Kwa mara ya kwanza idadi ya makampuni ya China kwenye orodha ya Fortune ya makampuni 500 yenye nguvu duniani yaizidi ya Marekani

Yoyo Zhou

Member
Jun 16, 2020
71
110
Jarida la Fortune ambalo limekuwa likitoa orodha ya kampuni yenye nguvu zaidi duniani, limetoa orodha ya mwaka huu ya makampuni 500 yanayoongoza duniani. Kwa mara ya kwanza kwenye orodha hiyo idadi ya makampuni ya China, ikiwa ni yale ya China Bara na Hong Kong imefikia 124, ikiwa imezidi idadi ya makampuni ya Marekani ambayo ni 121.

Tangu China ilipoanza kutekeleza sera ya mageuzi na kufungua mlango, idadi ya makampuni nchini China yenye nguvu imekuwa ikiendelea kuongezeka kutokana maendeleo ya uchumi wake. Mwaka 1997 kulikuwa na kampuni nne za China bara zilizoingia katika orodha hiyo. Mwaka 2001 China ilipojiunga na Shirika la biashara duniani WTO, idadi ya hiyo iliongezeka hadi 12.

Mwaka 2008, kasi ya ongezeko hilo ilikuwa ya kasi zaidi, na kufanya idadi ya makampuni ya China kuizidi ya Ujerumani, Ufaransa, Uingereza na Japan. Jarida la Fortune limesema, tangu mwaka 1995 orodha ya kampuni 500 bora duniani ilipoanza kutolewa, hakuna nchi yoyote iliyoweza kukua kwa kasi kama China.

Kutolewa kwa orodha hii kumekuja wakati kuna migongano wa kiuchumi kati ya China na Marekani, na kutoa mwanga zaidi kuwa kinachoendelea kati ya China na Marekani ni kuwa Marekani haipendi kuona nafasi yake ya kuwa mbele inachukuliwa na nchi nyingine duniani, hasa katika wakati huu ambao China inaonekana kuwa na uwezo mkubwa zaidi, wasiwasi wa Marekani unazidi kuongezeka.

Hata tukiangalia makampuni yanayolengwa na Marekani kwa njia mbalimbali, badala ya kuporomoka inaonekana kuwa yanazidi kuwa imara. Mfano mzuri ni kampuni ya Huawei ambayo inaandamwa sana na Marekani ambayo sasa imekuwa moja ya makampuni 50 yanayoongoza kwenye orodha hiyo.

Katika upande wa kampuni za mtandao wa Internet, kampuni saba duniani zimeingia kwenye orodha hiyo, ambazo ni Amazon, Alphabet, Facebook za Marekani, na JD.com, Alibaba, Tencent na Xiaomi za China.

Katika hali nyingine ya kufurahisha ni kuwa, makampuni ya China yanayofanya shughuli zake barani Afrika hasa yale yanayojihusisha kwenye miradi mikubwa ya ujenzi miundo mbinu yako kwenye orodha ya makampuni hayo. Uwepo wa makampuni hayo unaonyesha kuwa licha ya ushirikiano kati ya China na Afrika umehimiza makampuni hayo kupata maendeleo, bali pia unaonyesha kuwa makampuni ya China yanayoshiriki kwenye shughuli za maendeleo ya Afrika ni makampuni yenye uwezo mkubwa.
 
Ukiangalia kwa undani, Uchina ndiyo nchi iliyokuwa inaongoza kwa kuuza bidhaa nyingi nje ya nchi (A leading exporter of merchandise) tokea mwaka 2009 nafasi ambayo Marekani aliishika tokea mwaka 1945. Lakini sasa, sehemu ambayo Marekani alikuwa anawianisha hii nafasi dhidi ya Uchina ni katika utoaji na uuzaji wa huduma duniani (Professional Services Market)

Marekani na Canada ndiyo zinaongoza kwa uuzaji wa huduma duniani ambapo hadi kufika mwaka 2018 ilikuwa ni asilimia 33.4% ya huduma zote duniani nafasi ikifuatiwa na bara la Ulaya. Sasa hapa tunazungumzia utoaji wa huduma kama Ushauri wa kitaalamu (Consultancy Services) kwenye nyanja za : Kisheria (Legal), Kiuchumi (Economic), Kiufundi (Technical), Siasa (Political) na mengineyo.

