JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 408
VYAMA MFU VYA UPINZANI KUITOA CCM MADARAKANI HAIWEZEKANI NA HAITATOKEA MILELE, ILA IKITOKEA HUO NDO MWISHO WA TANZANIA....Na Joseph Yona.
MbagalaZmaHome
yonapavea@gmail.com 0713802226
Kama ingetokea maajabu wananchi wa Tanzania wakafanya maamuzi ya kizwazwa kukitoa madarakani Chama Cha Mapinduzi na kukabidhi madaraka kwa chama chochote cha Upinzani basi huo utakuwa ndio mwisho wa Tanzania ya Watanzania.
Sababu
Vyama vya upinzani havina democrasia hasa CHADEMA, Mpaka leo tokea Enzi Ya Mkapa Bado mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Ni yuleyule, na kauli zake Ni zile zile haoni ndani ya chama chake mwenye akili ya kuiongoza Chadema....So Ni Mazwazwa.
Vyama vya upinzani vina ukabila hasa CHADEMA na ACT wazalendo Uchaga, Upemba na Uha.
Vyama vya upinzani vina UDINI hasa ACT wazalendo.
Vyama vya upinzani havina misingi ya kuongoza dola wanataka majaribio HAPA NI VYOTE kwani Ni Dhaifu.
Vyama vya upinzani havina watendaji bali wapiga kelele, Viongozi wao wengi Ni mihemko na ndo maana kila kukicha wanapukutika.
Vyama vya upinzani vina kisasi serikali haiendeshwi kwa kisasi.
Rai yangu kwa watanzania tufanye kazi kwa manufaa ya TAIFA na VIZAZI vijavyo, tumuunge mkono Rais wetu ni zawadi toka kwa #MUNGU mataifa mengi wanaomba wampate kama Dkt #Magufuri TANZANIA OYEEEE.
Tanzania ya Leo Uchumi unapaa tunavuka malengo kabla ya muda.
Kwenye Korona Mataifa ya nje yanamuiga JPM-Leo watanzania wanafuraha kutofungiwa ndani kwa magonjwa ya Kisiasa.
Korona Ni Ugonjwa wa Kisiasa za Dunia...Yaani Duniani vituko haviishi Mara Osama, Mara IslamicState, Mara Korea Kaskazini na Kim Jong wao, Mara Korona nk nk. JPM alipimaa akagoma Tunasonga.
Tunalima, Tunachapa kazi, Miundombinu tunaiona.
MbagalaZmaHome
yonapavea@gmail.com 0713802226
Kama ingetokea maajabu wananchi wa Tanzania wakafanya maamuzi ya kizwazwa kukitoa madarakani Chama Cha Mapinduzi na kukabidhi madaraka kwa chama chochote cha Upinzani basi huo utakuwa ndio mwisho wa Tanzania ya Watanzania.
Sababu
Vyama vya upinzani havina democrasia hasa CHADEMA, Mpaka leo tokea Enzi Ya Mkapa Bado mwenyekiti wa Taifa wa Chadema Ni yuleyule, na kauli zake Ni zile zile haoni ndani ya chama chake mwenye akili ya kuiongoza Chadema....So Ni Mazwazwa.
Vyama vya upinzani vina ukabila hasa CHADEMA na ACT wazalendo Uchaga, Upemba na Uha.
Vyama vya upinzani vina UDINI hasa ACT wazalendo.
Vyama vya upinzani havina misingi ya kuongoza dola wanataka majaribio HAPA NI VYOTE kwani Ni Dhaifu.
Vyama vya upinzani havina watendaji bali wapiga kelele, Viongozi wao wengi Ni mihemko na ndo maana kila kukicha wanapukutika.
Vyama vya upinzani vina kisasi serikali haiendeshwi kwa kisasi.
Rai yangu kwa watanzania tufanye kazi kwa manufaa ya TAIFA na VIZAZI vijavyo, tumuunge mkono Rais wetu ni zawadi toka kwa #MUNGU mataifa mengi wanaomba wampate kama Dkt #Magufuri TANZANIA OYEEEE.
Tanzania ya Leo Uchumi unapaa tunavuka malengo kabla ya muda.
Kwenye Korona Mataifa ya nje yanamuiga JPM-Leo watanzania wanafuraha kutofungiwa ndani kwa magonjwa ya Kisiasa.
Korona Ni Ugonjwa wa Kisiasa za Dunia...Yaani Duniani vituko haviishi Mara Osama, Mara IslamicState, Mara Korea Kaskazini na Kim Jong wao, Mara Korona nk nk. JPM alipimaa akagoma Tunasonga.
Tunalima, Tunachapa kazi, Miundombinu tunaiona.