johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Kiukweli msanii John Komba rip mchango wake ndani ya CCM katika siasa na nyimbo za uhamasishaji hautasahaulika.
Nimewafuatilia waimbaji wa sasa zaidi ya 100 bado sijamuona wa kuvaa viatu vyake japo kuwa Mrisho Mpoto anajitahidi.
Kazi iliyokuwa inafanywa na Komba sasa inafanywa na wasanii wa nchi nzima.
Mungu amlaze mahali pema peponi John Komba
Maendeleo hayana vyama!
Nimewafuatilia waimbaji wa sasa zaidi ya 100 bado sijamuona wa kuvaa viatu vyake japo kuwa Mrisho Mpoto anajitahidi.
Kazi iliyokuwa inafanywa na Komba sasa inafanywa na wasanii wa nchi nzima.
Mungu amlaze mahali pema peponi John Komba
Maendeleo hayana vyama!