Huduma zingine kama utoaji wa Elimu na zile za Kibenki zimebadilika sana tokea mwaka 2018. Katika elimu siku hizi wanafunzi wengi duniani wanaenda sana kusoma nchi za Asia kama Uchina, Malaysia na Singapore kuliko kwenda Ulaya na Marekani kutokana na gharama kuwa ndogo. Japo ukweli ni kwamba vyuo vya Magharibi ndiyo vina elimu bora zaidi kutokana na kukomaa kwenye tatifi mbalimbali kubwa za kisayansi.

Kwenye huduma za kibenki, ndiyo hali imezidi kuwa mbaya. Orodha ya mabenki kumi makubwa duniani Uchina peke yake ana benki kubwa nne za biashara (Commercial and Investment Banks). Haya mabenki ya Uchina yanakopesha sana na yamekuwa mbadala mzuri sana dhidi ya mabenki ya Magharibi hasa kwa nchi zinazoendelea za Afrika, Asia na Amerika Kusini. Mikopo yao ina riba ndogo na inatumia njia nyingi za ulipaji tofauti na fedha.

Sasa nikirudi kwenye mada yako: Uchina kuwa na makampuni makubwa siyo kigezo. Swali la msingi kabisa ni, Je kwamba haya makampuni yanafanyia kazi zake nyingi nchini mwao ??? Jibu ni NDIYO, makampuni makubwa ya Uchina yanafanyia kazi nyingi nchini Uchina. Tofauti na Marekani ambayo ni nchi inayomiliki makampuni makubwa na mengi lakini hayafanyii kazi nchini Marekani kwasababu yanakimbia kodi kubwa na gharama za uzalishaji hivyo mengi yako nchini Uchina, India na nchi nyingi za Asia.

Raisi Donald Trump amefanya juhudi kupambana na makampuni mengi ya kimarekani ambayo yamebadili Uraia (Corporate Inversion) au yamekimbia Marekani na kwenda kuwekeza nchi nyingine. Sasa Uchina kuna nini hadi wanakimbilia huko ??? Kule kuna nguvukazi kubwa iliyoelimika na yenye gharama nafuu (Cheap and Skilled Labour) katika uwekezaji.

NB: Hivyo kama tukiendelea hivi hadi kufika mwaka 2025 basi hali ya Marekani itakuwa mbaya sana, maana suala la msingi siyo kuwa na makampuni mengi, lakini kuwa na makampuni mengi yanayofanya kazi nchini kwako ili yazalishe ajira, yalipe kodi, yatoe huduma za uhakika kwa bei rahisi na ukiwa na makampuni makubwa ya utoaji wa huduma ambayo ni ya wazawa ni jambo muhimu sana katika usalama wa nchi.
 
Ukiangalia kwa undani, Uchina ndiyo nchi iliyokuwa inaongoza kwa kuuza bidhaa nyingi nje ya nchi (A leading exporter of merchandise) tokea mwaka 2009 nafasi ambayo Marekani aliishika tokea mwaka 1945. Lakini sasa, sehemu ambayo Marekani alikuwa anawianisha hii nafasi dhidi ya Uchina ni katika utoaji na uuzaji wa huduma duniani (Professional Services Market)

Marekani na Canada ndiyo zinaongoza kwa uuzaji wa huduma duniani ambapo hadi kufika mwaka 2018 ilikuwa ni asilimia 33.4% ya huduma zote duniani nafasi ikifuatiwa na bara la Ulaya. Sasa hapa tunazungumzia utoaji wa huduma kama Ushauri wa kitaalamu (Consultancy Services) kwenye nyanja za : Kisheria (Legal), Kiuchumi (Economic), Kiufundi (Technical), Siasa (Political) na mengineyo.

Huduma zingine kama utoaji wa Elimu na zile za Kibenki zimebadilika sana tokea mwaka 2018. Katika elimu siku hizi wanafunzi wengi duniani wanaenda sana kusoma nchi za Asia kama Uchina, Malaysia na Singapore kuliko kwenda Ulaya na Marekani kutokana na gharama kuwa ndogo. Japo ukweli ni kwamba vyuo vya Magharibi ndiyo vina elimu bora zaidi kutokana na kukomaa kwenye tatifi mbalimbali kubwa za kisayansi.

