chanzo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya nchi hii chanzo ni ndugu Nyerere

    Tuseme tu ukweli matatizo ya nchi hii wa kulaumiwa ni nyerere yeye ndiyo chanzo cha sisi kufika hapa kutokana na ubishi wake na udikiteta wake wa kutokubali kuambiwa ukweli na ukionekana unataka kumuambia ukweli anakuweka detention( korokoroni? Ndiyo maana alitofautiana na Ndugu Kambona kutokana...
  2. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha watoto kupenda katuni, games na vyakula visivyo na afya

    WATOTO WA KISASA Watoto wa siku hizi hata bila kuelekezwa na mtu Wanakuwa na uchumi mkubwa wa kuangalia katuni Akipata simu hata kiswaswadu ukimuacha sekunde kadhaa utamkuta kalifukunyua game na anacheza. Kwenye vyakula wengi wanaopenda vyakula fekifeki, lakini vile vya afya hawapendi. Ice...
  3. Comred Mbwana Allyamtu

    JamiiForums Tanzania Gaza Marine; Chanzo cha Gaza kuwa concentration camps

    GAZA MARINE; CHANZO CHA GAZA KUWA CONCENTRATION CAMPS. Uvamizi wa Israel "Gaza" ni mpango wa siku nyingi, sio jambo la Bahati mbaya, Kinachofanyika Gaza kina Sura mbili.... Moja mkakati wa kuimiliki "Gesi asilia inayofikia 35 BCM (35 Billion Cubic Meters), Pili kuvunja harakati ya "Pan-Islamism...
  4. stabilityman

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa maarifa ni chanzo cha upotevu wa pesa wakati wa ujenzi

    UKOSEFU WA MAARIFA NI CHANZO CHA UPOTEVU WA PESA WAKATI WA UJENZI. Faida za kununua full package ya Ramani Kabla ya Kuanza Ujenzi. 1. Unakuwa na uhakika na Nyumba ya Ndoto Yako itakavyokuwa. 2. Fundi hatoikosea Nyumba ikiwa anajua kuitafsiri Ramani na Kama hajui Iwapo ukiwa umenunua Kwangu...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha tatizo la gas tumboni kwa mama mjamzito? Nini suluhisho lake?

    Habari za kazi wapendwa! Bila kupoteza muda, naomba msaada wa kujulishwa visababishi vya tatizo la gas tumboni kwa mama mjamzito. (Mimba bado changa - chini ya mwezi mmoja). Je, tatizo hili linaweza kutatuliwaje? Natanguliza shukrani!
  6. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha malipizo ni maumivu yaliyopuuzwa

    "Usaliti, umbeya, hujuma, na dhuluma ni moto wa ndani unaowasha kiu ya malipizo katika nafsi za walioumizwa, si kwa sababu wanapenda kulipiza, bali kwa sababu maumivu yao yamepuuzwa kwa muda mrefu." — Alloyce, P.R.
  7. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Tanzania Chanzo na asili ya jamii ya illuminati Sehemu ya kwanza

    🕯️ CHANZO NA ASILI YA JAMII YA ILLUMINATI Sehemu ya kwanza (Na AMUN The Grand Master Of The Third Eye Enlighten Society) ⚖️ Mwanzo Rasmi – Bavarian Illuminati (1776) Ilianzishwa na: Adam Weishaupt, profesa wa sheria ya kanisa (canon law) katika chuo kikuu cha Ingolstadt, Ujerumani...
  8. Ashampoo burning

    JamiiForums Tanzania Wahhabi: Dini au Donda? Chanzo cha makundi ya fujo Duniani

    Wewe shika stuli, kaa vizuri. Leo nakusimulia stori ya jamaa mmoja aliyewasha moto hadi leo dunia inachoma. Sio moto wa kuni, ni moto wa akili, damu, mabomu, na msimamo mkavu. Jamaa anaitwa Muhammad ibn Abdul Wahhab. --- 📍 Najd, Saudia – Karne ya 18 (Miaka ya 1700s) Najd ilikuwa pori tupu...
  9. Q

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 ACT na Operation LINDA KURA wakati umesaini 'Ukishapiga Kura Nenda Nyumbani Kalale'

    Kwa mujibu wa kanuni za maadili ya uchaguzi ambazo ACT Wazalendo wamesaini na kuridhia ni kuwa, ukishapiga kura rudi nyumbani kasubiri matokeo, na hata wakala wako haruhusiwi kuingia na simu kukujulisha kinachoendelea hata kama mabox ya kura feki yanaingizwa, sasa utalindaje kura ukiwa chumbani...
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kweli wapaka Rangi, wanaosafisha kucha na miguu chanzo cha Ndoa za watu kuvunjika?

