Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
CCM toka mwaka 2015 walitumika sana kuzuia kuenea kwa upinzani hasa kuzuia mikutano ya kisiasa ya upinzani na kuruhusu mikutano ya CCM pekee nchi nzima.
Ilitarajiwa kufika mwaka 2019 upinzani wote uwe ushakufa either kwa hila au kwa pesa, ndio kulichachamaa ununuzi wa wabunge na madiwani na ndio mwaka wakahakikisha wenyeviti wa mitaa wote ni wa CCM.
Wakaja ajenda ya kuwatoa mameya wote wa upinzani hasa chadema kwa nguvu au kwa pesa.
Wakaja na ajenda ya kuwachagulia upinzani viongozi ikashindwa hasa chadema.
Uchaguzi wa 2020 unakuja wanashangaa na kuwa na hofu na chadema sasa wafanye nini na mwenyekiti wa CCM hapendi upinzani hsa ushindani hataki kabisa.
Kwa sasa kete pekee ni kutumia vyombo vingine vya dola kuangalia namna ya kukifuta chama ili apite bila kupingwa.
Ameshajiwekea ulinzi wa kutoshitakiwa kwa sasa haogopi kufanya atakacho na ndio anaenda kufanya.
Ilitarajiwa kufika mwaka 2019 upinzani wote uwe ushakufa either kwa hila au kwa pesa, ndio kulichachamaa ununuzi wa wabunge na madiwani na ndio mwaka wakahakikisha wenyeviti wa mitaa wote ni wa CCM.
Wakaja ajenda ya kuwatoa mameya wote wa upinzani hasa chadema kwa nguvu au kwa pesa.
Wakaja na ajenda ya kuwachagulia upinzani viongozi ikashindwa hasa chadema.
Uchaguzi wa 2020 unakuja wanashangaa na kuwa na hofu na chadema sasa wafanye nini na mwenyekiti wa CCM hapendi upinzani hsa ushindani hataki kabisa.
Kwa sasa kete pekee ni kutumia vyombo vingine vya dola kuangalia namna ya kukifuta chama ili apite bila kupingwa.
Ameshajiwekea ulinzi wa kutoshitakiwa kwa sasa haogopi kufanya atakacho na ndio anaenda kufanya.