Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,628
- 218,059
Askari wa Polisi wamezingira Hotel aliyofikia Mikocheni, Dar es Salaam, wakimtafuta Waziri Kivuli wa Wizara ya mambo ya ndani na Mbunge wa Arusha mjini kwa sababu ambazo hazijajulikana. Mhe. Lema alikuwa azungumze na vyombo vya habari leo jijini D'Salaam kumjibu DPP
Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.
======
Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.
Makene
Polisi hao wenye silaha, wasiokuwa na sare za Polisi, wako ndani ya gari na wengine mapokezi ya Hotel ya Regency Park. Wamelazimisha uongozi wa hotel ufungue chumba cha Godbless walivyojibiwa ni kinyume cha taratibu, wamewaonya wafanyakazi iwapo hawatampata Mbunge huyo.
======
Habari za asubuhi? Mkutano wa Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Godbless Lema (Mb) na waandishi wa habari, umeahirishwa, hivyo hautafanyika leo, kwa sababu amelazimika kuanza safari kuelekea Singida kwa kupitia Arusha kwa dharura. Tutawataarifu waandishi wa habari siku ambayo Lema atafanya press conference, kuhusu suala hilo. Tunaomba radhi kwa usumbufu wowote. Asante.
Makene