china

  1. Miki123

    Trump amekuwa mpole kwa Rais wa China Xi

    Kuna baadhi ya watu wanasema china anapika data kuhusu takwimu za corona lakini tweet ya leo trump ameomba ushauri wa kupambana na corona tena kwa lugha ya upole bila kuweka mbwembwe za kuita corona chinese virus.
  2. Miss Zomboko

    Marekani na China zaungana katika kupambana na Corona

    Rais wa China amesema nchi yake na Marekani lazima ziungane kupambana na janga la Corona, huku mawaziri wa fedha wa Umoja wa Ulaya wakitakiwa kufikia mpango wa kuuokoa uchumi wao uliodhoofishwa kutokana na janga hilo. Rais Xi Jinping wa China pia ameitolea wito Marekani kuimarisha uhusiano wa...
  3. M

    10 Delicious foods to try out in China!!

    The saying must be true: “The Chinese eat everything that has four legs, except tables and chairs, and everything that flies except planes.” However, the State and federal health officials have been clear: You’re no more likely to contract the novel coronavirus from a person of Asian descent...
  4. beth

    China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi

    Mtu mmoja amefariki dunia kutokana na Virusi vinavyofahamika kama Hanta Virus baada ya vipimo kuthibitisha amepata maambukizi. Mtu huyo alifariki ndani ya basi katika Jimbo la Yonnan na abiria 32 waliokuwepo katika basi hilo wamepimwa ili kuona kama wameathirika. Hanta Virus husambazwa na Panya...
  5. digba sowey

    Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

    Wakuu hamjambo? Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi. Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
  6. kidadari

    China yatangazi mwanzo wa ushindi vita ya dhidi Corona mjini WUHAN

    Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo. -Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya -hakuna kifo kipya kilichoripotiwa -hakuna washukiwa wapya...
  7. Kitambi chakufutia tachi

    China inaonekana kuibuka na ushindi dhidi ya janga la Corona

    Wakati nchi nyingi zikiingiwa na taharuki kutokana na kuenea kwa virusi vya corona nchini China katika jimbo la Guizhou Kusini-Magharibi mwa nchi hiyo wanafunzi wameanza kurejea mashuleni kama kawaida pasi na vilinda pua na midomo (mask). Taarifa hii ni kwa Mujibu wa kituo cha habari cha Taifa...
  8. M

    New Drug cures 80 Coronavirus patients is now approved for mass production in China

    Experts in China have now narrowed down to favipiravir. Source/Xinhua News A pharmaceutical company in China has been been handed a go ahead by the National Medical Products Administration to kick-start the mass-production of a drug that has been clinically proven to cure coronavirus. The...
  9. M

    Us biological Warfare against China could lead into World war lll

    According to Kevin Barret A number of intersting developments here in United States and China suggested that there is something strange going on regarding the Coronavirus and US government. We are now hearing from the Chinese government itself, as well as Chinese social media, which is normally...
  10. Aaron Arsenal

    China yasema Corona ilianzia Marekani na wanajeshi wa Marekani ndio walioileta China na imeua zaidi ya watu 20,000 nchini Marekani

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa China Zhao Lijian amesema kuna wasiwasi kwa asilimia kubwa kuwa Marekani kupitia Jeshi lake ndio wahusika wakuu waliopandikiza corona China na kwamba ugonjwa huo haukuanzia eneo la Wuhan,China bali ulianzia Marekani. Source: Chinese News
  11. S

    Niliwashauri ATC wasiende China kupitia Bangkok, hawatapata faida njia ina ushindani sana, naona hawakusikia

    Naona ATCL wameamua kwamba wataenda China kupitia Bangkok, Thailand Bangkok. Njia hii ina ushindani sana, haitakuwa na faida kwao kupitia Bangkok na kushindana na mashirika makubwa ambayo yameweka mizizi sana kwenda au kupitia Bangkok pamoja na Ethiopian Airways and Kenya Airways. Ninawashauri...
  12. isajorsergio

    Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy

    Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy kwa kifupi yupo Corona positive. At the moment nahisi jambo pia tumekutana in two weeks, personally najiweka quarantine nione majibu. Huu ni ujumbe wake wa mwisho. "🇨🇳🙏🏽...it wasn’t easy leave my family in that way 🥺 I do miss them a lot and...
  13. M

    Hali ya kupambana na Corona ilivyokuwa huko China

    1. Mbinu za kijeshi za wakati wa vita zinatumika, kama vile kufungia ndani kwa kufuli maalum wasthirika wa corona wasitoke 2. Kupeleka waathirika kwenye makambi maalum yaliyotengenezwa 3. kubadiri viwanja vya michezo na mabweni ya shule kuwa vituo maalum vya karantini 4. Kukamata wasiovaa...
  14. J

    Corona: Zanzibar yasitisha safari zote za ndege kutoka Italy

    Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje. Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani. Source Star tv!
  15. Erythrocyte

    Corona: Tanzania yaingilia kati, madaktari wake wajitolea kwenda China kuidhibiti

    Rafiki wa kweli ni wakati wa shida . ===== SERIKALI ya China imeshukuru utayari wa Serikali ya Tanzania wa kutaka kuwapeleka madaktari nchini humo, kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19). Aidha, imewatoa hofu Watanzania kuhusu changamoto za...
  16. Makirita Amani

    Taoism: Falsafa ya kale ya China inayokupa nguvu ya kufanya bila kutenda

    Sisi binadamu huwa tunapenda kutumia nguvu kwenye kila jambo, kitu ambacho hakitupi matokeo mazuri mara zote. Lakini kupitia falsafa mbalimbali, tunajifunza hekima ambayo tukiweza kuitumia, tunaweza kufanya makubwa bila ya kutumia nguvu sana. Moja ya falsafa inayoweza kutupa nguvu ya aina hii...
  17. beth

    Shirika la Ethiopian Airlines lagoma kusitisha safari za China. Lasema kuitenga China sio suluhisho

    Kwa mara nyingine tena shirika la ndege la Ethiopia limekataa kusitisha safari zake za ndege kwenda nchini China, licha ya kuwepo kwa shinkizo la kulitaka kufanya hivyo kutokana na mlipuko wa virusi vya corona. Mkurugenzi wa shirika hilo Tewolde Gebremariam amesema kuwa, kusitisha safari za...
  18. M

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini. Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao. Hii hali...
  19. Gwangzu

    Coronavirus: tupia picha | tuone hali ilivyo huko china

    Tushare kwa picture hali ilivyo huko china; *soon nawaletea pictures*
Back
Top Bottom