chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Salim Mwalimu atoa takwimu kuonesha bado tupo kwenye umasikini mbaya wakati Rais kasema uchumi wetu uko vizuri zaidi ya Marekani!

    Wakuu, Tukiangalia viongozi wetu wengi walioshika dola kwa sasa hawaongelei suala la hali mbaya ya umaskini nchini, Rais Samia amekua akifanaya ziara ya kuzindua miradi maeneo mbalimbali nchini akisema namna miradi hiyo imetumia fedha nyingi kuikamilisha, na zaidi kusema kwa sasa nchi yetu...
  2. Bezecky

    CAFE TALK: CCM, CHAUMMA na ACT Wazalendo wanachuana vikali muda huu

    Hakuna chama kinachoiweza CCM isipokuwa CHADEMA leo Kafulila na Happi wanajipakulia tu minyama mbele ya CHAUMMA na ACT WAZALENDO, https://www.youtube.com/live/UP89m78r-Uk?si=NhbWNO83GsYHj3xL
  3. curie

    Huu ukimya wa CHAUMMA Je wamekosa support ya wananchi?

    Inaonekana sababu CHAUMMA wamekuwa “kimya” ni kwamba hawajakuwa na shughuli za kampeni au matukio makubwa ya vyombo vya habari hivi karibuni. Katika miezi ya hivi karibuni: Chamsha taarifa tu kuhusu uteuzi wa safu ya uongozi wao (wakati huu kumekuwa na uteuzi wa kaimu Mwenyekiti) . Pia...
  4. ngara23

    Ipi ni CCM 'B' ACT Wazalendo au CHAUMMA?

    Wana chadema tuliamini CCM B ni ACT Wazalendo Sasa Leo baada ya CHAUMA ya Hashim Rungwe Mzee wa Ubwabwa kupokwa waasi wa chadema na kuwapa madaraka, hii inatuchanganya Awali upinzani wa ACT Wazalendo ulitiliwa shaka yaani ulikuwa upinzani wa zuga tu, binafsi naona hii kasi ya CHAUMA Kuna nguvu...
  5. DuaZaMama

    PreGE2025 Salum Mwalimu Katibu Mkuu CHAUMMA: Yaja siku CHADEMA watataka kufanya kazi na CHAUMMA

    Dhoruba iliyotokea sisi wengine tukasema hapana. Tukasema hapana kwasababu tunazizuia akili zetu zisitawaliwe na mihemko, tunazizuia akili zetu zijawe na sifa za kuja mbele za watu na kupigiwa makofi huku tukijua hatuna namna yoyote ya kuwasaidia watanzania, tukakataa, ndio sababu tukasema...
  6. R

    PreGE2025 Mrema: Msichukulie Mzaha Sera ya Ubwabwa kwa wote

    Heee!! Jamaa yupo serious kabisa akifoka kuhusu ubwabwa, hivi haoni wala kujiuliza mifumo na watu wanaosababisha huo ubwabwa kukosekana kwa wanannchi? Wakuu wa JF inabidi tumfumbue macho kwa === Mkurugenzi wa Habari na Taarifa kwa Umma wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), John Mrema...
  7. sinza pazuri

    CHADEMA vs CHAUMMA: Nani anaenda kumfunika mwenzake?

    Tupe maoni yako nani anaenda kumfunika mwenzeke? Chaumma nyomi kama lote kila kona wanayokanyaga. Chadema nao wanajitahidi. Hii vita bado mbichi.
  8. R

    PreGE2025 CHAUMMA yasepa na kijiji Kigoma Kusini, nyomi lake lawashtua CHADEMA, ACT na CCM

    Wakuu Ni muendelezo wa C4C ya CHAUMMA na muitikio umekua mkubwa Pengine sera zao za ubwabwa zinavuta wananchi uchaguzi wa October 2025 ==== Mapokezi ya Mwenyekiti wa CHAUMMA Taifa Mh. Wakili Msomi Hashim Rungwe kwenye eneo la Sunuka, Jimbo la Kigoma Kusini ambapo ameambatana na Makamu Bara...
  9. F

    PreGE2025 Wakati wa CHAUMMA umepita, kilikuwa kipindi kifupi sana. Mbowe ungeaibika vibaya

    Wale wote waliojiunga CHAUMMA nafikiri sasa wanajilaumu sana kwa uamuzi wao wa kukurupuka. Mbowe umetumia akili nzuri sana kutest zari kwanza nafikiri umeona jinsi ambavyo ungeaibika kama ungejitokeza CHAUMMA. NO REFORMS NO ELECTION!!!
  10. Just Pray

    PreGE2025 CHAUMMA adui yenu ni CCM au CHADEMA? mmesahau kama mmeahidi kuiondoa CCM lakini kutwa ni CHADEMA, mmekula pesa ngapi?

