Wachina saba wamekutwa na hatia ya kujaribu kuwaua watanzania wawili kwa kuwatupa baharini karibu na mwambao wa KwaZulu Natal, mwezi uliopita
Amiri Salamu(20) na Hassani Rajabu(30) walitoswa baharini wakiwa wamepewa ‘life jackets’ na chupa za maji wakaamriwa kuogelea. Siku tatu baadae...
Baada ya Marekani kuwa na Mashaka na china juu ya takwimu alizotoa na kusema atafanya uchunguzi mwenyewe ili kuthibitisha hiyo idadi, china imetoa ripoti mpya inayoonesha vifo 1,290 na kujitetea kwamba ilikuwa umesahaulika hivyo kufanya vifo kufikia 4,623 na wagonjwa 82,692 ikiwa ni ongezeko la...
Kwa mara ya kwanza baada ya miaka hamsini, uchumi wa China umepungua kwa asilimia 6.8, ofisi ya takwimu ya nchi hiyo imebainisha
Wachambuzi wa kiuchumi wametahadharisha kuwa uchumi unaweza ukasinyaa zaidi kutokana na kushuka kwa uhitaji wa bidhaa za kutoka China kwa mataifa mengine
Pato la...
(Donald Trump President of the USA)
United State being a strong opponent and critic of China has finally succumbed to unforeseen COVID-19 crisis.
This comes despite the recent racist remarks from President Donald Trump against China terming COVID-19 a 'Chinese virus'.
The state of Illinois in...
China imeiomba Marekani hii leo kutimiza wajibu wake kwa shirika la afya ulimwenguni, WHO baada ya Rais Donald Trump kusimamisha ufadhili kwa shirika hilo akilituhumu kushindwa kulishughulikia ipasavyo janga la virusi vya corona.
Waziri wa mambo ya kigeni wa China Zhao Lijian amewaambia...
President Trump kaifutia WHO msaada wa fedha akidai WHO imekuwa upande wa China kwa kuipongeza kwenye kupambana na Coronavirus. Cha ajabu hata yeye aliisifia China January 24.
In the midst of rising Coronavirus cases in US, President Donald Trump in his press address hits out at a correspondent when approached about ramifications for China
Donald Trump
In the midst of rising Coronavirus cases in United States, President Donald Trump on Monday in his press address...
Mabalozi wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje China, Chen Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi ya raia wa Afrika katika mji wa Guangzhou, Chen amewaeleaza Mabalozi kwamba Serikali ya China haiungi mkono vitendo vya ubaguzi dhidi ya yeyote.
Kuhusu...
Taarifa za fedha za mabenki kwa robo ya tatu ya mwaka 2019 zimetolewa kuanzia mwezi wa tisa mwishoni na mwezi wa kumi katika vyombo mbalimbali vya habari hasa magazeti kama ambavyo kanuni ya mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2014 inaelekeza. Kiujumla kumekuwa na kupanda kwa faida kwa mabenki...
Baraza la Congress la Marekani limemwandikia barua Tedros Adhamon ambaye ni DG wa WHO likimtuhumu kuisaidia China kwenye mpango wake wa siri kueneza COVID19 duniani kwa Makusudi.
Jisomee mwenyewe hapa👇:
April 9, 2020
Dr. Tedros Adhanom Ghebreyesus
Director-General
World Health Organization
20...
Raia wa China akamatwa kwa kusambaza uongo kuhusu Waafrika
Serikali ya mji wa Guangzhou, kusini mwa China imesisitiza kuwa jamii ya Waafrika katika mji huo ni ndogo kuliko laki tatu iliyodaiwa katika mitandao ya kijamii ya Kichina, na kwamba watu wanaowsili kutoka nchi za nje, raia wa China na...
China yabuni mfumo wa kupata matokea ya haraka ya vipimo vya virusi vya Corona
Wanasayansi wa China wamefanikiwa kubuni mfumo wa kupata majibu ya haraka ya vipimo vya virusi vya Corona. Mfumo huo unaweza kuhifadhiwa na kusafirishwa katika joto la kawaida, na matokeo yanaweza kupatikana dakika...
The number of coronavirus cases in Kenya has risen to 184 after five more patients tested positive for COVID-19.
Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe on Thursday said the new cases include three Kenyans and two foreigners.
Three of the five patients had traveled from Tanzania while the other...
Twiga Minerals Corporation, a joint venture between Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) and the Tanzanian government, has announced a support program to assist the country in combating and containing the Covid-19 pandemic.
Barrick's chief operating officer for its Africa and Middle...
China has been making frantic moves to help developing countries, especially Africa, to overcome the Coronavirus pandemic. The coronavirus pandemic has destroyed economies of the world, thereby bringing many countries down. The means of survival of many countries have been crumbled with the...
Mamlaka ya afya nchini China imethibitisha visa vipya 62 vya maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa hatari wa Covid-19, ambapo janga hilo lilizuka mwezi Desemba mwaka jana.
Siku moja kabla watu 32 waliambukizwa virusi vya Corona, kwamujibu wa mamlaka ya afya.
Vifo viwili vya nyongeza...
Rais Donald Trump amelishukia shirika la afya duniani WHO na kulilaumu kwa kuegemea upande wa China.Trump amesema asasi hiyo ya kimataifa ilishirikiana na China kuficha ukweli.
Rais wa Marekani Trump ametishia kulikatia fedha shirika la afya Duniani WHO kwa sababu amesema shirika hilo...
Msemaji Wizara ya Mambo ya Nje wa China Zhao Lijian amesema China ipo tayari kuisaidia Marekani ili kupunguza maambukizi ya corona ambayo yanaonekana kushika kasi USA wakati huu ambapo China yamepungua, Zhao ni miongoni mwa Watu wa kwanza kudai Marekani imepandikiza corona China.
"Niliwahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.