chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Masoud Mambo wa CHAUMMA: Uchaguzi wa Oktoba utakuwa wa ukombozi kwa vyama pinzani

    Kaimu Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa, Masoud Mambo, amewataka vijana kote nchini kujiandaa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, akisema kuwa uchaguzi huo ni "kura ya ukombozi" dhidi ya utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  2. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Nasubiri kuona Catherine Ruge, Dovotha Minja na Susan Kiwanga wakishinda ubunge kupitia CHAUMMA

    Waliokuwa wanachama wa Chadema, miezi miwili imepita kila siku walikuwa wanashindana kufanya press conference kuinanga na kuihama Chadema. Walijiona wao ni wakubwa wanaweza nenda chama chochote na kushinda ubunge. Sasa toka CHAUMMA watangaze kutoa fomu watu hao wanachukua fomu Kwa kujificha ...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Rungwe aongoza kikao cha viongozi wakuu wa CHAUMMA

    Wakuu! Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko! == Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7...
  4. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema amechapisha kwenye mtandao wa X kuwa CHAUMMA inakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani

  5. F

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA wasibezwe. Tujifunze kutoka kwa waingereza

    Nawashauri wale ambao wanapata shida kusoma zaidi ya paragraph moja waishie hapa. Nilichoandika ni kijigazeti hivyo yatawatia hasira bure. Hivi karibuni kumetokea vijimaneno vikiashiria kuwa wameishiwa pumzi na kuwa wafadhili wao wamewatema. Kwa mtazamo wangu ni mapema mno kutangaza kifo cha...
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mwenge wa Uhuru watajwa kuwa sababu kusitishwa operesheni C4C CHAUMMA

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema ratiba ya Mwenge wa Uhuru mkoani Tanga ndio ilikuwa sababu ya kuzitisha ziara yao ya Operesheni C4C iliyopangwa kufanyika katika mikoa yote nchini kwa siku 16. Itakumbukwa Mei 21, katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa...
  7. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kada wa CHAUMMA Davidi Tajiri Mhanga, amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Mkuranga

    Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Davidi Tajiri Mhanga (kulia), amechukua fomu ya kutia nia kuwania Ubunge Jimbo la Mkuranga na kukabidhiwa na ofisa usimamizi wa shughuli hiyo makao makuu ya chama hicho, Shadya Abubakar Fomu hiyo amechukua leo, Julai 3, 2025 ofisi za makao makuu ya...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi CHAUMMA imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi?

    Hivi chaumma imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi? Anyways nani yupo free nimpitie kesho twende tukale mihogo na samaki?
  9. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHAUMMA: Tumefurahi watu wametumiss. Waeleza sababu za kujipa mapumziko

    Wakuu Kwa wale mliokuwa mnahoji wapi walipo CHAUMMA mbona kimya sana?. Wamejitokeza na kueleza sababu za kuwa kimya ilikuwa ni kuandaa mazingira ya mchakato wa uchaguzi wa ubunge na udiwani, hii inahusisha mchakato wa kutoa fomu. "Hiki ndiyo kile kimya hata waandishi mlikuwa mkiuliza, CHAUMMA...
  10. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Fomu ya ubunge CHAUMMA ni Tsh. 50,000

    Wakuu Sasa mshindwe nyinyi tu. CHAUMMA imetangaza rasmi kufungua dirisha la uchukuaji wa fomu za ubunge na udiwani kuanza hapo kesho Julai 1, 2025 huku gharama ikiwa ni Sh. 50,000 kwa ubunge. Ubunge viti maalum - Sh. 50,000 udiwani viti maalum - Sh. 10,000 Ujumbe wa baraza la wawikilishi -...
  11. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine mnaoshiriki Uchaguzi, mmesikia kauli ya Rais Samia?

    Wakuu Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine ambao mnashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mmesikia kauli ya Rais Samia? Rais Samia wakati wa kuhitimisha shughuli za bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ijumaa Juni 27, 2025 alihimiza Vyama vyote vya Siasa nchini kutoa fursa...
  12. Mikopo Consultant

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bila CHADEMA, CCM wanaenda kupiga 100% - 0%, sioni nafasi ya ubunge wa kupewa wanaouota ACT na CHAUMMA

    Ubunge wa kupewa, kama ambavyo iliotwa na NCCR Mageuzi mwaka 2020, ni kitu kisichotekelezeka; japokuwa ahadi yake huwa ni tamu sana masikioni mwa vyama vya upinzani visivyotaka kuchutama ili kuokota vya chini. Sababu kubwa ya ni kwanini hichi kitu ni kigumu kutekelezeka ni kwamba, ndani ya...
  13. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Tujikumbushe: Hivi CHAUMMA kilifanikiwa kuzunguka nchi nzima kwa siku 16?

