Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

passioner255

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2019
Posts
6,767
Reaction score
12,982
CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania.

Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu.

Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa mabaya zaidi vunjeni kichwa cha nyoka.kwa sababu tunajua mkuu wa haya yote yaani yule mstaafu.


NB:sio wanaccm wote ni wabaya nawazungumzia wale wahuni na vibaraka vyao
 
Hizi takataka mbili zina mchango mkubwa kwa yaliyotokea 29.10.2025
WhatsApp Image 2026-05-07 at 15.36.24.jpg
FB_IMG_1765650116396.jpg
 
CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania.

Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu.

Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa mabaya zaidi vunjeni kichwa cha nyoka.kwa sababu tunajua mkuu wa haya yote yaani yule mstaafu.


NB:sio wanaccm wote ni wabaya nawazungumzia wale wahuni na vibaraka vyao
Ukitaka kuona mtu kujua mtu aliyekata tamaa ni km huyu
 
CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania.

Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu.

Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa mabaya zaidi vunjeni kichwa cha nyoka.kwa sababu tunajua mkuu wa haya yote yaani yule mstaafu.


NB:sio wanaccm wote ni wabaya nawazungumzia wale wahuni na vibaraka vyao
damu za kunguni au magaidi malofa wafuata mkumbo?🐒
 
damu za kunguni au magaidi malofa wafuata mkumbo?🐒
Wauaji wa watanganyika na nyie vibaraka vyake laana ya damu haitawaacha mtakufa au kuumia wote.zile damu lazima mzilipie.mtajua maana ya msemi damu ni nzito kuliko maji.
 
Wauaji wa watanganyika na nyie vibaraka vyake laana ya damu haitawaacha mtakufa au kuumia wote.zile damu lazima mzilipie.mtajua maana ya msemi damu ni nzito kuliko maji.
acha porojo, upotoshaji na kuendekeza ramli nonsense gentleman 🐒
 
Ukitaka kuona mtu kujua mtu aliyekata tamaa ni km huyu
Wazalendo hatuwezi kukataa Tamaa lazima wahuni mlipie damu za watanzania.mlipoua mkasahau damu inalipwa kwa damu.mimi kwa yale yaliyotokea tarehe 29 na mingine mbele yangu hakika sitakata tamaa mpaka wahuni muishe.na kama wewe unadamu mkononi mwako jiandae kwa sababu kanuni ya kumwaga damu ni damu hulipwa kwa damu ipo kwenye vitabu vya dini.
 
Waliokufa okt29 ni wezi kama wezi wengne
Hapakuwepo na maandamano
-siku cdm mmefanya maandamano hakuna hata kuku wa jirani aliyekufa...lakn mkajipima na uwezo wa wizi..

Siku ile vyombo vya ulinzi vilifanya uzembe kutowamaliza wezi wote.
 
acha porojo, upotoshaji na kuendekeza ramli nonsense gentleman 🐒
Kwamba ni uongo kwamba mmeuwa watu kabla ya terehe 29,tarehe 29 na baada ya tarehe 29 kwa sababu ya maslahi yenu ya kisiasa hapo Archana na kuteka ,kulawiti na ufisadi uliokithiri?mmejijazia laana ndiyo maana mama anaongoza lakini hana raha na hizo damu mtazilipia
 
Kwamba ni uongo kwamba mmeuwa watu kabla ya terehe 29,tarehe 29 na baada ya tarehe 29 kwa sababu ya maslahi yenu ya kisiasa hapo Archana na kuteka ,kulawiti na ufisadi uliokithiri?mmejijazia laana ndiyo maana mama anaongoza lakini hana raha na hizo damu mtazilipia
huo ni uongo mtupu gentleman,
na in fact na hizo zingine ni porojo nonsense tupu za kupuuzwa tu na kila mdau makini wa JF 🐒
 
Waliokufa okt29 ni wezi kama wezi wengne
Hapakuwepo na maandamano
-siku cdm mmefanya maandamano hakuna hata kuku wa jirani aliyekufa...lakn mkajipima na uwezo wa wizi..

Siku ile vyombo vya ulinzi vilifanya uzembe kutowamaliza wezi wote.
Mimi sio cdm ni mtanzania mwenye akili.kitu gani ninahalalisha mauaji ya hao unaowaita wezi?hata kwa kawaida huwezi kumuua mtu hata kama ni mtuhumiwa wa jambo fulani.

ukweli ni kwamba mmeua watu wasio na hatia siku ile hata kama wameandamana kwani maandamano sio dhambi na mmepata laana ndo maana sasa hivi kila sehemu wanawawajibisha hata watu wa nje.mmelaaniwa na mmeingiza nchi kwenye laana ya damu.
 
Mwanamke wa kwanza kuwa Rais Tanzania.

RAis mwanamke wa kwanza Duniani kuua maelfu ya wananchi wake.

Rais wa kwanza kuwachukia, kuwateka na kujaribu kuwaua viongozi wa dini ya kikristo kwa sababu wanakemea mauaji, utekaji, uporaji wa rasilimali za nchi na ufisadi uliopindukia.

Rais mwanamke wa kwanza kuwa rais tyrant of the year.

Ana records za pekee ambazo kamwe hazirakuja kusahaulika vizazi na vizazi.
 
Mwanamke wa kwanza kuwa Rais Tanzania.

RAis mwanamke wa kwanza Duniani kuua maelfu ya wananchi wake.

Rais wa kwanza kuwachukia, kuwateka na kujaribu kuwaua viongozi wa dini ya kikristo kwa sababu wanakemea mauaji, utekaji, uporaji wa rasilimali za nchi na ufisadi uliopindukia.

Rais mwanamke wa kwanza kuwa rais tyrant of the year.

Ana records za pekee ambazo kamwe hazirakuja kusahaulika vizazi na vizazi.
Sikujua katika maisha yangu nitamuona Rais mwanamke dikteta tena kwenye nchi yangu.
 
Waliokufa okt29 ni wezi kama wezi wengne
Hapakuwepo na maandamano
-siku cdm mmefanya maandamano hakuna hata kuku wa jirani aliyekufa...lakn mkajipima na uwezo wa wizi..

Siku ile vyombo vya ulinzi vilifanya uzembe kutowamaliza wezi wote.
Vipi wale Mafisadi
 
CCM naendelea kuwakumbusha huu ni mwanzo tu mtalipia damu mlizomwaga za watanzania.

Nawakumbusha damu huwa inalipwa kwa damu huu ni mwanzo tu.

Nawashauri kabla ya mambo hayajakuwa mabaya zaidi vunjeni kichwa cha nyoka.kwa sababu tunajua mkuu wa haya yote yaani yule mstaafu.


NB:sio wanaccm wote ni wabaya nawazungumzia wale wahuni na vibaraka vyao
CCM peke yake haijamwaga damu za waTz Hata waliosusia uchaguzi nao walisababisha kwanamna moja ama nyingne. Kwa ujumla siasa ndo imetufikisha hapa tulipo..njia mbadala MARIADHIANO, KATIBA MPYA itakayofumua mifumo dhalimu na kuwapa nguvu wananchi ya maamuzi ndio Mwarobaini wa hili jambo.
 
Back
Top Bottom