chaumma

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    Chopa ya CHAUMMA yaanza kufanya ziara Tanga

    Leo Jumamosi Julai12, 2025 Chama Cha ukombozi wa umma CHAUMMA kimeanza ziara zake mkoani Tanga kwa kutumia usafiri wa Helkopta maarufu kama 'Chopa', wakianzia Wilayani Korogwe na Jioni hii wakitarajiwa kuwa na Mikutano yake Tanga Mjini. Katika ziara hiyo Viongozi mbalimbali wa Kitaifa wanashiriki.
  2. Ubaya Ubwela

    GE2025 G-55 waliohamia CHAUMMA waanza kumomonyoka mmoja mmoja. Julias Mwita ajiweka pembeni

    Julias Mwita ajiweka pembeni na siasa Ninamshukuru tena Mwenyezi Mungu kwa kunipa fursa ya kuendelea na hatua nyingine ya kitaaluma.Sasa nitajielekeza zaidi kwenye kukuza taaluma yangu na mambo mengine. Hivyo kuanzia sasa 𝗦𝗜𝗧𝗔𝗝𝗜𝗦𝗛𝗨𝗚𝗛𝗨𝗟𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗡𝗔 𝗦𝗜𝗔𝗦𝗔 𝗭𝗔 𝗔𝗜𝗡𝗔 𝗬𝗢𝗬𝗢𝗧𝗘Tukutane kwenye TAALUMA na...
  3. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Boni Yai amehamia CHAUMMA na kutangaza nia ya kugombea ubunge

    JamiiCheck ni kweli kuwa BoniYai kahamia CHADEMA?
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CHAUMMA yaitaka INEC kuwachukulia hatua wasimamizi wanaowaengua wagombea wa upinzani

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimeitaka Tume huru ya Taifa nchini (INEC) kuwachukulia hatua kali za kuwafikisha mahakamani kwa mujibu wa sheria ya tume hiyo, wasimamizi wa uchaguzi mkuu wa madiwani ,wabunge na urais watakaojihusisha na vitendo haramu vya kuwaengua wagombea wa upinzani...
  5. R

    GE2025 Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema Taifa Andrea Oisso, amejiunga rasmi CHAUMMA

    Aliyekuwa Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema Taifa Andrea Oisso, ambaye hapo awali alitangaza kujiondoa CHADEMA kutokana na kutokubaliana na msimamo wa chama hicho kuchukua mrengo wa kususia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 kwa madai ya kutaka mageuzi kwanza, ameweka wazi kuwa tayari amepata jukwaa...
  6. W

    GE2025 Masoud Mambo wa CHAUMMA: Uchaguzi wa Oktoba utakuwa wa ukombozi kwa vyama pinzani

    Kaimu Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Taifa, Masoud Mambo, amewataka vijana kote nchini kujiandaa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025, akisema kuwa uchaguzi huo ni "kura ya ukombozi" dhidi ya utawala wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
  7. Mto wa mbu

    GE2025 Nasubiri kuona Catherine Ruge, Dovotha Minja na Susan Kiwanga wakishinda ubunge kupitia CHAUMMA

    Waliokuwa wanachama wa Chadema, miezi miwili imepita kila siku walikuwa wanashindana kufanya press conference kuinanga na kuihama Chadema. Walijiona wao ni wakubwa wanaweza nenda chama chochote na kushinda ubunge. Sasa toka CHAUMMA watangaze kutoa fomu watu hao wanachukua fomu Kwa kujificha ...
  8. Waufukweni

    GE2025 Rungwe aongoza kikao cha viongozi wakuu wa CHAUMMA

    Wakuu! Mzee Rungwe anaendelea kukisuka Chama huko! == Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Hashim Rungwe maarufu Mzee wa Ubwabwa ameongoza kikao cha viongozi wakuu wa chama hicho, kilichofanyika ofisi za makao makuu ya chama hicho Kinondoni, Dar es Salaam leo Jumatatu Julai 7...
  9. Nipe Maji

    SI KWELI PreGE2025 Godbless Lema amechapisha kwenye mtandao wa X kuwa CHAUMMA inakwenda kuwa chama kikuu cha upinzani

  10. F

    GE2025 CHAUMMA wasibezwe. Tujifunze kutoka kwa waingereza

    Nawashauri wale ambao wanapata shida kusoma zaidi ya paragraph moja waishie hapa. Nilichoandika ni kijigazeti hivyo yatawatia hasira bure. Hivi karibuni kumetokea vijimaneno vikiashiria kuwa wameishiwa pumzi na kuwa wafadhili wao wamewatema. Kwa mtazamo wangu ni mapema mno kutangaza kifo cha...
  11. E