    Kamanda aliyejinasibu kufanya hivyo si mwingine bali ni Salum Mwalimu katibu mkuu wa chauuma.. Akijisifia kubomoa ngome zote za CHADEMA(hapa alijisahau kidogo) Kwa majigambo mengi kuhusu chopa.. Alisema ana connection na ana miundombinu ya kupata chopa imara na thabiti kwa hiyo kazi.. Maana...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Baba Bonny Awaasa Waliohamia CHAUMMA, Ataka Wakiache Chama cha Mzee Rungwe

    Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Arusha CHADEMA ali maarufu baba bonny awaasa wale wote walio kimbilia CHAUMMA waondoke wakiache chama cha mzee Hashim Rungwe
  15. M

    JamiiForums Tanzania Marekebisho ya Katiba ni muhimu kabla ya Uchaguzi si kwa CCM,CHADEMA,ACT CHAUMMA Au chama chochote na wananchi kwa ujumla

    Hali iliyopo kuelekea uchaguzi wa 2025 si nzuri huo ndio ukweli tunaenda kwrnye uchaguzi tukiwa tumegawanyika kama TAIFA. Hii ni kutokana na hofu ya wananchi haki kutendeka katika uchaguzi huu. Nadhani uchaguzi wa serikali za Mitaa 2024 ndio umechagiza hofu hii tukubali tusikubali huo ndiyo...
  16. R

    JamiiForums Tanzania Salim Mwalimu atoa takwimu kuonesha bado tupo kwenye umasikini mbaya wakati Rais kasema uchumi wetu uko vizuri zaidi ya Marekani!

    Wakuu, Tukiangalia viongozi wetu wengi walioshika dola kwa sasa hawaongelei suala la hali mbaya ya umaskini nchini, Rais Samia amekua akifanaya ziara ya kuzindua miradi maeneo mbalimbali nchini akisema namna miradi hiyo imetumia fedha nyingi kuikamilisha, na zaidi kusema kwa sasa nchi yetu...
  17. Bezecky

    JamiiForums Tanzania CAFE TALK: CCM, CHAUMMA na ACT Wazalendo wanachuana vikali muda huu

    Hakuna chama kinachoiweza CCM isipokuwa CHADEMA leo Kafulila na Happi wanajipakulia tu minyama mbele ya CHAUMMA na ACT WAZALENDO, https://www.youtube.com/live/UP89m78r-Uk?si=NhbWNO83GsYHj3xL
  18. curie

    JamiiForums Tanzania Huu ukimya wa CHAUMMA Je wamekosa support ya wananchi?

    Inaonekana sababu CHAUMMA wamekuwa “kimya” ni kwamba hawajakuwa na shughuli za kampeni au matukio makubwa ya vyombo vya habari hivi karibuni. Katika miezi ya hivi karibuni: Chamsha taarifa tu kuhusu uteuzi wa safu ya uongozi wao (wakati huu kumekuwa na uteuzi wa kaimu Mwenyekiti) . Pia...
  19. ngara23

    JamiiForums Tanzania Ipi ni CCM 'B' ACT Wazalendo au CHAUMMA?

    Wana chadema tuliamini CCM B ni ACT Wazalendo Sasa Leo baada ya CHAUMA ya Hashim Rungwe Mzee wa Ubwabwa kupokwa waasi wa chadema na kuwapa madaraka, hii inatuchanganya Awali upinzani wa ACT Wazalendo ulitiliwa shaka yaani ulikuwa upinzani wa zuga tu, binafsi naona hii kasi ya CHAUMA Kuna nguvu...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Salum Mwalimu Katibu Mkuu CHAUMMA: Yaja siku CHADEMA watataka kufanya kazi na CHAUMMA

    Dhoruba iliyotokea sisi wengine tukasema hapana. Tukasema hapana kwasababu tunazizuia akili zetu zisitawaliwe na mihemko, tunazizuia akili zetu zijawe na sifa za kuja mbele za watu na kupigiwa makofi huku tukijua hatuna namna yoyote ya kuwasaidia watanzania, tukakataa, ndio sababu tukasema...
Back
Top Bottom