china

  1. B

    Wataalamu wa Tanzania na China live ktk TV mada: Covid-19

    May 27, 2020 Covid-19 Frontline live on CGTN TV Madaktari wa Kitanzania na China wazungumzia uzoefu wakihojiwa Live na Televisheni ya kimataifa ya CGTN Habari nzuri madokta waTanzania toka Prof. Mohammed Janabi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Dr. Charles Hospitali ya Kairuki Memorial Dsm...
  2. Miki123

    Kwanini Hongkong wanaichukia sana China?

    Hongkong kuna maandamano ya kutisha kutokana na "muswada wenye utata" uliopitishwa na Serikali Kuu ya China. Mapambno yamekuwa makubwa kati ya polisi na waandamanaji. Katika harakati za kuivuruga china kabisa, Trump amesema atachukua hatua kali zaidi dhidi iwapo muswada huo utapitishwa...
  3. Suley2019

    China kuendelea kuisaidia Afrika kukabiliana na COVID-19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa China Bw. Wang Yi amesema, China itaendelea kuzisaidia nchi za Afrika kupambana na COVID-19, na kuchangia utekelezaji wa pendekezo la Kundi la nchi 20 la kukubali nchi maskini kuahirisha kulipa madeni. Vilevile China inafikiria kutoa msaada zaidi kwa nchi za Afrika...
  4. M

    China: If We Have to Pay for Coronavirus, U.S. Has to Pay for AIDS, 2008 Financial Crisis

    China: If We Have to Pay for Coronavirus, U.S. Has to Pay for AIDS, 2008 Financial Crisis Chinese state media once again floated the prospect of international lawsuits against the United States for supposedly being responsible for the HIV/AIDS epidemic in a column Thursday, adding the 2008...
  5. M

    How The World is forming an alliance against China

    Many countries across the globe are joining hands against China. They are working as a "collective whole" and have adopted a holistic approach to ensure that China pays for its ill-deeds. The five levers that they are using against China are as follows: First retaliation They are demanding and...
  6. stakehigh

    LIVE: US slams WHO as 'puppet of China'

    https://www.bbc.com/news/live/world-52717664
  7. M

    China promises to take a revenge on Australia as 62 Countries joins Corona Virus Enquiry

    A COALITION of 62 countries are now supporting Australia's call for an independent probe to investigate the causes of the coronavirus pandemic that started in Wuhan, China. But, Australian Prime Minister Scott Morrison has felt the wrath of Beijing, after China threatened to decimate his...
  8. Nyendo

    China is set to force a '30-day calming period' on Divorcing Couples

    Chinese lawmakers have drafted a law to order all divorcing couples to complete a '30-day calming period' after the country saw tens of thousands of people applying for separation following the coronavirus lockdown. Married couples who wish to break up must wait for a month before their request...
  9. Analogia Malenga

    Trump atishia kusitisha uhusiano na China

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kusitisha mahusiano na China kutokana na dhima ya taifa hilo katika kusambaa kwa virusi vya corona ambavyo hadi sasa vimesababisha vifo vya zaidi ya watu 300,000 duniani. Katika mahojiano yaliyorushwa jana Alhamis Rais Trump amerejea shutuma zake dhidi...
  10. M

    Fears erupts after experts claims "US has China Surrounded"

    I THE US and China have entered a new phase of their long-standing war - this time a dispute over the origins and causes of the coronavirus. Though mostly rhetorical, the US appears to have military bases and missiles pointed at China should a full-blown war break out between the two global...
  11. Analogia Malenga

    Marekani yaishutumu China kudukua tafiti za chanjo ya COVID-19

    Wataalamu wa usalama wa mtandao wa Marekani wameishutumu China kuwa inawadukua kujaribu kuia taarifa kuhusu tafiti zilizofanyawa kuhusu COVID19 FBI na Idaya ya Usalama imepanga kutoa onyo kuhusu kwa wachina wanaoshutumiwa kudukua taasisi za Afya zinazofanya tafiti kugundua chanjo ya CoronaVirus...
  12. Analogia Malenga

