china

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kwanini Marekani imeamua kufunga Konseli Kuu ya China mjini Houston, Marekani?

    Wiki hii Serikali ya Rais Donald Trump imeishangaza ulimwengu kwa kuendelea na sera yake ya kuiandama China kwa kutoa muda wa saa 72 kufungua konseli kuu ya China mjini Houston, kwa kisingizio cha “kulinda taarifa binafsi za wamarekani na kulinda haki za ubinufu za wamarekani”. Wanaofuatilia kwa...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Aliyetumia Silent Ocean - naomba msaada wa ufafanuzi

    Wapendwa kwa unyenyekevu natanguliza salamu kwenu nyote. Nimeamua kuanza kununua bidhaa kama mikoba na pochi za wanawake moja kwa moja kutoka China kupitia Alibaba na Aliexpress na kuzileta hapa nikauza, sasa nimeout source baadhi ya supplier kwenye hiyo mitandao na kuona bei zao ni rafiki...
  3. Decibel

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa China uliopo Houston kufungwa kufikia Ijumaa

    Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imesema kuwa uamuzi huo unalenga "kulinda akilimiliki ya Wamarekani ". Lakini msemaji wa wizara ya mambo ya nchi za nje ya Uchina Wang Wenbin amesema kuwa uamuzi huo "ni wa kushitua na usio na sababu ". Taarifa hii imekuja baada ya watu wasiojulikana...
  4. Mtini

    JamiiForums Tanzania Kwa kasi hii ya maambukizi ni dhahiri China walidanganya, kama sivyo waruhusu uchunguzi huru

    Kwa hii kasi ya maambukizi naanza kuamini kabisa kuwa china walidanganya. inawezekanaje ugonjwa uanzie kwao wadhani ni ugonjwa wa kawaida watu wajichanganye mitaani kwa miezi miwili ndipo mgundue ni pandemic kwa taifa la watu 1.6b halafu muwe na wagonjwa 80,000 tu. Kama hawakudanganya kwenye...
  5. T

    JamiiForums Tanzania Mgogoro wa China na India, Airtel kuachana na Huawei

    Baada ya India kuingia kwenye mgogoro wa China, kampuni ya mawasiliano ya Airtel inatarajia kuachana na kampuni ya Huawei. Airtel imeikaribisha kampuni ya Errickson kutoka Sweden kupata vifaa vya mawasiliano ya 4G na 5G. Je Huawei itaweza kuishi ama kupambana na vikwazo vya kimarekani...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Japan kulipa $536 Million kwa makampuni yake 56 yahame kutoka China, yarudi nyumbani au nchi nyingine za Asia

    Toka mwaka jana 2019 Japan imekua ikiyashawishi na kuahidi kuyapa ruzuku ya serikali makampuni yake yote yaliyoko China kuhama nchi hiyo yarudi nyumbani au yatafte nchi nyingine ya Asia nje ya China. Hadi sasa makampuni 56 yamekubaliana na serikali kuhamisha shughuli zake kutoka China na...
  7. Mathanzua

    JamiiForums Tanzania Playing games on China won't save Trumps' presidency, he is gone, finished!

    You can repeat a lie over and over again but it doesn't make what you say true, and US President Trump has been lying through his teeth his entire career as a real estate mogul, reality TV star, presidential candidate, and President of the USA. His lies are so prolific it's hard to catalog them...
  8. T

    JamiiForums Tanzania Marekani inafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye malipo yoyote yanayohusu Dollar ya Marekani

    Utawala wa Bwana Donald Trump unafikiria kuizuia China kutumia mfumo wa Dollar kwenye manunuzi ya aina yoyote au wanaita dollar decoupling. Dollar ya kimarekani ndio sarafu maarufu inayotumika kufanya malipo Duniani, zaidi ya 60% ya malipo Duniani yanafanyika kwa njia ya Dollar. Dollar ndio...
  9. T

    JamiiForums Tanzania Marekani anafikiria kuwawekea vikwazo vya kusafiri viongozi wakuu wa Chama cha Kikomunisti cha China

    Marekani inafikiria kuiwekea vikwazo vya kusafiri kamati kuu ya chama cha kikomunisti cha China au CCP ama wanachama wake waandamizi. Huu ni muendelezo wa vikwazo vya Marekani dhidi ya China. Chombo cha habari cha China kimedai kua kuwekea wanachama au viongozi wakuu wa chama cha ukomunisti...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Is China challenging God?

