Wakuu!
Kumekuwa na matukio ya baadhi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii kushangilia pale wasanii na viongozi wa Kisiasa wanapopata misiba. Hivi nini chanzo cha kufurahia?
MULILO: USHIRIKINA , KUDAIANA MIONGONI MWA SABABU WATU KUPOTEA
Mheshimiwa Kamanda Mulilo,
Soka et al nao walikuwa wanadaiana?
Mdude naye alikuwa anadaiwa,
Mawazo naye alikuwa anadaiwa,
Kangoye naye alikuwa anadaiwa?
Na wengine wa kundi hilo la chadema
Pili Mbona wote ni wa Chadema...
Kuwa na uwoga kwa uongozi ndio chanzo cha uongozi huo kutokuwa na uwajibikaji na uvunjifu wa katiba wazi wazi.
Maneno haya nime yatafsiri kutoka kwa pole pole, katika uhalisia mtu anaweza kuwa kiongozi mbaya kutokana na mazingira anayo yaongoza, mfano samia amevunja katiba wazi wazi ya chama...
Wakati utawala wa Trump unatafakari kuhusu kutuma silaha zaidi kwa Ukraine, mmoja wa washirika muhimu zaidi wa Urusi anaongeza kiwango cha ushiriki wake.
Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jon Un, ametoa "msaada wake usio na masharti" kwa Moscow, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya...
Genuine question, matusi sio uungwana.
Watu wanatumia akili zao, kipaji kuingiza hela.
Je kama unamuonekano mzuri, na unatake attention ya watu, unaeezaje kugeuza hiyo attention ya watu kua chanzo cha kipato, kihalali?
Tuseme tu ukweli matatizo ya nchi hii wa kulaumiwa ni nyerere yeye ndiyo chanzo cha sisi kufika hapa kutokana na ubishi wake na udikiteta wake wa kutokubali kuambiwa ukweli na ukionekana unataka kumuambia ukweli anakuweka detention( korokoroni? Ndiyo maana alitofautiana na Ndugu Kambona kutokana...
WATOTO WA KISASA
Watoto wa siku hizi hata bila kuelekezwa na mtu
Wanakuwa na uchumi mkubwa wa kuangalia katuni
Akipata simu hata kiswaswadu ukimuacha sekunde kadhaa utamkuta kalifukunyua game na anacheza.
Kwenye vyakula wengi wanaopenda vyakula fekifeki, lakini vile vya afya hawapendi. Ice...
GAZA MARINE; CHANZO CHA GAZA KUWA CONCENTRATION CAMPS.
Uvamizi wa Israel "Gaza" ni mpango wa siku nyingi, sio jambo la Bahati mbaya, Kinachofanyika Gaza kina Sura mbili.... Moja mkakati wa kuimiliki "Gesi asilia inayofikia 35 BCM (35 Billion Cubic Meters), Pili kuvunja harakati ya "Pan-Islamism...
UKOSEFU WA MAARIFA NI CHANZO CHA UPOTEVU WA PESA WAKATI WA UJENZI.
Faida za kununua full package ya Ramani Kabla ya Kuanza Ujenzi.
1. Unakuwa na uhakika na Nyumba ya Ndoto Yako itakavyokuwa.
2. Fundi hatoikosea Nyumba ikiwa anajua kuitafsiri Ramani na Kama hajui Iwapo ukiwa umenunua Kwangu...
Habari za kazi wapendwa!
Bila kupoteza muda, naomba msaada wa kujulishwa visababishi vya tatizo la gas tumboni kwa mama mjamzito. (Mimba bado changa - chini ya mwezi mmoja).
Je, tatizo hili linaweza kutatuliwaje?
Natanguliza shukrani!
"Usaliti, umbeya, hujuma, na dhuluma ni moto wa ndani unaowasha kiu ya malipizo katika nafsi za walioumizwa, si kwa sababu wanapenda kulipiza, bali kwa sababu maumivu yao yamepuuzwa kwa muda mrefu." — Alloyce, P.R.
🕯️ CHANZO NA ASILI YA JAMII YA ILLUMINATI
Sehemu ya kwanza
(Na AMUN The Grand Master Of The Third Eye Enlighten Society)
⚖️ Mwanzo Rasmi – Bavarian Illuminati (1776)
Ilianzishwa na: Adam Weishaupt, profesa wa sheria ya kanisa (canon law) katika chuo kikuu cha Ingolstadt, Ujerumani...
Wewe shika stuli, kaa vizuri. Leo nakusimulia stori ya jamaa mmoja aliyewasha moto hadi leo dunia inachoma. Sio moto wa kuni, ni moto wa akili, damu, mabomu, na msimamo mkavu. Jamaa anaitwa Muhammad ibn Abdul Wahhab.
---
📍 Najd, Saudia – Karne ya 18 (Miaka ya 1700s)
Najd ilikuwa pori tupu...
Kwa mujibu wa kanuni za maadili ya uchaguzi ambazo ACT Wazalendo wamesaini na kuridhia ni kuwa, ukishapiga kura rudi nyumbani kasubiri matokeo, na hata wakala wako haruhusiwi kuingia na simu kukujulisha kinachoendelea hata kama mabox ya kura feki yanaingizwa, sasa utalindaje kura ukiwa chumbani...
Wakuu
hawa wanaofanya kazi ya kupaka rangi nakuwa osha miguu hasa jinsia ya kiume kunaweza kusababisha mtu akachepuka katika ndoa yake,kuna sehemu nimewoma jamaa anamwosha mdada miguu amemsogelea kabisa yaani "zero distance" sasa kun huyo jamaa ni mpaka rangi hapa mtaani kwangu, yeye anasema...
Mzuka Wana Jamvi..
Binadamu ni waasi na ni waovu..
Nakumbuka jinsi walivyokuwa wanampopoa Magu na kufurahia kifo chake kana kwamba tokea uhuru Magu ndio alikuwa raisi pekee na kuleta matatizo yote haya , pamoja na hayo Mkaenda mkaandaa nyuzi za kumsifia sana Rais Samia na ili kuwaumiza wafuasi...
Kwenye Page zao za Mitandao ya kijamii hawa The Chanzo, JamiiForums na Jambo Online TV wanajitahidi sana, japo kuna shinikizo kutoka juu la kutokupost habari za kuhusu kutekwa au kukosoa serikali lakini vyombo hivi vimekua vikijitahidi Sana kupost habari za maana Sana kuhusu maovu yanayotokea...
Salam wana JF,
Nimekuwa na swali linalonipa maswali Mengi kila Kukicha.
Tukiachana na Michango ya wanachama, Wahisani wa ndani, wafanyabiashara n.k
Je! Vyama vyetu vya Siasa vinapata wapi Pesa zaKujiendeshea?
2: je! Kama Kuna Misaada kutoka mashirika ya Kimataifa; ni % ngapi zinagawiwa.
3...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Leo nikiwa nimekaa nimetulia ndan, hii ni baada ya mvua kubwa kunyesha na kinikwamisha kwenda parokian, kanisan kusali
Lakini mda huo ambao nikiwa nimekwama kwenda kanisani kwa sababu ya changamoto ya baraka ya mvua nikawa nawaza ivi MUNGU MWENYEZI alitokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.