Kwenye huduma za kibenki, ndiyo hali imezidi kuwa mbaya. Orodha ya mabenki kumi makubwa duniani Uchina peke yake ana benki kubwa nne za biashara (Commercial and Investment Banks). Haya mabenki ya Uchina yanakopesha sana na yamekuwa mbadala mzuri sana dhidi ya mabenki ya Magharibi hasa kwa nchi zinazoendelea za Afrika, Asia na Amerika Kusini. Mikopo yao ina riba ndogo na inatumia njia nyingi za ulipaji tofauti na fedha.

Sasa nikirudi kwenye mada yako: Uchina kuwa na makampuni makubwa siyo kigezo. Swali la msingi kabisa ni, Je kwamba haya makampuni yanafanyia kazi zake nyingi nchini mwao ??? Jibu ni NDIYO, makampuni makubwa ya Uchina yanafanyia kazi nyingi nchini Uchina. Tofauti na Marekani ambayo ni nchi inayomiliki makampuni makubwa na mengi lakini hayafanyii kazi nchini Marekani kwasababu yanakimbia kodi kubwa na gharama za uzalishaji hivyo mengi yako nchini Uchina, India na nchi nyingi za Asia.

Raisi Donald Trump amefanya juhudi kupambana na makampuni mengi ya kimarekani ambayo yamebadili Uraia (Corporate Inversion) au yamekimbia Marekani na kwenda kuwekeza nchi nyingine. Sasa Uchina kuna nini hadi wanakimbilia huko ??? Kule kuna nguvukazi kubwa iliyoelimika na yenye gharama nafuu (Cheap and Skilled Labour) katika uwekezaji.

NB: Hivyo kama tukiendelea hivi hadi kufika mwaka 2025 basi hali ya Marekani itakuwa mbaya sana, maana suala la msingi siyo kuwa na makampuni mengi, lakini kuwa na makampuni mengi yanayofanya kazi nchini kwako ili yazalishe ajira, yalipe kodi, yatoe huduma za uhakika kwa bei rahisi na ukiwa na makampuni makubwa ya utoaji wa huduma ambayo ni ya wazawa ni jambo muhimu sana katika usalama wa nchi.
Umeeleza uhalisia 100% pengine hali huko marekani imeshaanza kuwa mbaya wameshikilia kamba tu inayo karibia kukatika!
 
Ukiangalia kwa undani, Uchina ndiyo nchi iliyokuwa inaongoza kwa kuuza bidhaa nyingi nje ya nchi (A leading exporter of merchandise) tokea mwaka 2009 nafasi ambayo Marekani aliishika tokea mwaka 1945. Lakini sasa, sehemu ambayo Marekani alikuwa anawianisha hii nafasi dhidi ya Uchina ni katika utoaji na uuzaji wa huduma duniani (Professional Services Market)

Marekani na Canada ndiyo zinaongoza kwa uuzaji wa huduma duniani ambapo hadi kufika mwaka 2018 ilikuwa ni asilimia 33.4% ya huduma zote duniani nafasi ikifuatiwa na bara la Ulaya. Sasa hapa tunazungumzia utoaji wa huduma kama Ushauri wa kitaalamu (Consultancy Services) kwenye nyanja za : Kisheria (Legal), Kiuchumi (Economic), Kiufundi (Technical), Siasa (Political) na mengineyo.

Huduma zingine kama utoaji wa Elimu na zile za Kibenki zimebadilika sana tokea mwaka 2018. Katika elimu siku hizi wanafunzi wengi duniani wanaenda sana kusoma nchi za Asia kama Uchina, Malaysia na Singapore kuliko kwenda Ulaya na Marekani kutokana na gharama kuwa ndogo. Japo ukweli ni kwamba vyuo vya Magharibi ndiyo vina elimu bora zaidi kutokana na kukomaa kwenye tatifi mbalimbali kubwa za kisayansi.

Kwenye huduma za kibenki, ndiyo hali imezidi kuwa mbaya. Orodha ya mabenki kumi makubwa duniani Uchina peke yake ana benki kubwa nne za biashara (Commercial and Investment Banks). Haya mabenki ya Uchina yanakopesha sana na yamekuwa mbadala mzuri sana dhidi ya mabenki ya Magharibi hasa kwa nchi zinazoendelea za Afrika, Asia na Amerika Kusini. Mikopo yao ina riba ndogo na inatumia njia nyingi za ulipaji tofauti na fedha.