    Wakuu CHAUMMA ni chama cha upinzani ambacho viongozi wake wengi wa sasa ni wale walioamua kuyasaliti mapambano kupitia CHADEMA. Ni kama usaliti wao umekuwa jumlajumla kiasi cha kutwa kuijadili na kuishambulia CHADEMA yenye kupambania masuala ya kitaifa ambaye wote adui yao mkuu ni CCM...
  11. Mindyou

    PreGE2025 Devotha Minja wa CHAUMMA: John Heche atuambie amepewa kiasi gani kumpigia debe Mbunge wa CCM

    Wakuu, Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Devotha Minja amedai kuwa Mbunge wa Morogoro Mjini Ablulaziz Abood ni chanzo cha kuua viwanda vya Morogoro. Minja ametoa kauli hiyo Mkoani Geita ambapo amesema kuwa Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa John Heche hivi karibuni...
  12. Mshana Jr

    Oktoba tunatiki chali kama Chaumma

    Daima HIARI YASHINDA UTUMWA... Chaumma kiliwezeshwa ili kukiuwa CHADEMA kimeangukia pua na sasa kiko njiani kuelekea ICU then mortuary! Vipi kuhusu 'Oktoba tunatiki (October tuna tick) imeanzishwa baada ya moto wa NO REFORMS NO ELECTION fukuto lake kugusa mfupa.. Muda huu sijui imefia wapi...
  13. Waufukweni

    PreGE2025 CHAUMMA yasisitiza INEC kutenda haki katika uchaguzi wa Oktoba

    Katibu Mkuu wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu ametoa wito kwa watumishi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), kutenda haki katika kusimamia uchaguzi Mkuu wa Oktoba baadaye mwaka huu. Ametoa wito huo leo Juni 7, 2025, baada ya kuungana na waumini wengine wa dini ya...
  14. M

    CHAUMMA: Kampeni ya kuruka na chopa mikoa 16 imeishia wapi?

    CHAUMMA walitangaza kuanza operation C4C wakiruka na Chopa. Hatimaye wakaizindua pale Mwanza na mara ya mwisho nimewasikia wakiwa Mara. Je hizo operation zinaendelea au wamerudi kwenye drawing board?
  15. SankaraBoukaka

    PreGE2025 Yawezekana Boniface Mwangi na Agather Atuhaire wakawa waongo, ila Mbunge aliyesema "Walitakiwa warudishwe wakiwa kwenye gesi" kachukuliwa hatua gani?

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni habari zinazowahusu Boniface Mwangi kutoka Kenya na Agather Atuhaire kutoka Uganda walipokuwa Tanzania. Wakati serikali ilikanusha madai ya ukiukwaji wa haki zao, baadhi ya raia na mashirika ya kiraia walitilia shaka mazingira ya tukio hilo. Lakini hata kama...
  16. Erythrocyte

    PreGE2025 Utapeli wa CHAUMMA wagonga mwamba, Chadema haijawahi kuwa na ofisi wanayodai kuibadili jina, Hii ni aibu kwao

    Taarifa ya Chadema hii hapa Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Mara, Mwalimu Chacha Heche, amesema chama hicho hakina ofisi (iliyotajwa kwamba ilikuwa yao na kisha kuchukuliwa na CHAUMMA) bali kwa sasa wanamiliki majengo yao na wapo kwenye ofisi zao, na kwamba wanaosema kwamba jengo hilo lilikuwa la...
  17. M

    Hapa Sheikh Ponda umekosea kujiunga na ACT Wazalendo

    Kwa miaka yote ya maisha yako sijawahi kukusikia au kukuona unajiunga na chama cha siasa. Nilikuona ukitumia jukwaa la CHADEMA lkn hukujitambulisha kama mwanaCHADEMA wala kuvaa gwanda la CHADEMA, ulitumia jukwaa la CHADEMA lkn sijawahi kukuona ukishiriki vikao vya CHADEMA. Lakini hivi sasa ni...
  18. Crocodiletooth

    Baadhi ya mambo ambayo Chaumma itawapatia Watanzania (sera)

    Naomba nionyeshe Furaha yangu pale chama cha kisiasa kinapokuwa kikijinadi zaidi kuliko kulalama, kana kwamba kinaonewa chenyewe tu! (kinalia lia)
  19. M

    PreGE2025 CHAUMMA wanashambulia CHADEMA badala ya CCM imekuwaje tena?

    Nimewasikiliza hawa jamaa naona kama kuna kuchanganyikiwa flani hivi au wana hasira za kutoka CHADEMA kiasi cha kupoteza Dira na kutumia Mikutano yao waliyoiandaa kwa Gharama kubwa kuisakama CHADEMA badala ya CCM, siyo kwamba wanarudia kosa walilofanya ACT? Lengo la Chama chochote cha Siasa ni...
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Iliyokuwa ofisi ya CHADEMA Mara, sasa ni ofisi ya CHAUMMA

    Ofisi iliyokuwa ikimilikiwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), mkoa wa Mara, imebadilishwa na kuwa Ofisi ya Chama Cha Ukombozi wa Umma(CHAUMMA). Awali ofisi hiyo kwa nje ilikuwa imeandikwa kwa maandishi makubwa CHADEMA sasa inasomeka kwa maandishi hayohayo makubwa lakini kwa jina...
Back
Top Bottom