Kigogo noma
RI.I.P na pole kwa familiaTANZIA
Kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais:Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais,Anasikitika kutangaza kifo Cha Bw. Willhelmy Bernard Kido
Unampigia aliyetangazwa kufariki hau?Huyu jamaa kafariki? Mara ya mwisho tumekutana ziarani akiwa dereva wa waziri mkuu K. Majaliwa, Ina maana alihamishwa?
Sitaki kuamini ngoja nimpigie simu
Vipi kasemajeHuyu jamaa kafariki? Mara ya mwisho tumekutana ziarani akiwa dereva wa waziri mkuu K. Majaliwa, Ina maana alihamishwa?
Sitaki kuamini ngoja nimpigie simu
Huyo huyo mi mwenyewe nimeona kwenye sikuaminiHuyu jamaa kafariki? Mara ya mwisho tumekutana ziarani akiwa dereva wa waziri mkuu K. Majaliwa, Ina maana alihamishwa?
Sitaki kuamini ngoja nimpigie simu
Simu yake inaita lakini haipokelewi..aiseee sitaki kuamini kabisa
Hii habari niliiona tweeter kwa kigogo nikajua uzushi tangu usiku jana
We jamaaa uko sawasawa kichwani kweli?vipi kigogo hajaweka video zingine za makaburini usisite kutuletea huku?
Sent using Jamii Forums mobile app
eiSimu yake inaita lakini haipokelewi..aiseee sitaki kuamini kabisa