuwa na interview block 89, maswali ni mbona nyimbo yako na diamond haipigwi clouds? jux akawa anajishtukia, mara ooh tumesikiliza albul review clouds hatukusikia wana review nyimbo uliyofanya na diamonds, sasa baada ya siku tatu akapewa interview clouds, maswali aliyoulizwa clouds ilifanya jamaa afunguke sana kuhusu mahusiano yake na kisa cha kuachana na vee, ile interview ilitrend sana. clouds wanajua sana kumu aploach msanii kwenye interview, hao wengine bado wanawafikilia clouds.
Rich mavoko alipotaka kuvunja mkataba aliambiwa atoe milion 250 akachemka matokeo yake kila kitu akampoka mpaka akaunti za kijamiii harmonize alipotaka kujitegemea akaambiwa atoe milion 500 kuvunja mkataba kisha na gharama za kurecord kila nyimbo rayvanny alijaribu kuuliza ki utani utan je...
Sio wasafi tu hata radio,Tv na hata online Tv nyingine huwa wanamzungumzi huyu jamaa kwenye interview zao hata clouds na Earadio kama n msikilizaji mzuri utagundua hlo japo huwa sio direct ko sio hajabu labda kama ww umewaona hao wasafi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.