RAJABU MBELWA
New Member
- Mar 10, 2020
- 1
- 2
Habari wana JF
Naomba kupata maelekezo jinsi ya kuanza kufanya biashara ya kununua perfume na manukato kutoka Zanzibar na kuuza Dar. mwenye kujua au uzoefu anielekeze maduka ya manukato na perfume yanapatikana wapi hapo Zanzibar na wanauza kwa kiasi gani, nauli ya Zanzibar mpaka Dar ni sh. ngapi na natakiwa kuwa na kiasi gani namaanisha mtaji ili kuanzisha biashara hii, pamoja na walengwa haswa au wateja niwa aina gani, nipo serious naomba msaada, ahsanteni
Naomba kupata maelekezo jinsi ya kuanza kufanya biashara ya kununua perfume na manukato kutoka Zanzibar na kuuza Dar. mwenye kujua au uzoefu anielekeze maduka ya manukato na perfume yanapatikana wapi hapo Zanzibar na wanauza kwa kiasi gani, nauli ya Zanzibar mpaka Dar ni sh. ngapi na natakiwa kuwa na kiasi gani namaanisha mtaji ili kuanzisha biashara hii, pamoja na walengwa haswa au wateja niwa aina gani, nipo serious naomba msaada, ahsanteni