demokrasia

  1. G Sam

    Bunge la Senate lapongeza zuio la Paul Makonda kuingia Marekani. Lasema huo ni mwanzo wa kuwawajibisha walioua demokrasia ya Tanzania

    Siongei sana
  2. Azizi Mussa

    Utafiti kuhusu mitandao ya kijamii na demokrasia

    Salama wakuu, Wakuu wana JF, Tunafanya utafiti kuhusu Mchango wa mitandao ya kijamii kwenye demokrasia Tanzania. Lengo la utafiti huu ni kutafuta taarifa zitakazojibu maswali mbalimbali kuhusu uhusiano wa mitandao ya kijamii na demokrasia. Maswali yanayohitaji kupatiwa majibu ni pamoja na...
  3. Erythrocyte

    ACT - WAZALENDO kuanza ziara nje ya nchi ili kuihami demokrasia ya Tanzania

    Viongozi wa ziara hiyo inayoanza mara moja ni Zitto Kabwe na Nassor Mazrui , ambao wamepanga kuonana na watanzania walio nje ya nchi pamoja Mabeberu ili kuzuia ukandamizaji wa demokrasia nchini Tanzania ambao umefikia kiwango cha kutisha . Watanzania wote makini wako tayari kuthamini mchango wa...
  4. K

    Dr. Bashiru Ally sio mwanasiasa ni mnunuzi na mkomunisti asiyependa demokrasia

    Yaani wakati wa kinana kidogo ulikuwa unaona kabisa kuna sera za kukampeni na wabunge na wagombea wengine walikuwa wanashindana na kishinda na kushidwa. Sasa huyu Profesa ambaye hajui, hapendi na wala si mwana siasa sera yake ni kupambana na viongozi wa uchaguzi kuzuia wagombea, kuingiza wakuu...
  5. Mwanahabari Huru

    Tundu Lissu: Salamu za sikukuu ya Noeli na Mwaka Mpya kwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

    Kwa viongozi, wanachama na wafuasi wa Chama chetu na Watanzania wote kwa ujumla, PEOPLE'S Naomba nianze kwa kuwapa salamu za msimu huu wa Sikukuu ya Noeli na kuwatakia kila lenye kheri katika Mwaka Mpya unaokuja. Pili, naomba kuwapongeza kwa kukamilisha Uchaguzi Mkuu wa Chama chetu katika...
  6. FRANC THE GREAT

    Katika taifa la 'Kidemokrasia' na lenye 'Hazina Kubwa' ya Viongozi, kuna ulazima gani wa Kiongozi wa taifa hilo kuongezewa muda wa madaraka?

    Salamu! Katika taifa linalo jinasibu kuwa ni la 'Kidemokrasia' na pia lenye 'Hazina Kubwa' ya viongozi (wa kila rika na jinsia), kuna ulazima ama umuhimu gani kwa kiongozi wa taifa hilo kuongezewa ukomo wa muda wa kukaa madarakani? Nafahamu kuna watakaosema kuwa "kama wananchi wanahitaji...
  7. B

    Dr. Lwaitama: Sera pacha ya Demokrasia na Maendeleo

    December 11, 2019 Dar-Es-Salaam, Tanzania Mada : Sera pacha ya Maendeleo ya Watu na Maendeleo ya Vitu Dr. Azaveli Lwaitama akizungumza na wazee wa CHADEMA ameainisha jinsi sera pacha ya Demokrasia na Maendeleo inavyoshika kasi ushawishi miongoni mwa watu-huru. Sera hii pacha ina kwenda...
  8. M

    Freeman Mbowe: Rais leta maridhiano ya Kitaifa, sisi CHADEMA tuko tayari

    Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amemtaka Rais Magufuli kuleta maridhiano ya kitaifa na kwamba yeye na chama chake wamenyoosha mkono wa mapatano. Ifuatayo ni Hotuba Fupi ya Kiongozi Mkuu wa Upinzani nchini Tanzania Freeman Aikael Mbowe mbele ya Watanzania katika kuadhimisha miaka 58 ya...
  9. DAT BOY SU

    Demokrasia ya vyama vya upinzani nchini vingi kama sio vyote inatia shaka na ukakasi

    Demokrasia ya vyama vyetu vya upinzani hapa kwetu inatia mashaka sana maana vyote vimekuwa vinahubiri yale wasiotenda wala kuyafanya katika vyama vyao. Vingine tena vimekuwa sio tena vyama vya upinzani bali vyama vya kiharakati maana wameshindwa kutofautisha ule mstari unawagawa kati yao...
  10. Roving Journalist

    Mzee Frederick Tluway Sumaye ajiondoa CHADEMA. Asema mambo yamembadilikia CHADEMA baada ya kuchukua fomu kugombea Uenyekiti Taifa

    Frederick Sumaye ameita waandishi wa habari leo Jumatano Desemba 4, 2019. Sumaye ameitisha mkutano huo siku chache baada ya kushindwa uchaguzi wa uenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani. Licha ya kuwa mgombea pekee, alipigiwa kura 48 za hapana kati ya kura 76. Kulingana na taratibu za chama hicho...
  11. Jidu La Mabambasi

    Nadharia ya demokrasia ndani ya CHADEMA na ukomo wa kipindi cha Uenyekiti

    Ni kiherehere changu tu kujiuliza swali la kimsingi kabisa la demokrasia ndani ya CHADEMA. Mimi si mwanachama wa chama hiki cha upinzani lakini ndio chama rasmi kinachoongoza kambi ya upinzani bungeni. Sasa hivi CHADEMA wamo katika mchakato wa uchaguzi ndani ya chama na kati ya vinyang'anyiro...
  12. N

    Kwa uhalifu wa demokrasia unaofanywa na CCM, bado kinastahili kuitwa chama cha siasa?

