NCCR sasa ndiyo chama kinachohitaji kujiimarisha vizuri kupambana na CCM

Kichuguu

Platinum Member
Oct 11, 2006
15,565
19,440
1. Ndicho kilichoanza harakati za vyama vingi- kwa kiwewe changu hata mimi nilisukuma gari la Mrema mwaka 1995, halafu siku moja pale Uhuru nilipaki gari langu sehemu ya Breweries ambayo almanusra nivunjiwe kioo cha gari kwa watu kuegemea gari hilo sehemu ambayo nilidhani ni mbali na mkutano pale shule ya Uhuru kabla mkutano haujaanza, lakini baada ya mkutano kuanza gari langu likawa limezingirwa na umati. NCCR kilipotea step baada ya 1995 lakini nadhani wanaweza kuwa wanalijua hilo sasa.

2. Kama CCM hakina mmiliki, yaani ni cha wanachama wote kwa vile walioko leo wamekikuta. CHADEMA ni cha Mbowe kwa vile alikirithi kwa Mtei, na ACT ni cha Zitto aliyekianzisha. CUF ni cha Lipumba ambaye amekuwa ni mwenyekiti na mgombea pekee wa uraisi kwa takriban miaka 25 sasa. Kuna vingine vingi vidogovidogo ambavyo vina wamiliki wake. Mbatia asiendelee kuwa mwenyekiti wa NCCR, kwa sababu naye anaweza kuwa perceived kama mmiliki wa NCCR.
 
What the different between nccr and ccm , I think you supposed to deceive ignorant people,
Typical myopic views. Hii inaweza kuwa imekuja mapema sana kwa vile uko fixated kwenye uchaguzi wa 2020 ambapo sioni kama kuna upinzani utakaoshinda; wanaweza kupunguza asilimia ya kushinda lakini chance ya kuvuka 50% ni ndogo sana kama siyo kuwa haipo kabisa. Mimi nimejaribu kuangalia beyond 2020. Hizi dynamics za vyama vya upinzani ni mbovu sana kuliko dynamics za CCM na NCCR at least kwa hali ya sasa. Iwapo NCCR itaimarika itakuwa na sifa za kuwa tishio zaidi kwa CCM kuliko CHADEMA na ACT. Anyway, keep your myopism and I will keep my hypermetropism.
 
Typical myopic views; hii inaweza kuwa imekuja mapema sana kwa vile uko fixated kwenye uchaguzi wa 2020 ambapo sioni kama kuna upinzani utakaoshinda; wanaweza kupunguza asilimia ya kusinda lakini chance ya kuvuka 50% ni ndogo sana kama siyo kuwa haipo. Mimi nimejaribu kuangalia beyond 2020. Hizi dynamics za vyama vya upinzani ni mbovu sana kuliko dynamics za CCM na NCCR at least kwa hali ya sasa. Iwapo NCCR itaimarika itakuwa na sifa za kuwa tishio zaidi kwa CCM kuliko CHADEMA na ACT. Anyway, keep your myopism and I will keep my hypermetropism.

Nccr is the political party which planted by ccm in order to weakened The real opposition.
 
Nccr is the political party which planted by ccm in order to weakened The real opposition.
You must have been born yesterday; those who were there in 1995 know very well how NCCR harassed and humiliated CCM to run for their money. Most likely Mkapa's vote of 1995 is the lowest a CCM presidential candidate has ever garned followed by that 2010.
 
You must have been born yesterday; those who were there in 1995 know very well how NCCR harassed and humiliated CCM to run for their money. Most likely Mkapa's vote of 1995 is the lowest a CCM presidential candidate has ever garned followed by that 2010.


Yes I know, but now has no different between Nccr and ccm , so its better to stay silently than to Insists people to support.
 
Yes I know, but now has no different between Nccr and ccm , so its better to stay silently than to Insists people to support.
You gotta know the difference between present and future; I can stay silent but not silently! correct?
 
Back
Top Bottom