    China has continued to shake the world with their back to back technological breakthroughs. Before now, it used to be the United States and Japan that occupy the top position in great inventions. The case, however, became different for over two decades now as China has proved to be the...
  11. luangalila

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya kinara wa kukopa toka China

    Click and read
  12. M

    JamiiForums Tanzania The World Panics as Humans infection of a Deadlier Virus confirmed in China

    Since Covid-19 introduced itself to us, in middle November last year, The world tried it very best to suffocate the virus as quickly as possible, But despite these effort, the virus still went on to claim the life of over 544,000 people, 11,8 million others are currently infected. Yes! this is...
  13. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Marekani yatarajia kuzuia mitandao ya kijamii ya China ikiwemo TikTok

    Mike Pompeo amesema Marekani inaangalia kuzuia matumizi ya Apps za wachina. Alisema wanachukulia swala hilo kwa uzito sana Wataalamu wa kidiplomasia wa nchi Marekani wamesema, watu wajue kuwa wanapopakua apps hizo wajue kuwa taarifa zao binafsi zitaenda kwa serikali za China Msemaji wa TikTok...
  14. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Raia wa China mbaroni kwa rushwa

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza, imemkamata raia wa China Bwana SHENG BING LIN (40) kwa kosa la kushawishi na kutoa rushwa kiasi cha shilingi laki moja (100,000/=) ambapo ni kinyume na Kif cha 15 (1) (b) cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa namba 11 ya...
  15. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania Virusi vya Corona viwe somo kwa aina mpya ya virusi vya homa ya mafua ya nguruwe viliyogunduliwa China

    Tangu mwanzoni mwa mwaka huu watu wengi wamekuwa wakiongelea janga la virusi vya corona ambalo limetikisa dunia nzima. Watu wote wameguswa na ugonjwa huu wa COVID-19 kwa namna moja ama nyingine, mana kama si ndugu yako kuugua ugonjwa huu basi ni rafiki au jirani yako. Lakini nchi na mtu mmoja...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Trumps Declares that he is very angry with China as US COVID-19 Death toll exceeds 128000

    Donald Trump have reinstated his anger toward china and this anger may not end anytime soon unless Coronavirus is over. The United States president have just Tweeted that as the global pandemic continues to spread and kill people, he is becoming more and more angry with China. Trump is...
  17. beth

    JamiiForums Tanzania Virusi vipya ambavyo vinaweza kusababisha mlipuko duniani vyagunduliwa China

    Aina mpya ya mafua ambayo inaweza kuwa janga kubwa la kiafya imegunduliwa na Wanasayansi nchini humo. Mafua hayo ni aina mpya ya virusi na kutokana na hilo, inawezekana binadamu wana kinga mwili ndogo ya kupambana nayo au hawana kabisa. Imeelezwa kuwa mafua hayo yapo kwa nguruwe lakini binadamu...
  18. Suley2019

    JamiiForums Tanzania China: Takriban watu 400,000 walio karibu na Beijing wawekwa ‘lockdown’

    China imeweka agizo la kutotoka ndani kwa wananchi takriban 400,000 katika Kaunti ya Anxin iliyopo Hebei, karibu na Mji Mkuu wa Beijing Watumishi wa sekta muhimu pekee ndio wanaruhusiwa kutoka nje huku mtu mmoja katika familia akiruhusiwa kutoka nyumbani mara moja kwa siku kununua mahitaji...
  19. eliakeem

    JamiiForums Tanzania Despite the Pandemic: China Export Share Has Expanded

    My Take: Nothing is set to slow down the speed of economic growth of the "Factory of the world". Most of the big economies are of the world are ailing. But not to the SINO, the emerging world economic power. Its graph is still reading upwards. Some critics are querying them selves if this is a...
  20. Yoyo Zhou

    JamiiForums Tanzania VLOG: Jinsi vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona vinavyochukuliwa China

    Takwimu rasmi zilizotolewa hivi karibuni zinaonesha kuwa watu milioni 90.41 nchini China wamefanyiwa vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona, jambo ambalo limefuatiliwa na jamii ya kimataifa. Je, China inafanya vipi vipimo hivyo? Kwa mfano wa mji mkuu Beijing, tunaangalia kwa undani...
Back
Top Bottom