Sasa nikirudi kwenye mada yako: Uchina kuwa na makampuni makubwa siyo kigezo. Swali la msingi kabisa ni, Je kwamba haya makampuni yanafanyia kazi zake nyingi nchini mwao ??? Jibu ni NDIYO, makampuni makubwa ya Uchina yanafanyia kazi nyingi nchini Uchina. Tofauti na Marekani ambayo ni nchi inayomiliki makampuni makubwa na mengi lakini hayafanyii kazi nchini Marekani kwasababu yanakimbia kodi kubwa na gharama za uzalishaji hivyo mengi yako nchini Uchina, India na nchi nyingi za Asia.

Raisi Donald Trump amefanya juhudi kupambana na makampuni mengi ya kimarekani ambayo yamebadili Uraia (Corporate Inversion) au yamekimbia Marekani na kwenda kuwekeza nchi nyingine. Sasa Uchina kuna nini hadi wanakimbilia huko ??? Kule kuna nguvukazi kubwa iliyoelimika na yenye gharama nafuu (Cheap and Skilled Labour) katika uwekezaji.

NB: Hivyo kama tukiendelea hivi hadi kufika mwaka 2025 basi hali ya Marekani itakuwa mbaya sana, maana suala la msingi siyo kuwa na makampuni mengi, lakini kuwa na makampuni mengi yanayofanya kazi nchini kwako ili yazalishe ajira, yalipe kodi, yatoe huduma za uhakika kwa bei rahisi na ukiwa na makampuni makubwa ya utoaji wa huduma ambayo ni ya wazawa ni jambo muhimu sana katika usalama wa nchi.
Ufafanuzi makini sana
 
Mpaka sasa Marekani ashapigwa tatu bila, amekuja kushtuka wakati anapigiwa taa kuonyesha kuwa ana overtake-iwa.
Ila wachina wanapiga kazi wale watu, yani hata tamthilia zao ni za kuchapa kazi tu mapenzi kwa mbali ila ni kazi kazi, ubunifu, biashara. Sijui wale walipewa nini kwanini sisi hatuwi na morari kama wao tuna visingizio mia ishirini kidogo.
 
Sio uhalisia tulionao lately
Kuna vitu watu huadhani USA can not pull off,na hua ana pull off across history..

To me,ni bora nikae kwenye utawala wa USA walao kuna fair judicial system,rule of law na democracy..

Mengine kama vita,uonevu nk,I can live with it,ila totalitarian na autocracy na lawlessness ya China ,I can't!

Nikionewa na Mchina yeyote,kufungua kesi China ni waste of time!
 
Huyo jamaa ni "mahaba niuwe kwa Marekani" yani ukindeleanae mtakesha hadi kunakucha hawezi kukuelewa 😁
Wala sio hivyo

Mimi nataka civil liberties,rule of law,democracy,na voluntary exchange between human beings,these can be assured by only the West!

Siwezi kaa kwenye dunia ambayo mahakama hazipo huru zinafuata the whims of Chinese rulling party,etc!

Ni heri nikae na Marekani hii hii,apart from uonevu anaofanya walao my civil liberties are guranteed na mfumo wake wa mahakama unafanya kazi,walao naweza pata haki yangu,kwa mahakama za China forget it!
 
Huyo jamaa ni "mahaba niuwe kwa Marekani" yani ukindeleanae mtakesha hadi kunakucha hawezi kukuelewa 😁
Nimeshamuona tayari anahamisha goli maana hapa tunaongelea China kuipita kiuchumi Usa ila yeye tayari kanipeleka kwenye China hana rule of law na unfair judicial system kana kwamba tunapigania nani mkoloni bora kuliko mwanzake😀
 
Wala sio hivyo

Mimi nataka civil liberties,rule of law,democracy,na voluntary exchange between human beings,these can be assured by only the West!

Siwezi kaa kwenye dunia ambayo mahakama hazipo huru zinafuata the whims of Chinese rulling party,etc!

Ni heri nikae na Marekani hii hii,apart from uonevu anaofanya walao my civil liberties are guranteed na mfumo wake wa mahakama unafanya kazi,walao naweza pata haki yangu,kwa mahakama za China forget it!

