Nakala iwafikie Askofu Bagonza, Niwermugizi,Raisi Kagame na papa waliofuta ibada makanisani kwa kisingizio Cha corona!!! Wapagani wakubwaHalafu bado kuna mipuuzi inalilia lockdown
Kwenye kushughulika na Corona Magufuli anashika nafasi ya kwanza akifuatiwa na Raisu Nkurunzinza wa Burundi sababu hawakufuta ibada mitaifa yote inayojitia kufuta ibada viongozi wake watakiona Cha mtema kuni kumtuhumu Mungu kuwa aweza wapa corona waumini wakiwa wanamuabudu kuwa Mungu Ni kirusi Cha corona . Viongozi wote wa serikali na dini waliofungia ibada au kutaka ibada zisiwepo wawe wa kisiasa au eneo lingine lolote au watu binafsi nk wajiandae mene mene tekeli na peresi kwao kiyama chaja Kwao Mungu atawashukia Kama mwewe muda si mrefuHivi kenya na zambia wanasoma habari kama hizi? Au ndio kulilia misaada
MhKwenye kushughulika na Corona Magufuli anashika nafasi ya keanza akifuatiwa na Nkurunzinza sababu hawakufuta ibada mitaifa yote inayojitia kufuta ibada viongozi wake watakiona Cha mtema kuni kumtuhumu Mungu kuwa aweza wapa corona waumini wakiwa wanamuabudu kuwa Mungu Ni kirusi Cha corona . Viongozi wote wa serikali na dini waliofungia ibada au kutaka ibada zisiwepo wawe wa kisiasa au eneo lingine lolote au watu binafsi nk wajiandae mene mene tekeli na peresi kwao kiyama chaja Kwao Mungu atawashukia Kama mwewe muda si mrefu
Yes Magufuli na Nkurunzinza ndio pekee wamejipambanua ulimwenguni kuwa NO corona fear here !!! na kuheshimu Mungu kuwa Mungu sio kirusi Cha corona kinachoweza mdaka mtu akiabudu nchi zote wanazojitia Ukristo au uislamu wanaujua kuliko watanzania sijui Kenya, south Afrika ,ulaya , marekani Uganda ,Canada uarabuni nk kote dini imewashinda Tanzania na burundi ndio tumeweza chini ya Marais wetu
IRAQ LIBYA AFGHANISTAN wameua zaidi ya hawa MKUUHali ni tete mno...watu wanakufa jamani...marekani tu wameshadead 81, 796...
Mind u.. Marekani ina watu milioni mia tatu sitini.Hali ni tete mno...watu wanakufa jamani...marekani tu wameshadead 81, 796...
Kisa mafuta, ila Mungu awasamehe hao akina Trump na BorisIRAQ LIBYA AFGHANISTAN wameua zaidi ya hawa MKUU
Ila Mungu awaponye .....
Sent using My COVID-19
Africa ina watu wangapi?Mind u.. Marekani ina watu milioni mia tatu sitini.
Kama bilioni moja na milioni mia mbili!Africa ina watu wangapi?
Mind u.. Marekani ina watu milioni mia tatu sitini.
Kwani wewe una ndugu au jirani aliyekufa kwa Corona? Kama ndugu/ jirani zako ni wazima, je ndugu au jirani wa nani watakuwa wamekufa?Na uingereza je Ina watu wangapi? 55,977,178👈 na waliokufa mpaka ni 32, 065 👈
Huku kwanini hatupewi idadi ya kweli?
Na vifo vingapi vya Corona?Kama bilioni moja na milioni mia mbili!
IRAQ LIBYA AFGHANISTAN wameua zaidi ya hawa MKUU
Ila Mungu awaponye .....
Sent using My COVID-19