corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pununkila

    Wachezaji nane wa Al Merrikh wakutwa na Corona. Wenyewe wadai kuhujumiwa

    Muda mfupi kabla ya mpira kuanza, ripoti ya Corona imeonesha wachezaji nane wa Al MERRIKH ya Sudan wana maambukizi ya virusi vya Corona. Kupitia ukurasa rasmi wa Istagram wa Al Merrikh umeripoti kuwa wanaamini ni mpango wa kuwadhoofisha ambao umechezwa jambo ambalo limewafanya wapeleke file...
  2. Sam Gidori

    Nyuma ya pazia ripoti ya chimbuko la Corona inayotarajiwa kutolewa wiki hii

    Baada ya subira ya muda mrefu, hatimaye ripoti ya timu ya wataalamu wa Shirika la Afya Duniani, WHO iliyopewa kazi ya kuchunguza chanzo cha maambukizi ya virusi vya corona inatarajiwa kutolewa wiki hii. Ujumbe huo uliwasili Wuhan mwezi Januari kufanya uchunguzi kwa muda wa mwezi mmoja katika...
  3. B

    Corona: Marekani kuchanja wote kufikia Mei mosi

    Mabibi na mabwana tuna cha kujifunza hapa: Fact Sheet: President Biden to Announce All Americans to be Eligible for Vaccinations by May 1, Puts the Nation on a Path to Get Closer to Normal by July 4th | The White House Habari yenyewe ni kuwa: 1. Marekani kuchanja wote kufikia May 1. 2...
  4. B

    Canada yasema chanjo ya Corona ya AstraZeneca ni salama

    Serikali ya Canada imesema Jana Alhamisi chanjo ya Astrazeneca ni salama na itaendelea kuitumia kwa wananchi wake licha ya nchi za ulaya Norway na Denmark kusitisha kuitumia kwa muda. Canada ambayo imeagiza chanjo millioni ishirini za Astrazeneca imesema raia wake waliotumia chanjo iyo...
  5. Analogia Malenga

    Raila Odinga akutwa na COVID-19

    Kiongozi wa Upinzani nchini Kenya, Raila Odinga amekutwa na maambukizi ya #COVID19 lakini anaendelea vizuri katika hospitali ya Nairobi ambako amelazwa Odinga alilazwa tangu March 9 baada ya kuwa na uchovu mwingi na maumivu. Ambapo nduguze walisema hakuwa na dalili za shida za mapafu lakini...
  6. J

    Profesa Makubi: Serikali imeunda Kamati ya wataalamu kufuatilia masuala ya Chanjo ya Corona

    Mganga mkuu wa Serikali Prof Makubi amesema serikali imeunda tume maalumu ya wataalamu itakayofuatilia masuala ya chanjo ya Corona. Prof Makubi amesema tume hiyo itafuatilia masuala ya msingi yahusuyo chanjo hizo kwa muda wote hadi pale serikali itakapojiridhisha kama itumie chanjo hizo ama la...
  7. Sam Gidori

    Idadi ya vifo kutokana na virusi vya Corona ndani ya siku moja yafikia viwango vipya nchini Brazil

    Brazil imerekodi idadi kubwa zaidi ya vifo ndani ya siku moja vinavyotokana na virusi vya corona tangu kuanza kwa mlipuko. Jumla ya watu 2,286 walifariki dunia ndani ya saa 24 pekee siku ya Jumatano na kufanya idadi ya vifo kufikia 268,370, kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu cha John Hopkins...
  8. B

    Tukubali chanjo, Covid-19 ipo na inaua

    Ni muhimu kwa watanzania na Serikali yake kukubali chanjo ya corona ili kuepusha vifo vingi vya watu ambavyo vingeweza kuzuiwa. Toka Janga la Corona lilivoikumba dunia, serikali ta Tanzania iliamua kutumia mbinu zenye kuhatarisha maisha, kama kuruhusu mikusanyiko ya watu, kutokupima watu corona...
  9. J

    Epuka mazingira haya ili ujikinge na Corona

    Maeneo ya ndani, haswa mazingira ambayo uingizaji hewa ni duni au hakuna hewa, ni hatari kuliko maeneo ya nje Sehemu zenye msongamano na watu wengi kama maeneo ya masoko Mahali ambapo watu wamekaa pamoja kwa muda mrefu, wakiwa na mazungumzo ya karibu kama mikutano
  10. J

    Wajawazito kuathiriwa zaidi na Virusi vya Corona

    Tafiti zinaonesha kuwa wajawazito wako katika hatari zaidi ya kuambukizwa vizusi vya #Corona. Aidha wajawazito walio na Korona wapo katika hatari ya kuathiriwa zaidi na kupelekea madhara mengine kama vile kujifungua kabla ya wakati. Njia bora ya wajawazito kujilinda na Virusi vya # Corona ni...
  11. M

    Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya laitaka Serikali kuruhusu chanjo zote za COVID

    Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki la Kenya limeitaka serikali ya Kenya kukubali na kuruhusu kuruhusu chanjo zote halali za COVID-19. Kwamba kanisa katoliki limeruhusu mtandao wa hospitali zake zote nchini Kenya kkutumika kama vituo vya chanjo za COVID-19 --- Catholic Bishops have now...
  12. K

    Nimepata Chanjo ya Corona nchini Marekani, puuzeni uzushi

    Nimefanikiwa kupata chanjo ya Corona hapa napoishi na kufanya kazi Dallas, Texas. Nimepata dose mbili za sindano kwenye bega ya kwanza tarehe 5 mwezi wa pili na ya pili tarehe 4 mwezi wa tatu. Nimepata chanjo kutoka kampuni ya Moderna. Nilivimba kidogo kwenye bega kwa mara zote lakini sijapata...
  13. Mtyela Kasanda

    Lockdown ina ukweli kiasi gani?

    Mbona wenye lockdown bado wanafanya shughuli kama kawa? Marekani tokea corona ianze hawajaacha kutengeneza filamu, na filamu zina watu zaidi ya 100 on set. Hawakuacha kufanya kampeni, japo midahalo ilikua na virtual attendees lakini mikutano watu walikua wanajaa tena wengine bila barakoa...
  14. CUF Habari

    CUF: Hali ya maambukizi ya Covid-19 nchini Tanzania na hatua za kuchukua

    TAARIFA KWA UMMA HALI YA MAAMBUKIZI YA COVID- 19 NCHINI TANZANIA NA HATUA ZA KUCHUKUA Ndugu wanahabari! Karibuni tena kwenye Ukumbi huu wa Shaaban Khamis Mloo ambapo CUF- Chama Cha Wananchi kinaongea na Umma wa Watanzania kwa mara nyingine kupitia kwenu. Awali ya yote ningependa kumshukuru...
  15. Informer

    Serikali: Tunaikabili Corona kisayansi, kiasili. Tumeshatumia bilioni 28 kuukabili ugonjwa huo

    SERIKALI imesema inaendelea na jitihada za kukabili maambukizi mapya ya virusi vya Corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 kwa kutafuta tiba mbadala, huku ikibainisha kuwa licha ya kutumia njia za asili, inaukabili ugonjwa kisayansi pia. Imenunua mashine mbili zenye thamani ya Sh bilioni...
  16. B

    Corona: Tuukatae upotoshaji huu tunapochukua tahadhari

    Mabibi na mabwana na hasa mlio waungwana. Ufuatao ni upotoshaji wa wazi. Tuukatae upotoshaji huu tunapoendelea kuchukua tahadhari: 1. Taarifa sahihi kuhusiana na ugonjwa huu zinaleta taharuki. Ukweli ni kuwa taarifa sahihi zinatuweka katika hali muafaka ya kukabiliana na tatizo lililopo. 2...
  17. S

    Corona haina kinga kwa maana ya Chanjo - Jikinge kwa hali na mali chukua tahadhari

    Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie. Hizi chanjo zipo kwenye majaribio na safari hii zinapelekwa direct kwa binadamu, ndio ikasemwa haata...
  18. Sarikiaeli

    Askofu Dkt. Mtokambali: " Wito wa maombi maalum ya kitaifa ya siku 21 dhidi ya wimbi la pili la maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19)”.

    Wana jamvi amani kwenu ! Leo nachukua nafasi hii kumpongeza askofu mkuu Dkt. Barnabas W. Mtokamhali wa kanisa la TAG; kwa barua ya kumbukumbu TAG/MNM/GEN/45 ya tarehe 05 Machi 2021; kwenda Maaskofu wote wa Majimbo,Wakurugenzi wote wa Idara na Vitengo, Waangalizi wote wa Sehemu, Wachungaji wote...
  19. DaudiAiko

    Imani na sayansi kwenye kukabiliana na virusi vya Korona

    Wana bodi, Wimbi la pili la Korona limetupata bila kujiandaa lakini kwa walio wengi ilitokana na athari za kulegeza hatua za kujilinda kabla ya tatizo ku tokomea kabisa. Sidhani kama Tanzania tunaweza kuwa kwenye kundi hili kwasababu tangia mgonjwa wa kwanza kupata ungonjwa huu nchini hatuku...
  20. Webabu

    Mafanikio ya chanjo za corona yaweza kurudi sifuri

    Imeelezwa kuwa mafanikio yaliyopatikana ya hivi karibuni dhidi ya corona covid 19 iliyoitesa dunia kwa zaidi ya mwaka yanweza yote kupotea. Sababu ya kwanza ni kutokana na watu wengi kulegeza tahadhari dhini ya ugonjwa huo na sababu ya pili ni kutokana na kuwa kile kirusi cha awali...
Back
Top Bottom