Picha: Posta Dar es Salaam wakati ikiwa shamba la minazi

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,802
18,530
1578736761090.png

Mipango miji yetu ilikuwa mizuri zaidi mwaka 1930 chini ya wakoloni. Utagundua kwamba sehemu karibu zote za miji yetu zilizopangwa vizuri zilipangwa na wajerumani 1860-1920 au waingereza 1920-1961. Dar, Tanga, Moshi, Arusha, Mwanza, Moro, etc. Sijui sisi waana wa Africa tunakwama wapi? Miaka 60 baada ya uhuru ndio tumeweza kutengeneza majanga Manzese, Buguruni, Changanyikeni, Mbagala, nk. Dar yote ingepaswa kuwa nzuri kuliko hapo pichani kama kungekuwa na akili.
 
View attachment 1319436
Mipango miji yetu ilikuwa mizuri zaidi mwaka 1930 chini ya wakoloni. Utagundua kwamba sehemu karibu zote za miji yetu zilizopangwa vizuri zilipangwa na wajerumani 1860-1920 au waingereza 1920-1961. Dar, Tanga, Moshi, Arusha, Mwanza, Moro, etc. Sijui sisi waana wa Africa tunakwama wapi? Miaka 60 baada ya uhuru ndio tumeweza kutengeneza majanga Manzese, Buguruni, Changanyikeni, Mbagala, nk. Dar yote ingepaswa kuwa nzuri kuliko hapo pichani kama kungekuwa na akili.
Good! Hatupangiwi!
 
Black Color bado mentally tuko watumwa ... Nenda hata America au ulaya uone maisha ya Blacks utaelewa ninachokwambia...

Kuna nchi inaitwa Haiti iko pale Caribbean , Baada ya kupata tetemeko la aridhi nchi zote na taasisi za kifedha iliisamehe madeni yote mpaka sifuri .. Ila baada ya miaka miwili ikawa na madeni ya hatari ..




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom