vposterior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 732
- 1,231
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.
Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.
Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.
Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.