    China imeripoti visa vipya, mji wa Wuhan watangaza kisa kimoja

    China imeripoti visa vipya 17 vya #COVID19, 10 kati ya hivyo yakiwa ni maambukizi ya ndani. Mji wa Wuhan umetangaza visa vitanoa vya ugonjwa huo baada ya kuwa kimya kwa takribani mwezi mmoja - Mji wa Jilin umewekwa katika zuio la kutoka nje baada ya kuwa na visa 10 vilivyoripotiwa, Mei 10...
  13. K

    Nchi zetu zitoe shinikizo China isamehe madeni yake

    Yaani nchi za Africa zimezoea kulaumu nchi za west mpaka kwenye Corona. Tunaomba world bank itusamehe makosa yetu lakini kwanini mikopo ya China haionholewi. Tanzania mikopo mingi ya China moja wapo ni ule wa $1.3B bomba la gesi ambalo halitumiki vizuri. Kawanini tusiombe punguzo huko wakati...
  14. Kevin85ify

    Did china and WHO doom the word with covid19 for China to sign a trade deal with America

    Information has been leaked that china knew of the covid19 outbreak in late November 2019. The doctors who blew the whistle were immediately arrested and detained with two of them dying in custody from covid19. December 15nth 2019, China signed a trade deal with America with a very interesting...
  15. FRANCIS DA DON

    Video: Mwafrika akiburuzwa kama kiroba cha mchele barabarani huko China kisa Corona

    Inadaiwa kwamba waAfrika ndio wamepeleka Corona China, hivyo wanasulubiwa ipasavyo. Je kuna haja ya kuwawashia moto hawa waChina huku Afrika kama waSauzi kioindi cha Xenophobia?
  16. MakinikiA

    India yakataa vifaa vya kupima virusi kutoka China

    Vifaa hivyo vilitarajiwa kugundua antobody katika damu ya wagonjwa wa virusi vya corona India imesitisha uagizaji wa karibu vifaa nusu milioni vya kupimia virusi vya corona kutoka China baada ya kubainika kuwa vifaa hivyo ''Vina dosari''. Mji wa Delhi pia umeondoa vifaa ambavyo tayari vilikuwa...
  17. S

    China watataka dunia nzima wawe wao tu - Marehemu Askofu Kulola

    Nimemkumbuka Askofu Kulola Leo sikuwahi kusali wala kuhudhuria moja kwa moja katika kanisa lake lakini naheshimu huduma yake sana alipita vijiji vingi karibu 8000 kipindi hicho ndio muhubiri aliyetembea sana kwa miguu na kufika vijiji Vingi kuhubiri kabla ya kuhubiri mijini.Na alihubiri neno na...
  18. Mzalendo2015

    China lazima iwajibike kwa uzembe iliyofanya Wuhan kusababisha janga la covid-19 Duniani

    Wana JF, Janga la Covid-19 lilianzia nchini China katika mji wa Wuhan-Hubei Province mwezi Desemba 2019! Mpaka leo Taifa la China halijaweka hadharani nini hasa kilitokea kwenye Maabara za WUHAN Institute of Vilorogy(WIV) hadi kupelekea mlipuko huu wa Covid-19. China imeshakiri kuwa kabla ya...
  19. Tajiri Tanzanite

    Naona chuki kati ya Urusi na China ikikua kwa mbali

    Hapo vip!! Ni ukweli ulio wazi ya kwamba china na urusi ni marafiki tena wa kushibana wa muda mrefu sana...ila nina wasiwasi urafiki huu ukachafuliwa na dowa la CORONA-COV19. Ishara hii imeanza kuonekana baada ya mwanasayansi mkubwa wa Urusi kuinyooshea china kidole yakwamba ndio anayehusika...
  20. M

    U S Warships enters disputed South China sea as tensions escalate .

    © Adam Dean for The New York Times A view of Scarborough Shoal, now effectively controlled by China. The Chinese government has made vast claims to the South China Sea that conflict with demarcations made by five other governments. American warships have sailed into disputed waters in the South...
Back
Top Bottom