Mipango miji yetu ilikuwa mizuri zaidi mwaka 1930 chini ya wakoloni. Utagundua kwamba sehemu karibu zote za miji yetu zilizopangwa vizuri zilipangwa na wajerumani 1860-1920 au waingereza 1920-1961. Dar, Tanga, Moshi, Arusha, Mwanza, Moro, etc. Sijui sisi waana wa Africa tunakwama wapi? Miaka 60...