Wasanii ni njaa imetawala au mnalazimishwa kumuimba Rais Magufuli na CCM

vposterior

JF-Expert Member
Jul 19, 2018
732
1,231
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Kila mtu anaangalia fursa mkuu hata usiwalaumu, hata wapinzani wanatazama fursa pia. Ni numu kumantain usanii kwa miaka 10 kama unaweza kufanya jambo likakuingizia ela sasa fanya mapema.
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
 

Attachments

  • Zuchu - Tanzania Ya Sasa (hearthis.at).mp3
    5.2 MB · Views: 1
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.

Ipo hivi.
Macomunist yote duniani, uwafanya watu wawe masikini yaani kuwasomesha namba ili waweze kuwatawala, utumia Kodi kuwakomoa watu, wanauwa sekta binafsi ili wengi wafe njaa,kwao vipaumbele ni maendeleo ya vitu na sio watu.Watu wakishapigwa njaa utafuta njia sahihi ya kuepuka kufa njaa mfano kumuabudu mtawala ili kuepuka kufa njaa.Thus unakuta kina mobutu,moi,nk waliimbiwa sana.Zote hizi Ni falsafa za kikomunisti ndizo upelekea njaa.
Hivo watu utafuta njia ya kutoka kimaisha.
 
Wasanii wetu wengi wa muziki na filamu ni changamoto! Wamekua wakishiriki siasa kwa mihemko na kufuata tu ulaji.

Kupitia huu udhaifu wao, Ccm huwatumia nyakati hizo tu kwa kuwaahidi ahadi kemkem za kuwasaidia katika hizo fani zao! Na uchaguzi unapokwisha huwatelekeza na hivyo wengi wao kuishi maisha ya kuinung'unikia serikali kutowajali na pia kulalamika kuonewa au kubanwa na hiyo hiyo serikali waliyoipigia kampeni.
 
Kuelekea Uchaguzi Mkuu naona imekuwa fashion kwa wasanii kila mmoja anatoa nyimbo za kumsifu Magufuli na CCM.

Hii si bure lazima kuna kitu kinaendelea nyuma ya pazia.

Inawezekana kabisa njaa imetawala kwa wanamuziki labda kutokana na janga la Covid-19 lililotukumba hapo nyuma. Au wanamuziki wanapokea vitisho na kulazimishwa kutoka juu waunge mkono juhudi. Yawezekana pia kuna donge nono wasanii wanahongwa kuikamilisha hii agenda.

Niwashauri baadhi ya wasanii wenye fan-base ndogo wabakie tu neutral kuna maisha baada ya uchaguzi.

Unakuta msanii akitoa nyimbo anapata view laki mbili kwa mwezi mzima halafu bado unawagawa mashabiki wako kwa siasa za kuwanufaisha wengine.
Makonda huyo.
Usipoimba unabebeshwa unga
 
Back
Top Bottom