Ndugu wananchi wenzangu napenda kuwaambia tu na huko mitandaoni kumejaa habari na jipya,jamaa amepata chanjo za dozi mbili kasafiri amerudi kupimwa ameoneka positive almanusura azimie.
Hizi chanjo zipo kwenye majaribio na safari hii zinapelekwa direct kwa binadamu, ndio ikasemwa haata ukichanjwa na kupata hizo dozi iwe moja au mbili bado unatakiwa ufuate taratibu zote,barakowa na baharikowa (Kowa kule Kisiwa cha pemba mjini ni konokono). Uwe mwangalifu sana sana, kwa ufupi uwe msafi wa kunawa nawa kila wakati.
Jipya ni kuwa sasa inatakiwa baada ya barakaowa uongeze na miwani kirusi kinapita hata kwenye macho.
Chukua tahadhari usingonje uambiwe Tatizo karne hizi hata ukitamani kufa haufi. Wacha John aitwe Magufuli.
Hizi chanjo zipo kwenye majaribio na safari hii zinapelekwa direct kwa binadamu, ndio ikasemwa haata ukichanjwa na kupata hizo dozi iwe moja au mbili bado unatakiwa ufuate taratibu zote,barakowa na baharikowa (Kowa kule Kisiwa cha pemba mjini ni konokono). Uwe mwangalifu sana sana, kwa ufupi uwe msafi wa kunawa nawa kila wakati.
Jipya ni kuwa sasa inatakiwa baada ya barakaowa uongeze na miwani kirusi kinapita hata kwenye macho.
Chukua tahadhari usingonje uambiwe Tatizo karne hizi hata ukitamani kufa haufi. Wacha John aitwe Magufuli.