corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Jidu La Mabambasi

    Ubaguzi Uingereza: Mama atemewa mate na mgonjwa wa Corona, afariki dunia!

    Coronavirus: Victoria ticket worker dies after being spat at Ticket office worker Belly Mujinga died of coronavirus in April A railway ticket office worker has...
  2. MakinikiA

    Corona yaingia White House Marekani

    Wafanyakazi wa Ikulu ya White House wameagizwa kuvaa barakoa wakati wanapoingia jengo la ofisi zake zinazofahamika kama -West Wing, baada ya wasaidizi wawili kupatwa na virusi vya corona. Wafanyakazi wa White House wamesema kuwa wahudumu wote lazima wavae barakoa wakati wote isipokua wanapokua...
  3. J

    Dr Kigwangalla asema Afya ni swala binafsi kila mtu apambanie afya yake, atoa dawa yake ya majani inayotibu Corona

    Waziri wa maliasili na utalii mh Kigwangalla amesema maisha ya mtu na afya yake ni maswala binafsi hivyo kila binadamu ana wajibu wa kuipambania afya yake yeye mwenyewe. Kadhalika Dr Kigwangalla ameonyesha aina fulani ya majani ya mitishamba yanayotibu Corona na kuwataka wananchi wayachangamkie...
  4. C

    Kama mipakani COVID19 iko hivi, Tanzania yenyewe hali iko vipi?

    Habari Wakuu, Hali ya maambukizi ya corona hapa nchini kwa sasa haifahamiki zaidi ya sintofahamu tu huku watu wakiendelea kufanya shughuli zao kama kawaida Watanzania tuko njia panda sasa tusielewe hali ya nchi hii kwa vita ya covid19 mpaka kujiuliza maswali kama hali ya mipaka ya nchi iko...
  5. K

    Radio ya USA leo watajadili Serikali ya Tanzania kukataa(Denial) ukweli wa Corona

    Leo nasikiliza radio ya taifa (NPR) topic yao kubwa ni jinsi Serikali ya Tanzania kukataa ukweli kuhusu Corona na kutumia nguvu na vitisho kunyamazisha watu. Wanasema vilevile wataongelea mazishi ya usiku usiku. Nchi jirani kulalamika pia zitaongelewa kama Zambia kufunga mipaka na nchi nyingine...
  6. MK254

    Madereva 9 Wakenya waliotokea Tanzania wagunduliwa kuwa na Corona. Visa vyafikia 700

    Jana tumeona ya Zambia, leo ya Wakenya tisa wameingia kutoka Tanzania wote wameathirika, duh! Bongo imekua vipi, hizo sera za kila kitu ruksa hata kusongamana kwenye vilabu kutawaponza sana. ======= Nine Kenyan truck drivers who arrived in the country from Tanzania are among 28 people who...
  7. FRANCIS DA DON

    Baadhi ya nchi zilizoweka lockdown na kisha baada ya kuondoa, visa vya Corona vimeongezeka kwa kasi, inatufundisha nini juu ya busara za Rais wetu?

    Tumepata taarifa kupitia vyombo mbali mbali vya kimataifa juu ya nchi kadhaa zilizoweka total lockdown na baada ya uchumi kuyumba na njaa kuwa kali wakaamua kuondoa lockdown, kisha visa vya Corona vikashoot juu kwa kasi kwa mara nyingine tena, na sasa wanafikiria kurudisha tena lockdown. Nchi...
  8. Pascal Mayalla

    Corona: "Media tunakufa kizungu na tai shingoni!", asante Waziri Mwakyembe kutambua mchango wetu. Serikali/jamii please do something, tutakwisha

    Wanabodi, Hili ni bandiko la kuizindua serikali na Jamii, kuikoa sekta ya media, katika hii vita ya janga la Corona, japo sisi waandishi wa habari ni wadau muhimu sana katika vita hii kama ilivyo kwa madakari, manesi na wauguzi, lakini kiukweli sisi waandishi wa habari, haswa ma freelances, na...
  9. FRANCIS DA DON

