IGP SIRRO ATOA ONYO KUELEKEA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
"Niwasisitize tu, wakati wa uchaguzi mtu asithubutu kuandamana, nitakushughulikia pale pale, kama ni suruali yako itachanikia pale pale kabla hujafika mbali na kwenda kuleta madhara kwa watu wasio na hatia,- Mkuu wa Jeshi la Polisi...
Tanzania ni nchi kati ya nchi za Africa ambayo inauwezo wa kwenda mbali sana kiuongozi kwenye kila eneo. Tuna rasilimali karibu zote na kwasasa tunaanza kuona jidihata za uwekezaji na uzuiaji wa rushwa.
Kitu kimoja ambacho kinaturudisha nyuma na tumerudi nyuma sana ni demokrasia. Nchi yetu...
Na Elius Ndabila
0768239284
Katika mapitio yangu mengi nimeona kuna malalamiko na mijadala mingi juu ya kipi ni muhimu kati ya demokrasia au maendeleo? Wapo wanaodhani demokrasia ni mhimu kuliko maendeleo na wapo wanaodhani maendeleo ni mhimu kuliko demokrasia.
Hii imekuwa ni changamoto kwa...
Mwaka 1995 wakati Mzee Mwinyi anamaliza muda wake wa kikatiba kama Rais wa Tanzania alituachia zawadi ya viongozi imara sana.
Kiukweli katika uchaguzi ule wa kwanza wa vyama vingi kila aliyestahili kushinda kwa haki alishinda iwe ni kutoka CCM na hata upinzani.
Ndio tukawapata akina Dr Slaa...
AMNESTY INTERNATIONAL HUMAN RIGHTS WATCH
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ukandamizaji wa vyombo vya habari, watetezi wa haki za binadamu na vyama vya upinzani umeongezeka tangu mwaka 2015, zinasema ripoti mbili tofauti za mashirika ya Amnesty International na Human Rights Watch zilizotolewa leo...
Kila Taifa ni lazima liwe na maono yake. Kila Taifa ni lazima lijue linapoelekea. Kila Taifa ni lazima liwe na muongozo na Dira. Matumaini ya Taifa lolote huwa mikononi mwa Viongozi wao ndio wanaamua baadae na historia ya Taifa.
Tatizo tulilonalo ni viongozi walikosa ambition kwa Taifa hili...
Popote ulipo Shangazi kipenzi cha watu nakusalimu na kukujulia hali.
Kwanza unisamehe shangazi kwa uandishi wangu mbovu unao chosha wasomaji.
Hii yote sababu nilimkosa kwenye simu anko Pascal Mayalla anipe 'shoti kozi' ya uandishi.
Nauliza mbona kimya kingi na huku matukio uliyo kuwa...
Serikali ya Awamu ya 5 ya Tanzania imefanya mambo mengi yanayostahiki pongezi kutoka kwa wananchi ikiwemo Kupunguza Rushwa, Kuboresha mbinu za ukusanyaji wa kodi, kuoongeza uwajibikaji kwa watumishi wa umma na kupunguza matumizi yasiyo ya lazima Serikalini.
Licha ya hayo yote kumekuwa na...
wakati wananchi wakimshangilia Rais Magufuli kwa matamko yake yasiyoisha, wasomi wasiwasi umetujaa kwa sababu tunaona atafail vibaya ndani ya miaka mitano. Sababu ni zifuatazo
Mapato ya nchi hayaongezeki kama alivyotegemea, ukizingatia kushuka kwa mapato ya bandari kwa hali ya juu kuwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.