Hahahaa sawa mkuu
 
Mpaka sasa Marekani ashapigwa tatu bila, amekuja kushtuka wakati anapigiwa taa kuonyesha kuwa ana overtake-iwa.
Ila wachina wanapiga kazi wale watu, yani hata tamthilia zao ni za kuchapa kazi tu mapenzi kwa mbali ila ni kazi kazi, ubunifu, biashara. Sijui wale walipewa nini kwanini sisi hatuwi na morari kama wao tuna visingizio mia ishirini kidogo.
Ogopa sana hao watu ... China ni taifa la kale sana hapa ulimwenguni ..limesha fanya mambo makubwa mengi sana .. Kama unaisoma history vyema utabaini kwamba China wana asili ya kuwa na akili nyingi kitambo hawajaanza Leo kutisha katika technology ule ukuta wa the great wall of China ni kielelezo tosha
 
Ukiangalia kwa undani, Uchina ndiyo nchi iliyokuwa inaongoza kwa kuuza bidhaa nyingi nje ya nchi (A leading exporter of merchandise) tokea mwaka 2009 nafasi ambayo Marekani aliishika tokea mwaka 1945. Lakini sasa, sehemu ambayo Marekani alikuwa anawianisha hii nafasi dhidi ya Uchina ni katika utoaji na uuzaji wa huduma duniani (Professional Services Market)

Marekani na Canada ndiyo zinaongoza kwa uuzaji wa huduma duniani ambapo hadi kufika mwaka 2018 ilikuwa ni asilimia 33.4% ya huduma zote duniani nafasi ikifuatiwa na bara la Ulaya. Sasa hapa tunazungumzia utoaji wa huduma kama Ushauri wa kitaalamu (Consultancy Services) kwenye nyanja za : Kisheria (Legal), Kiuchumi (Economic), Kiufundi (Technical), Siasa (Political) na mengineyo.

Huduma zingine kama utoaji wa Elimu na zile za Kibenki zimebadilika sana tokea mwaka 2018. Katika elimu siku hizi wanafunzi wengi duniani wanaenda sana kusoma nchi za Asia kama Uchina, Malaysia na Singapore kuliko kwenda Ulaya na Marekani kutokana na gharama kuwa ndogo. Japo ukweli ni kwamba vyuo vya Magharibi ndiyo vina elimu bora zaidi kutokana na kukomaa kwenye tatifi mbalimbali kubwa za kisayansi.

Kwenye huduma za kibenki, ndiyo hali imezidi kuwa mbaya. Orodha ya mabenki kumi makubwa duniani Uchina peke yake ana benki kubwa nne za biashara (Commercial and Investment Banks). Haya mabenki ya Uchina yanakopesha sana na yamekuwa mbadala mzuri sana dhidi ya mabenki ya Magharibi hasa kwa nchi zinazoendelea za Afrika, Asia na Amerika Kusini. Mikopo yao ina riba ndogo na inatumia njia nyingi za ulipaji tofauti na fedha.

Sasa nikirudi kwenye mada yako: Uchina kuwa na makampuni makubwa siyo kigezo. Swali la msingi kabisa ni, Je kwamba haya makampuni yanafanyia kazi zake nyingi nchini mwao ??? Jibu ni NDIYO, makampuni makubwa ya Uchina yanafanyia kazi nyingi nchini Uchina. Tofauti na Marekani ambayo ni nchi inayomiliki makampuni makubwa na mengi lakini hayafanyii kazi nchini Marekani kwasababu yanakimbia kodi kubwa na gharama za uzalishaji hivyo mengi yako nchini Uchina, India na nchi nyingi za Asia.

Raisi Donald Trump amefanya juhudi kupambana na makampuni mengi ya kimarekani ambayo yamebadili Uraia (Corporate Inversion) au yamekimbia Marekani na kwenda kuwekeza nchi nyingine. Sasa Uchina kuna nini hadi wanakimbilia huko ??? Kule kuna nguvukazi kubwa iliyoelimika na yenye gharama nafuu (Cheap and Skilled Labour) katika uwekezaji.

NB: Hivyo kama tukiendelea hivi hadi kufika mwaka 2025 basi hali ya Marekani itakuwa mbaya sana, maana suala la msingi siyo kuwa na makampuni mengi, lakini kuwa na makampuni mengi yanayofanya kazi nchini kwako ili yazalishe ajira, yalipe kodi, yatoe huduma za uhakika kwa bei rahisi na ukiwa na makampuni makubwa ya utoaji wa huduma ambayo ni ya wazawa ni jambo muhimu sana katika usalama wa nchi.
Uchumi wa Marekani umeshikiliwa na masoko makubwa ya fedha.
 
Back
Top Bottom