Ipo Kibaha lakin ipo wilaya ya bagamoyo ni kijiji ambacho kimechangamka japo si sanaNinaomba msaada katika hili
🙏🏾Ipo Kibaha lakin ipo wilaya ya bagamoyo ni kijiji ambacho kimechangamka japo si sana
Location ya kufika
Panda Gari za bagamoyo then ingilia njia au Mchepuko wa kuingilia Kibaha.
Au panda Gari za Kibaha shuka
Loliondo utachukua boda kama buku 5 below.
Kuna viwanja vya serikali huko vinauzwa
Sent using Jamii Forums mobile app