guzman_
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,277
- 2,443
Kwa takribani miaka mi3 nilikuwa sijafika posta na kariakoo. Jambo la kustaajabu nilichoshuhudia siamini kabisa. Ni kwamba hii serikali imeruhusu machinga kiwango hicho kilichopo. Yaani machinga wamepanga bidhaa hata sehemu ya kutembea hamna mpaka kwenye space zile katikati ya barabara za mwendokasi. Si karume, si kariakoo, si posta, si ubungo, si Mbagala.
Inshort hakuna utofauti wa mbagala na Kariakoo. Machinga wamefurika huko hata ile hadhi ya jiji sasa haipo na kwa taarifa za mnyetishaji wangu hawa jamaa wameizidi nguvu serikali na hata serikali inawagwaya kulinda kura za 2020. Hivi hakuna wataalamu wanaoelewa effects za informal sector kwenye uchumi kweli?
Wenzetu wanatafuta njia za kutoa informal sector sisi ndo tunaimwagia mafuta ipambe moto. Kilio walicho nacho wafanya biashara wenye milango yao kariakoo nadhani ni kikubwa sana. Kariakoo ni centre of business kwa nchi jirani Zambia, Malawi, Kongo, Burundi, Rwanda ila sasa sidhani kama inahadhi hio ya kuwa center ya biashara.
Hili jiji sasa lishushwe hadhi tu ieleweke.
Inshort hakuna utofauti wa mbagala na Kariakoo. Machinga wamefurika huko hata ile hadhi ya jiji sasa haipo na kwa taarifa za mnyetishaji wangu hawa jamaa wameizidi nguvu serikali na hata serikali inawagwaya kulinda kura za 2020. Hivi hakuna wataalamu wanaoelewa effects za informal sector kwenye uchumi kweli?
Wenzetu wanatafuta njia za kutoa informal sector sisi ndo tunaimwagia mafuta ipambe moto. Kilio walicho nacho wafanya biashara wenye milango yao kariakoo nadhani ni kikubwa sana. Kariakoo ni centre of business kwa nchi jirani Zambia, Malawi, Kongo, Burundi, Rwanda ila sasa sidhani kama inahadhi hio ya kuwa center ya biashara.
Hili jiji sasa lishushwe hadhi tu ieleweke.