falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,159
- 9,241
Mzukaaaaaa!!!!
Guys it's been so loooooong time since my last thread on due course!!!let's go
Umewahi kujiuliza kuwa kunaweza kuwa na ligi ya mabus Tanzania? Kama hujawahi kujiuliza ndio nakujuza
Barabara zote Tanzania zinaligi,ispokuwa ligi maarufu Tanzania ni ligi ya Dar Mbeya kwa miaka mingi ligi hi imeibuka kinara kuwa ligi ngumu kwakuwa gari lazima ziwe nzima na uwezo wa kukwea uwanda wa juu wa nchi
Tofaut na ligi ya Mwanza ambapo sehem kubwa ni tambarale
Ligi ya Mbeya hadi dar ni maarufu kwakuwa aina ya abiria pia wanataka gari zinazokimbia sana.pia abiria wengi wa njia hii ni wafanyabiashara wapo pia wa nchi jirani
Ili kunogesha ligi hi njia nzima kuanzia dar hadi Mbeya kuna makundi ya vijana wanabet waone nani atawahi kupita Kati ya sauli na Alsaedy hapa pesa huchangwa kama kamali
Pia ziko sehem nyingi bus inayowahi kupita dereva hukuta kijana mmoja anaechaguliwa yuko barabarani kwa ajili ya kumpa pesa yake ya ushindi kwa kuwahi kukatiza sehem husika
Zipo sehem unaweza kukuta vijana zaidi ya hamsini wamekaa wanasubiri waone kati ya Alsaedy na Sauli nani atawahi kukatiza hapa vocha zinatumika sana kuuliza sehem za nyuma zilikopita nani anaongoza
Hapa chini nitajaribu kuweka baadhi ya mikeka muone inavyokuwa inarepotiwa na mareporter wake
Date: 26.01.2020
Route:
Dar - Mikoa mbali mbali via Moro road
Reporter:
Specialist; James Jr Mp
Hali ya Hewa
Joto 27°C
High 31°C
Low 25 °C
Loc. Suka
1. KIDIA CVT 0542
Loc. Stop over
2. JET DKP 0549
3. JMC DQP 0551
ina abiria robo bus...
4. Esther 0554
. 5. Ally's 0555
6. Ally's 0556
7. KLM 0557 ipo nusu
8. BM 0557
9. Isamilo 0557
10. DEER 715 DPK 0558
11. Tungi's 0601
12. Abood 0603
13. Dada hepi 0604
14. Dar lux 0606
15. Dar lux 0606
Mdhamini
Kemebos a.k.a Kaizirege Polo na bendera ya CCM
Ubungo Bus Terminal
16. Masalu 0610
17. Ngasere 0612
18. Al saedy 0613
19. Al saedy 435DNN 0613
ROUTE: Mwanza to Mikoani
LOCATION: misigiri
REPORTER : Classic_boy_de_tz
DATE: 26 january 2020
WEATHER : Sunny
POSTED BY: TANZANIA BUSES DAILY
******************************
1. Asante rabi express ATH 11:17
2 Allys star bus DQZ 11:20
3. Tungiz express DPZ 11:20
4. isamilo Express DPK 11;24
5. mghamba express BZL 11:28
6. kibo confidential 11:35
7. nyehunge DPU 11:37
8. Isamilo Express DSB 11:37
9. abood polo 11:38
From Dar Es Salaam To Southern Highland Zone
Iringa, Njombe, Mbeya, Tunduma, Songea, Sumbawanga & Lubumbashi
Day :: Sunday
Date :: 26th January 2020
Location :: Tazama Pipelines Iringa
Reporter :: #mimi
:: @
----------------------------------------------
1-CLASSIC-INT-COACH-AGUERO 13:30
2-GOLDEN-DEER-715-DPK-TNDM 13:41
3-SAULI-LUXURY-BUS-300-DRH-MBY 13:41
4-AL-SAEDY-HIGH-CLASS-437-DNN-MBY 13:44
5-MAJINJAH-SPECIAL-779-CSN-SWAX 13:44
6-MAJINJAH-SPECIAL-572-DDH-KYL14:00
7-SELOUS-EXPRESS-637-DNZ-SNGA 14:07
8-ABOOD-BUS-SERVICE-448-AYG-TNDM 14:12
9-GOLDEN-DEER- 14:12
10-NYAGAWA-SAFARI'S-220-DJQ-NJMB 14:12
----------------------------------------------
Posted by tzshb
