Kuna baadhi ya watu wanasema china anapika data kuhusu takwimu za corona lakini tweet ya leo trump ameomba ushauri wa kupambana na corona tena kwa lugha ya upole bila kuweka mbwembwe za kuita corona chinese virus.
Rais wa China amesema nchi yake na Marekani lazima ziungane kupambana na janga la Corona, huku mawaziri wa fedha wa Umoja wa Ulaya wakitakiwa kufikia mpango wa kuuokoa uchumi wao uliodhoofishwa kutokana na janga hilo.
Rais Xi Jinping wa China pia ameitolea wito Marekani kuimarisha uhusiano wa...
The saying must be true: “The Chinese eat everything that has four legs, except tables and chairs, and everything that flies except planes.” However, the State and federal health officials have been clear: You’re no more likely to contract the novel coronavirus from a person of Asian descent...
Mtu mmoja amefariki dunia kutokana na Virusi vinavyofahamika kama Hanta Virus baada ya vipimo kuthibitisha amepata maambukizi. Mtu huyo alifariki ndani ya basi katika Jimbo la Yonnan na abiria 32 waliokuwepo katika basi hilo wamepimwa ili kuona kama wameathirika.
Hanta Virus husambazwa na Panya...
Wakuu hamjambo?
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo.
-Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya
-hakuna kifo kipya kilichoripotiwa
-hakuna washukiwa wapya...
Wakati nchi nyingi zikiingiwa na taharuki kutokana na kuenea kwa virusi vya corona nchini China katika jimbo la Guizhou Kusini-Magharibi mwa nchi hiyo wanafunzi wameanza kurejea mashuleni kama kawaida pasi na vilinda pua na midomo (mask).
Taarifa hii ni kwa Mujibu wa kituo cha habari cha Taifa...
Experts in China have now narrowed down to favipiravir. Source/Xinhua News
A pharmaceutical company in China has been been handed a go ahead by the National Medical Products Administration to kick-start the mass-production of a drug that has been clinically proven to cure coronavirus.
The...
According to Kevin Barret
A number of intersting developments here in United States and China suggested that there is something strange going on regarding the Coronavirus and US government.
We are now hearing from the Chinese government itself, as well as Chinese social media, which is normally...
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Kigeni wa China Zhao Lijian amesema kuna wasiwasi kwa asilimia kubwa kuwa Marekani kupitia Jeshi lake ndio wahusika wakuu waliopandikiza corona China na kwamba ugonjwa huo haukuanzia eneo la Wuhan,China bali ulianzia Marekani.
Source: Chinese News
Naona ATCL wameamua kwamba wataenda China kupitia Bangkok, Thailand Bangkok. Njia hii ina ushindani sana, haitakuwa na faida kwao kupitia Bangkok na kushindana na mashirika makubwa ambayo yameweka mizizi sana kwenda au kupitia Bangkok pamoja na Ethiopian Airways and Kenya Airways.
Ninawashauri...
Kaka yangu amewekwa quarantine China akitokea Italy kwa kifupi yupo Corona positive.
At the moment nahisi jambo pia tumekutana in two weeks, personally najiweka quarantine nione majibu.
Huu ni ujumbe wake wa mwisho.
"🇨🇳🙏🏽...it wasn’t easy leave my family in that way 🥺 I do miss them a lot and...
1. Mbinu za kijeshi za wakati wa vita zinatumika, kama vile kufungia ndani kwa kufuli maalum wasthirika wa corona wasitoke
2. Kupeleka waathirika kwenye makambi maalum yaliyotengenezwa
3. kubadiri viwanja vya michezo na mabweni ya shule kuwa vituo maalum vya karantini
4. Kukamata wasiovaa...
Serikali ya mapinduzi Zanzibar imesitisha safari zote za ndege kutoka Zanzibar na sherehe zote zinazohusisha wageni kutoka nje.
Waziri wa Afya Zanzibar Mh. Hamad Rashid amesema wamechukua hatua hizo ili kukabiliana na hatari ya Corona iliyoko huko duniani.
Source Star tv!
Rafiki wa kweli ni wakati wa shida .
=====
SERIKALI ya China imeshukuru utayari wa Serikali ya Tanzania wa kutaka kuwapeleka madaktari nchini humo, kukabiliana na ugonjwa wa homa ya mapafu, inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid -19).
Aidha, imewatoa hofu Watanzania kuhusu changamoto za...
Sisi binadamu huwa tunapenda kutumia nguvu kwenye kila jambo, kitu ambacho hakitupi matokeo mazuri mara zote.
Lakini kupitia falsafa mbalimbali, tunajifunza hekima ambayo tukiweza kuitumia, tunaweza kufanya makubwa bila ya kutumia nguvu sana.
Moja ya falsafa inayoweza kutupa nguvu ya aina hii...
Kwa mara nyingine tena shirika la ndege la Ethiopia limekataa kusitisha safari zake za ndege kwenda nchini China, licha ya kuwepo kwa shinkizo la kulitaka kufanya hivyo kutokana na mlipuko wa virusi vya corona.
Mkurugenzi wa shirika hilo Tewolde Gebremariam amesema kuwa, kusitisha safari za...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.