    Wakuu hawa wanaofanya kazi ya kupaka rangi nakuwa osha miguu hasa jinsia ya kiume kunaweza kusababisha mtu akachepuka katika ndoa yake,kuna sehemu nimewoma jamaa anamwosha mdada miguu amemsogelea kabisa yaani "zero distance" sasa kun huyo jamaa ni mpaka rangi hapa mtaani kwangu, yeye anasema...
  11. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Si mlisema tatizo ni Magufuli na Mkafurahi alivyokufa kana kwamba yeye ndio chanzo cha yote nchini, sasa Kiko wapi?

    Mzuka Wana Jamvi.. Binadamu ni waasi na ni waovu.. Nakumbuka jinsi walivyokuwa wanampopoa Magu na kufurahia kifo chake kana kwamba tokea uhuru Magu ndio alikuwa raisi pekee na kuleta matatizo yote haya , pamoja na hayo Mkaenda mkaandaa nyuzi za kumsifia sana Rais Samia na ili kuwaumiza wafuasi...
  12. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kupangiwa vya kupost na mamlaka, kongole kwa JamiiForums, The Chanzo na Jambo Online TV

    Kwenye Page zao za Mitandao ya kijamii hawa The Chanzo, JamiiForums na Jambo Online TV wanajitahidi sana, japo kuna shinikizo kutoka juu la kutokupost habari za kuhusu kutekwa au kukosoa serikali lakini vyombo hivi vimekua vikijitahidi Sana kupost habari za maana Sana kuhusu maovu yanayotokea...
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii picha kutoka The Chanzo. EBU TAZAMA!

  14. Alblondys

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha Mapato kwenye vyama vya siasa

    Salam wana JF, Nimekuwa na swali linalonipa maswali Mengi kila Kukicha. Tukiachana na Michango ya wanachama, Wahisani wa ndani, wafanyabiashara n.k Je! Vyama vyetu vya Siasa vinapata wapi Pesa zaKujiendeshea? 2: je! Kama Kuna Misaada kutoka mashirika ya Kimataifa; ni % ngapi zinagawiwa. 3...
  15. Beira Boy

    JamiiForums Tanzania Nimetafakari mpaka nimeogopa: nimeshindwa kukijua chanzo cha MUNGU na kule alikotokea, nimeogopa zaid kutokujua chanzo chake

    Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU Leo nikiwa nimekaa nimetulia ndan, hii ni baada ya mvua kubwa kunyesha na kinikwamisha kwenda parokian, kanisan kusali Lakini mda huo ambao nikiwa nimekwama kwenda kanisani kwa sababu ya changamoto ya baraka ya mvua nikawa nawaza ivi MUNGU MWENYEZI alitokea...
  16. Jackwillpower

    JamiiForums Tanzania Ibada ya ijumaa chanzo chake ni Ugomvi wa Muhammad na Wayahudi

    NINI CHIMBUKO LA IBADA YA IJUMAA? Ibada ya siku ya Ijumaa imeelezewa chanzo chake katika kitabu kilichoandikwa na Jumuiya ya Vijana wa Kiislamu wa Ansaar, kwa jina: "Historia ya Mtume Muhammad (S.A.W)" – na Muhammad Abdalla Riday, Ansaar Muslim Youth Organisation UK, Na. 47. Katika sehemu ya...
  17. MAHANJU

    JamiiForums Tanzania Mbowe anapaswa kubeba lawama ndio chanzo cha yanayoendelea CHADEMA

    Bonjour wanabodi! MBOWE CHANZO CHA YANAYOENDELEA CHADEMA. Pamoja na miaka yote aliyoifumia kukijenga CHADEMA kwa jasho na damu ingawa si peke yake maana kuna ambao walipoteza maisha, wapo waliopotezwa mpaka sasa hawajulikani walipo, wapo walioumizwa sana na kuachiwa vilema vya kudumu hadi leo...
  18. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Utajiri vs umaskini kipi ndio chanzo Cha Uovu mwingi duniani?

    Utajiri vs umaskini kipi ndio chanzo Cha Uovu mwingi duniani? Karibuni wadau tujadili.
  19. Dalton elijah

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri kwenye mgogoro kati ya India na Pakistan, nini chanzo na hatma ya mgogoro

    Nchi ya Pakistan imedai kuwa imedungua ndege 12 zisizo na rubani za India usiku kucha na kusema mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yamesababisha vifo vya raia mmoja na wanajeshi wanne kujeruhiwa. Msemaji wa jeshi la Pakistan Jenerali Ahmed Sharif Chaudhry Akizungunza na vyombo vya Habari...
  20. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha vita ya India na Pakistan inayoendelea hivi leo katika eneo la Kashmir

    Mwezi wa huu wa Mei mwaka 2025, ulimwengu umetikiswa na mgogoro mpya kati ya mataifa mawili yenye historia ndefu ya mvutano – India na Pakistan. Tarehe 6 Mei, India ilitangaza operesheni kali iliyobeba jina "Operation Sindoor," ikilenga maeneo tisa ndani ya Pakistan na kipande cha eneo la...
Back
Top Bottom