    Sote tumeshuhudia uvuruga wa demokrasia unaoendelea nchini chini ya usimamizi wa CCM. CCM imesimika sheria za kiimla na za kidikteta ambazo hata wakoloni hawakutunga sheria za kihalifu za kiwango kikubwa kiasi hiki. Sote tumeona kwa macho na tumesikia kwa masikio katibu mkuu wa CCM akiikana...
  13. J

    Prof. Kabudi ahudhuria hafla ya uzinduzi ripoti ya BBI nchini Kenya inayopendekeza uwepo wa cheo cha Waziri Mkuu na Kiongozi wa Upinzani Bungeni

    Waziri wa mambo ya nje Prof. Kabudi amehudhuria hafla ya uzinduzi wa ripoti ya Building Bridge Initiatives (BBI) nchini Kenya ambayo imehudhuriwa na viongozi wote wakuu wa Jamhuri ya Kenya. Miongoni mwa mapendekezo ya BBI ni haya: 1. Uwepo wa cheo cha Waziri mkuu ambaye ni lazima awe Mbunge wa...
  14. Beira Boy

    Nzega: Rais Magufuli asema Demokrasia imeimarika sana nchini ndio maana wengine walijitoa kwenye uchaguzi, wengine wakashinda na kushindwa

    Aman iwe juu yenu wakuu, Rais Magufuli akiwa njiani Wilaya ya Nzega kuelekea Shinyanga amewahutubia wananchi wa Wilaya ya Nzega na kuwapongeza viongozi wote walioshinda katika Uchaguzi wa Serikari za Mitaa. Aidha, katika hotuba hiyo Raisi Magufuli akigusia kuhusu Uchaguzi wa Serikali za mitaa...
  15. CHIPESI NAMISUKU

    Vita ya uenyekiti na ngazi nyingine kikanda zinavyominya demokrasia ndani ya CHADEMA

    Uchaguzi wa chama cha demokrasia na maendeleo unaoendelea mpaka sasa tumeanza kushuhudi uminywaji wa demokrasia, ukabila na ukanda vimeshika kasi kubwa. Kwa wazoefu wa uchaguzi ndani ya chama hicho wameeleza wazi kuwa ndani ya chama kumekuwa na ngazi za uongozi zimeonekana kuwa ni za baadhi ya...
  16. Msanii

    Matokeo Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa Novemba 24, 2019: CCM yashinda kwa 99.9%, CHADEMA wapata Kijiji kimoja na Vitongoji 19, CUF nao Kijiji

    Wananchi leo wanapiga kura kuchagua viongozi wao wa Serikali za Mitaa ambapo zoezi hilo linaanza saa mbili kamili asubuhi hadi saa kumi kamili jioni na wale wote watakao kuwa kwenye foleni muda huo wataruhusiwa kupiga kura Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amesema Uchaguzi huo utafanyika katika...
  17. Mystery

    Ni kwanini Serikali ya awamu ya tano inatumia propaganda ya kuminya Demokrasia katika kivuli cha kuleta maendeleo?

    Tumekuwa tukiwasikia sana watetezi wa utawala huu wa awamu ya tano wakitetea sana uminyaji wa demokrasia unaofanywa na serikali hiyo kuwa ni sahihi kwa madai ya kutumia kivuli cha kuleta maendeleo ya nchi hii. Mifano mikubwa wanayotoa hao watetezi wao ni kasi ya maendeleo wanayodai inafanywa...
  18. waltham

    Demokrasia Tanzania yazidi kukita mzizi, Kenya tupate funzo gani hapa?

    HAPA KAZI TU, ASILIMIA MIA BIN MIA....!!!!! UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: CCM YASHINDA KWA ASILIMIA 99.9 - Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo ametangaza kuwa CCM imeshinda Vijiji 12,260 sawa na 99.9% - Pia, kimeshinda Mitaa 4,263 sawa na 100% na kikishinda Vitongoji 63,970 sawa na 99.4% Soma...
  19. cutelove

    Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

    Mwenyekiti wa TLP amesema CCM na wasimamizi wa serikali za mitaa wamemchezea rafu, anasema mfano Moshi, mawakala wa chama chake wameondolewa kwenye vituo vya kupigia kura. Ameonya kama hali ndo hii, kuna uwezekano wa kutokea machafuko huko mbeleni. **** Wakati uchaguzi wa serikali za mitaa...
  20. K

    Kuanguka kwa Demokrasia Tanzania: U-Magufuli na mabadiliko yasiyo na baraka za Watanzania

    Kwenye viunga vya wasomi na wanasiasa, wachambuzi na wanaharakati hili jambo linaendelea kujadiliwa sana. Katika dhamira ya kuleta mabadiliko Rais Magufuli anaonekana kuwa na dhamira lakini amekosa wapi na lipi ashike. Amekosa mipango ambayo ingeihakikishia Tanzania mabadiliko aliyokusudia...
Back
Top Bottom