Mimi sio speculator ila Maamuzi wanafanya wao au ni mimi? Kuna watu niliwaambia kuhusu mwalimu commercial bank bei ilipo kua 2100 wakasema nawaonea wivu haya sasa wanalia huko.Acha kuwaogopesha watu. Hisa kupanda na kushuka ni kawaida………Au wewe speculator unawachanganya watu wa panic then uokote dodo😂😂😂