The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,457
- 17,239
Baada ya India kuingia kwenye mgogoro wa China, kampuni ya mawasiliano ya Airtel inatarajia kuachana na kampuni ya Huawei.
Airtel imeikaribisha kampuni ya Errickson kutoka Sweden kupata vifaa vya mawasiliano ya 4G na 5G.
Je Huawei itaweza kuishi ama kupambana na vikwazo vya kimarekani?
Tusubiri.
Airtel | Boycott Chinese products: Huawei may lose Airtel’s Tamil Nadu 4G circle to Ericsson
Airtel imeikaribisha kampuni ya Errickson kutoka Sweden kupata vifaa vya mawasiliano ya 4G na 5G.
Je Huawei itaweza kuishi ama kupambana na vikwazo vya kimarekani?
Tusubiri.
Airtel | Boycott Chinese products: Huawei may lose Airtel’s Tamil Nadu 4G circle to Ericsson