Kuna watu wanaiangalia CHAUMMA kwa jicho la mikutano yao kujaza ama kutokujaza watu. Na bahati mbaya na CHAUMMA nao wameingia kwenye mtego huo.
Nadhani chama cha siasa hakitambuliki kwa wingi wa watu wanaohudhuria mikutano yake, bali kwa hoja za chama husika kama zina manufaa kwa wanaohudhuria...
Katika ulimwengu wa kisasa wa siasa, wengi wetu tunajikuta tukitumbukia kwenye mtego wa hisia. Tunachagua viongozi, tunapigania vyama, tunajitokeza mitandaoni au mitaani kutetea misimamo ya kisiasa kwa hasira, chuki, au upofu wa kimapenzi. Lakini kuna ukweli mmoja mkubwa ambao wengi hawataki...
Wakuu wale mliosubiri kwa hamu kuona chopa za CHAUMMA na mkatoka kapa katibu mkuu Salim Mwalimu amewajibu kwa kutumia dakika 9 kuelezea mchakato mzima uliopelekea cjopa hzio kutowasili mkutanoni hapo.
Awali alieleza kuwa mamlaka zilizuia helicopter zenye usajili wa ndani, wakatafuta wakapata...
What is Chopper? Ni kweli watu wa Mwanza watoke majumbani kwenda kuona chopper? Mmewaona ni wajinga kiasi Gani Hadi mrundikane kuwaringishia chopper? Watu wanataka sera na siyo taarabu na mipasho.
Mmepewa uwanja na halafu mnaishia kuongea mipasho tu. Wengine wazee wanaongea macho yamewatoka...
Ukitafakari kwa kina, utagundua huu ndio ukweli . Mwanza hawajaikaa CHAUMMA, bali wameikataa CCM inayotuhumiwa kuifadhili CHAUMMA ili kiwe chama kikuu cha upinzani badala ya CHADEMA.
Hasara ya CHAUMMA ni kupoteza hata ile imani kidogo watanzania waliokuwa nayo juu ya chama hiki.
Somo...
Kilichotokea Mwanza kila mmoja amekiona.
Hawa wahamiaji walisema wao watahama na CHADEMA yote lakini tumeshuhudia wakihutubia ng'ombe uwanjani.
Baada ya uchaguzi hawa watu watakuwa kero kubwa kwa CHAUMMA ambacho mdogo mdogo kilishaanza kijitafuta na sisi wapenda ubwabwa tulikuwa tunamwelewa...
Yupo mjinga mmoja sitamtaja jina alisikika akitoa hiyo kauli kwa mbwembwe wakati anahama.
Aliongea mengi mengine siyakumbuki na kama kawaida akapambwa na wale waandishi mradi. Leo kipo wapi?
Muachieni mzee Rungwe chama chake alikuwa anaenda mdogo mdogo na ubwabwa wake na walianza kumuelewa...
Nilitegemea watakuja kutoa elimu murua ya kumfanya mtu awe na tumaini na chama hicho,ajabu kila aliyesimama anasema alikuwa nani Chadema mara anaisema Chadema sasa najiukiliza kweli wanalengo la kupambana na CCM hawa?
Na Kigaila anadanganya kwakusema2019 Chadema ilisusia uchaguzi wakati huo...
Chama kama taasisi yoyote ile huitaji wajenzi, wenye bidii iliyo kubwa kabisa na mbinu mbali mbali hatimaye kukisimamisha chama kikaonekana miongoni mwa watanzania na mwishowe kupendwa, kuhusudiwa, kutamaniwa na wote,o
Nimpe hongera bw. Mbowe kwa jinsi alivyo simama na chadema mpaka kuifikisha...
Waliokuwa wanaibeza CHAUMMA kuna ujumbe wenu hapa. Unaambiwa watu wamejaa uwanja wa Furahisha kama mchanga.
Hakika CHAUMMA sasa ipo tayari kuikabili CCM kiulalo ulalo.
Hakika sasa Tanzania imepata chama mbadala cha Upinzani. Watanzania kiungeni mkono chama chenu, kipo tayari kuwaletea ukombozi wa kweli na hapa kipo uwanja wa furahisha kuzindua kampeni ya CHAUMMA for Change (C4C).
CHAUMMA oyeeee!
Amani iwe kwenu waungwana wa jukwaa hili pendwa kabisa!
Katika Hali ya kustaajabisha nimekutana na Account ya Chadema ikirusha matangazo mubashara ya mkutano wa hadhara wa chama Cha CHAUMMA.
Ndugu zangu wa CHAUMMA mnapinga vipi wizi wa rasilimali za nchi wakati nyie mmeiba YouTube account ya...
Wakuu
Uzinduzi wa C4C ya CHAUMMA Mwanza, Uwanja mweupe hakuna watu, yaani kuna bodaboda tu ambao ni kama wamewekewa mafuta ya bure.
Maandalizi yakiendelea katika uwanja wa Furahisha kikundi Mwanza.
Uzinduzi wa kampeni hiyo utafanyika baadae leo na kisha itapelekwa katika mikoa mbalimbali kwa...
Leo tarehe 3/6/2025 ndiyo siku ile iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu! Siku ambayo huko Jijini Mwanza Chaumma mpya itazindua kampeni kabambe ya C4C huku chopa ikiwa pembeni ikisubiri kukata upepo kuanza safari ya mikoa 16 mingine.
Watanzania wote tunasubiri kwa hamu habari moto moto kutoka kwa...
Wakuu
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kinajiandaa kuanza rasmi ziara yake ya kisiasa katika awamu ya kwanza itakayohusisha mikoa 14, majimbo 34 na kufanyika mikutano 38 katika kanda 4 tofauti nchini.
Katika ziara hiyo, viongozi waandamizi wa CHAUMMA wanatarajiwa kushiriki kwa ukamilifu...
John Mrema aliyetimukia CHAUMMA akitikoea CHADEMA na kufanywa Mkurugenzi wa habari wa chama hicho alivyokuwa katika mahojiano hivi karibuni na Cza wa Clouds alisema mkakati mmojawapo wa CHAUMMA kushinda uchaguzi ni kumuweka mgombea urais mwenye ushawashi anayekubalika.
Ni nani huyo mwenye...
Kuelekea uchaguzi Mkuu wa kihistoria Tanzania mnamo October mwaka huu 2025, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetokea kukiogopa na kukichukia sana Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kwenye medani ya siasa.
Unadhani hali hiyo imechochewa na nini?🐒
Mungu Ibariki Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.