Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 909
- 2,485
Guys guys guys, hawa CRDB hawako serious ni wezi aisee.
Nina akaunti nao lakini sina kadi, baada ya kadi yangu kuisha muda siku renewe coz mda mwingi nafanya transfers pekee. Sio mtu wa kwenda ATM.
Cha ajabu kila mwezi wanakata makato ya kadi kutoka kwenye akaunti yangu.
Sielewi kwa kweli maana nachojua kadi ni service unailipia kama unaitumia.
Huu ni utapeli aisee.
Nakumbuka wakati nipo chuo boom nilikuwa napokelea NMB ila watu wa CRDB walikuwa wanapata hela pungufu na tunayopata sisi wa NMB.
Jamaa yangu alipofatilia CRDB akaambiwa kuna makato ambayo hata chuo hawakuyatambua. Na alipoomba report wamendika kabisa pale makato ya upuuzi 17000. Hii bank kuna kitu hakipo sawa.
Nina akaunti nao lakini sina kadi, baada ya kadi yangu kuisha muda siku renewe coz mda mwingi nafanya transfers pekee. Sio mtu wa kwenda ATM.
Cha ajabu kila mwezi wanakata makato ya kadi kutoka kwenye akaunti yangu.
Sielewi kwa kweli maana nachojua kadi ni service unailipia kama unaitumia.
Huu ni utapeli aisee.
Nakumbuka wakati nipo chuo boom nilikuwa napokelea NMB ila watu wa CRDB walikuwa wanapata hela pungufu na tunayopata sisi wa NMB.
Jamaa yangu alipofatilia CRDB akaambiwa kuna makato ambayo hata chuo hawakuyatambua. Na alipoomba report wamendika kabisa pale makato ya upuuzi 17000. Hii bank kuna kitu hakipo sawa.