Year 2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Guys it's been so loooooong time since my last thread on due course!!!let's go
Umewahi kujiuliza kuwa kunaweza kuwa na ligi ya mabus Tanzania? Kama hujawahi kujiuliza ndio nakujuza
Barabara zote Tanzania zinaligi,ispokuwa ligi maarufu Tanzania ni ligi ya Dar Mbeya kwa miaka mingi ligi hi imeibuka kinara kuwa ligi ngumu kwakuwa gari lazima ziwe nzima na uwezo wa kukwea uwanda wa juu wa nchi
Tofaut na ligi ya Mwanza ambapo sehem kubwa ni tambarale
Ligi ya Mbeya hadi dar ni maarufu kwakuwa aina ya abiria pia wanataka gari zinazokimbia sana.pia abiria wengi wa njia hii ni wafanyabiashara wapo pia wa nchi jirani
Ili kunogesha ligi hi njia nzima kuanzia dar hadi Mbeya kuna makundi ya vijana wanabet waone nani atawahi kupita Kati ya sauli na Alsaedy hapa pesa huchangwa kama kamali
Pia ziko sehem nyingi bus inayowahi kupita dereva hukuta kijana mmoja anaechaguliwa yuko barabarani kwa ajili ya kumpa pesa yake ya ushindi kwa kuwahi kukatiza sehem husika
Zipo sehem unaweza kukuta vijana zaidi ya hamsini wamekaa wanasubiri waone kati ya Alsaedy na Sauli nani atawahi kukatiza hapa vocha zinatumika sana kuuliza sehem za nyuma zilikopita nani anaongoza
Hapa chini nitajaribu kuweka baadhi ya mikeka muone inavyokuwa inarepotiwa na mareporter wake
Date: 26.01.2020
Route:
Dar - Mikoa mbali mbali via Moro road
Reporter:
Specialist; James Jr Mp
Hali ya Hewa
Joto 27°C
High 31°C
Low 25 °C
Loc. Suka
1. KIDIA CVT 0542
Loc. Stop over
2. JET DKP 0549
3. JMC DQP 0551
ina abiria robo bus...
4. Esther 0554
. 5. Ally's 0555
6. Ally's 0556
7. KLM 0557 ipo nusu
8. BM 0557
9. Isamilo 0557
10. DEER 715 DPK 0558
11. Tungi's 0601
12. Abood 0603
13. Dada hepi 0604
14. Dar lux 0606
15. Dar lux 0606
Mdhamini
Kemebos a.k.a Kaizirege Polo na bendera ya CCM
Ubungo Bus Terminal
16. Masalu 0610
17. Ngasere 0612
18. Al saedy 0613
19. Al saedy 435DNN 0613
ROUTE: Mwanza to Mikoani
LOCATION: misigiri
REPORTER : Classic_boy_de_tz
DATE: 26 january 2020
WEATHER : Sunny
POSTED BY: TANZANIA BUSES DAILY
******************************
1. Asante rabi express ATH 11:17
2 Allys star bus DQZ 11:20
3. Tungiz express DPZ 11:20
4. isamilo Express DPK 11;24
5. mghamba express BZL 11:28
6. kibo confidential 11:35
7. nyehunge DPU 11:37
8. Isamilo Express DSB 11:37
9. abood polo 11:38
From Dar Es Salaam To Southern Highland Zone
Iringa, Njombe, Mbeya, Tunduma, Songea, Sumbawanga & Lubumbashi
Day :: Sunday
Date :: 26th January 2020
Location :: Tazama Pipelines Iringa
Reporter :: #mimi
:: @
----------------------------------------------
1-CLASSIC-INT-COACH-AGUERO 13:30
2-GOLDEN-DEER-715-DPK-TNDM 13:41
3-SAULI-LUXURY-BUS-300-DRH-MBY 13:41
4-AL-SAEDY-HIGH-CLASS-437-DNN-MBY 13:44
5-MAJINJAH-SPECIAL-779-CSN-SWAX 13:44
6-MAJINJAH-SPECIAL-572-DDH-KYL14:00
7-SELOUS-EXPRESS-637-DNZ-SNGA 14:07
8-ABOOD-BUS-SERVICE-448-AYG-TNDM 14:12
9-GOLDEN-DEER- 14:12
10-NYAGAWA-SAFARI'S-220-DJQ-NJMB 14:12
----------------------------------------------
Posted by tzshb
Year 2020
Sent using Jamii Forums mobile app