ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. NEC yazika mzimu wa Richmond

    NEC yazika mzimu wa Richmond *Baadhi ya wabunge watetea watuhumiwa rasmi *Wataka mijadala ya EPA, Richmond iwekwe kando * Wengine wataka wachukuliwe hatuza zaidi *Kikwete awaruhusu kuikosoa serikali kwa hoja Na Mwandishi Wetu, Dodoma Mwananchgi KUNDI la wabunge na wajumbe wa Halmashauri...
  2. Sakata za Richmond, EPA sasa kuhamia katika vikao vya CCM

    Suala la kashfa ya Richmond na mabilioni yaliyochotwa katika Akaunti Maalum ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BOT), linatarajiwa kutawala mkutano wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM) na waliotuhumiwa kwa kashfa hizo kujieleza mbele ya wajumbe wenzao na wabunge...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…