    Dar es salaam ikiweka lazima ya kuvaa miwani (clear glass) kama ilivyo kwa barakoa, basi tunaweza kuwa nchi ya kwanza kuishinda Corona

    Kuna vitu vingine ukikaa na kutafakari kwa kina, utagindua kwamba akili zetu huwa zinapenda kuigana, na ni akili chache huwa zinakuwa proactive kufanya jambo jipya na akili zingine huishia kuiga tu. Tunaambiwa hivi virusi vya Corona vinaambukiza kwa kupitia Pua, mdomo na macho,? hivyo siku moja...
  10. JM3

    TANZIA Aliyekuwa dereva wa Mkurugenzi msaidizi (Utawala) ofisi ya Makamu wa Rais, Bw Willhelmy Benard Kido afariki dunia

    TANZIA Kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais:Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Anasikitika kutangaza kifo Cha Bw. Willhelmy Bernard Kido
  11. G Sam

    Rais Magufuli kwa miaka yote mitano sukari tu imemshinda

    Najiuliza ni nini tatizo? Rais Magufuli alipoingia ikulu mgogoro namba moja aliouanzisha ni sukari. Sukari ghafla ikapanda bei, ikapotea mitaani. Ilifikia hatua akatoa vitisho kuwa ataliruhusu jeshi likamate sukari iliyofichwa liigawe bure. Nakumbuka hii kauli wapiga zumari waliishangilia...
  12. kipara kipya

    Naona wazee wa kudandia treni wameachia ya Corona sasa wamedandia ya sukari!

    Hiki kinachoendelea natumaini Jemedari Mkuu, Field Marshal atatoa kauli kuhusu huu uhuni wa sukari kama kipindi kile miezi sita ya mwanzo wakati anaingia madarakani. Hii si bure wapo wachochezi walio nyuma ya wafanyabiashara. Naona wazee wa kudandia sasa ndio imekuwa kwao ni habari ya mjini na...
  13. Miss Zomboko

    Obama aanza kumlaumu Trump kwa kushindwa kulikabili janga la Corona. Asema Trump anaishughulikia Corona kama janga la machafuko

    Donald Trump, Rais wa Marekani BARACK Obama, Rais Mstaafu wa Marekani, amemtuhumu rais wa sasa Donald Trump kwamba ameshindwa kuukabili ugonjwa wa mapafu unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19). Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Amesema, mbinu anazotumia Trump kukabiliana na...
  14. Influenza

    Zanzibar yatangaza ongezeko la Wagonjwa 29 wa COVID19. Jumla ya visa visiwani humo yafikia 134 (Mei 07, 2020)

    Wizara ya Afya Zanzibar imetangaza ongezeko la wagonjwa wapya 29 wa #COVID19 na kufanya idadi ya maambukizi visiwani humo kufikia 134. Wagonjwa wote waliotangazwa leo ni Watanzania Pamoja na ongezeko hilo, Wizara pia imesema wagonjwa wengine watano wamefariki dunia na 11 wamepona na kufanya...
  15. Sky Eclat

    Habari za corona katika picha

  16. Sky Eclat

    President Teodor Obiang of Equatorial Guinea says 9 out of 13 Corona patients have been cured by Madagascar remedy

    President Teodoro Obiang of Equatorial Guinea's just confirmed that 9 out of 13 persons recovered fully from Corona Virus after taking Madagascar COVID-19 Organic treatment.
  17. Miss Zomboko

    Rwanda kuanza kutumia robots ili kupunguza daktari na mgonjwa kukutana katika kuepuka Corona

    Waziri wa Afya wa Rwanda Daniel Ngamije amesema wizara yake imepanga kusambaza roboti kwenye vituo vya kutibu virusi vya Corona na maeneo mengine ya umma. Akiongea kupitia televisheni waziri Ngamije amesema Roboti tano zilizoagizwa kutoka nje ambazo zimepewa majina ya Kinyarwanda zitatumika...
Back
Top Bottom