    Mwenge wa Uhuru watajwa kuwa sababu kusitishwa operesheni C4C CHAUMMA

    Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimesema ratiba ya Mwenge wa Uhuru mkoani Tanga ndio ilikuwa sababu ya kuzitisha ziara yao ya Operesheni C4C iliyopangwa kufanyika katika mikoa yote nchini kwa siku 16. Itakumbukwa Mei 21, katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa...
  12. R

    GE2025 Kada wa CHAUMMA Davidi Tajiri Mhanga, amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Mkuranga

    Kada wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Davidi Tajiri Mhanga (kulia), amechukua fomu ya kutia nia kuwania Ubunge Jimbo la Mkuranga na kukabidhiwa na ofisa usimamizi wa shughuli hiyo makao makuu ya chama hicho, Shadya Abubakar Fomu hiyo amechukua leo, Julai 3, 2025 ofisi za makao makuu ya...
  13. M

    Hivi CHAUMMA imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi?

    Hivi chaumma imepotelea wapi? Na ile chopa yao iliishia wapi? Anyways nani yupo free nimpitie kesho twende tukale mihogo na samaki?
  14. W

    GE2025 CHAUMMA: Tumefurahi watu wametumiss. Waeleza sababu za kujipa mapumziko

    Wakuu Kwa wale mliokuwa mnahoji wapi walipo CHAUMMA mbona kimya sana?. Wamejitokeza na kueleza sababu za kuwa kimya ilikuwa ni kuandaa mazingira ya mchakato wa uchaguzi wa ubunge na udiwani, hii inahusisha mchakato wa kutoa fomu. "Hiki ndiyo kile kimya hata waandishi mlikuwa mkiuliza, CHAUMMA...
  15. W

    GE2025 Fomu ya ubunge CHAUMMA ni Tsh. 50,000

    Wakuu Sasa mshindwe nyinyi tu. CHAUMMA imetangaza rasmi kufungua dirisha la uchukuaji wa fomu za ubunge na udiwani kuanza hapo kesho Julai 1, 2025 huku gharama ikiwa ni Sh. 50,000 kwa ubunge. Ubunge viti maalum - Sh. 50,000 udiwani viti maalum - Sh. 10,000 Ujumbe wa baraza la wawikilishi -...
  16. Waufukweni

    GE2025 Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine mnaoshiriki Uchaguzi, mmesikia kauli ya Rais Samia?

    Wakuu Vyama vya siasa ACT Wazalendo, CHAUMMA, na wengine ambao mnashiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mmesikia kauli ya Rais Samia? Rais Samia wakati wa kuhitimisha shughuli za bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ijumaa Juni 27, 2025 alihimiza Vyama vyote vya Siasa nchini kutoa fursa...
  17. Mikopo Consultant

    GE2025 Bila CHADEMA, CCM wanaenda kupiga 100% - 0%, sioni nafasi ya ubunge wa kupewa wanaouota ACT na CHAUMMA

    Ubunge wa kupewa, kama ambavyo iliotwa na NCCR Mageuzi mwaka 2020, ni kitu kisichotekelezeka; japokuwa ahadi yake huwa ni tamu sana masikioni mwa vyama vya upinzani visivyotaka kuchutama ili kuokota vya chini. Sababu kubwa ya ni kwanini hichi kitu ni kigumu kutekelezeka ni kwamba, ndani ya...
  18. Mshana Jr

    PreGE2025 Tujikumbushe: Hivi CHAUMMA kilifanikiwa kuzunguka nchi nzima kwa siku 16?

    Kamanda aliyejinasibu kufanya hivyo si mwingine bali ni Salum Mwalimu katibu mkuu wa chauuma.. Akijisifia kubomoa ngome zote za CHADEMA(hapa alijisahau kidogo) Kwa majigambo mengi kuhusu chopa.. Alisema ana connection na ana miundombinu ya kupata chopa imara na thabiti kwa hiyo kazi.. Maana...
  19. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Baba Bonny Awaasa Waliohamia CHAUMMA, Ataka Wakiache Chama cha Mzee Rungwe

    Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Arusha CHADEMA ali maarufu baba bonny awaasa wale wote walio kimbilia CHAUMMA waondoke wakiache chama cha mzee Hashim Rungwe
  20. M

    Marekebisho ya Katiba ni muhimu kabla ya Uchaguzi si kwa CCM,CHADEMA,ACT CHAUMMA Au chama chochote na wananchi kwa ujumla

    Hali iliyopo kuelekea uchaguzi wa 2025 si nzuri huo ndio ukweli tunaenda kwrnye uchaguzi tukiwa tumegawanyika kama TAIFA. Hii ni kutokana na hofu ya wananchi haki kutendeka katika uchaguzi huu. Nadhani uchaguzi wa serikali za Mitaa 2024 ndio umechagiza hofu hii tukubali tusikubali huo ndiyo...
Back
Top Bottom