Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili
Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha...
Wengi wetu tunasoma jinsi USA walivyoisambaratisha USSR. Tunasoma jinsi mashirika nguli ya kijasusi kama CIA, MOSAD nk yanavyoendesha harakati za kuhujumu na kuwaondoa duniani maadui wa mataifa yao.
Bahati mbaya upinzani Tanzania (CHADEMA) wanadhani kuwa CCM ni chama kama wao walivyo...
Natoa tu angalizo kwa katibu wa idara ya uchumi ya chama changu CCM, huku mtaani bei ya Unga wa Ugali ( Sembe na Dona) ni kati ya sh 1500 hadi 1700 kwa kilo.
Ikumbukwe kuwa mahindi yamevunwa juzikati tu sasa ikifika February 2020 sijui hali itakuwaje?
Serikali itoe ruzuku kwa wakulima wa...
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa...
Imegundulika CHADEMA NA ACT, hawajui kujaza fomu, sehemu za kuandika mwaka na tarehe za kuzaliwa wao wanaandika tarehe na mwaka wahuu wa uchaguzi.
Hawajui vitu vingi na CCM imechukua advantage hiyo.
Nashindwa kuwa mnafiki ila mbinu za JIWE zimezaa matunda maana anajua
A.. Hawezi kampeni za...
Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema wagombea wote wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa ambao wameondolewa lakini wamekata rufaa malalamiko yao yatasikilizwa na haki kutendeka na kama wameonewa basi watarejeshwa uchaguzini.
Chanzo: ITV habari
Hizi ni habari njema kwa wapinzani ukizingatia ukweli...
Sheria za uchaguzi zinavunjwa wazi wazi kabisa na huku ccm mnashangilia. Mwaweza kudhani leo hii kuwa hiki mnachokifanya ni ujanja ila jueni kuwa dunia inatuangalia.
Dunia leo hii kama kuna kitu kinatiliwa mkazo ni mahusiano ya kiuchumi. Na katika uchumi hakuna kitu kinazingatiwa kama utawala...
Katika maisha yangu ya kisiasa sijawahi kushuhudia mgombea wa CCM akimkwepa au kukwepeshwa mpinzani wake hata mara moja kuanzia enzi za chama kimoja hadi vyama vingi.
Kuanzia ubunge wa mzee Warioba vs Wassira, enzi za Augustino Lyatonga Mrema vs Abdul Cisco Mtiro hadi msimu wa mzee Malecela vs...
Kabla Magufuli hajakabidhiwa Uenyekiti wa CCM Taifa , chama hiki kilikuwa mali ya wanachama wake , walijianzishia miradi yao kwenye matawi , walijipatia chochote kwa kulinda magari yaliyolazwa kwenye ofisi hizo , wengine walianzisha miradi ya kupangisha wafanyabiashara kwenye baadhi ya maeneo ya...
Wakati mwingine maamuzi ya Chadema huwa yanashangaza na kufurahisha.
Huko Mbweni wilayani Kinondoni jimboni Kawe Chadema wamemsimamisha mtoto wa Katibu wa CCM mtaani hapo aitwaye Kambi kugombea uenyekiti. Kamanda huyo wa Chadema bado anakula na kulala kwa baba yake.
Kiukweli nyakati nyingine...
Wasalaam,
Hii nchi si Mali ya CCM ni Mali ya watanzania wote inashangaza na kusikitisha jinsi CCM mnavyochezea amani ya taifa hili. Ni kwanini mnawanyima form wagombea wa vyama pinzani?
Mna hofu gani wakati chama kinapendwa na wadanganyika takribani wote?
Kwanini mnaagiza watendaji wa kata...
Naomba wataalamu wa masoko mnisaidie maana hivi vyama vya siasa vinajiuza kwa kunadi sera zao nasi tunanunua sera hizo kupitia mfumo wa ruzuku.
Mimi siyo market researcher lakini nimeona graph moja ikielezea stages katika product life cycle kama R&D, Introduction, Growth, Maturity na Decline...
Siku 7 zilizopita kuna thread ililetwa hapa ikitoa taarifa kuwa wanaCCM wote wa tawi la Kiterere kata ya Bumera katika jimbo la Tarime wamejiunga CHADEMA baada ya aliyekuwa kiongozi wa kijiji kwa tiketi ya CCM kukatwa jina lake katika kura za maoni ya kuchagua wagombea kwa tiketi ya CCM.
Thread...
Ccm inafaidika na watu wa Aina tatu katika nchi hii
1.Wajinga hapa jumuisha wote walioishia la Saba na wasio jitambua toa wachache.
2.Wanaofaidika na mfumo wa moja kwa moja wa kifisadi wa ccm kwa namna iwayo yote.
3.Wanaoogopa kutekwa na kuwawa kumbuka kwasasa ccm ni chama muumiani
Hao ndio...
Uchaguzi wa ndani wa CCM umewaweka kando wagombea wote waliotoka upinzani.
Wagombea wote waliounga mkono juhudi wamejikuta wakishindwa kupenya katika chujio la uchaguzi wa ndani wa CCM na kubandikwa majina ya jebehi kama wakuja, mamluki na nk.
Uchaguzi wa wenyeviti unatarajiwa kufanyika mwezi...
Ukweli unaozunguka duniani unaonyesha kwamba Ukikataliwa Mjini ni sawa na kukataliwa kila mahali , bali huko vijijini na kwingineko unaweza kulazimisha kukubalika hata kwa kupora ushindi .
CCM imekataliwa kabisa Iringa Mjini na vijijini , pamoja na viongozi wakubwa kama Mangula kutokea Mkoa wa...
Zoezi la kuchagua wagombea kwenye serikali za mitaa kupitia tiketi ya CCM limekuwa ni mizengwe na vurugu za kujitakia ambazo zimesababishwa na kanuni za uchaguzi zisizoendana na mazingira ya sasa.
Mipango waliyobuni ya kuchuja majina ya wagombea na kuyatangaza siku ambayo ndiyo zoezi la...
CCM ni chama kikubwa na kikongwe kinachoongozwa na watu wenye weledi mkubwa.
Hivyo CCM hakiwezi kufa au kushindwa kujiendesha kama kitarudisha serikalini viwanja vya mpira inavyovimiliki ili vijana wavitumie.
Viwanja vinapoteza hadhi na mpira hauchezeki kwenye viwanja hivyo wakati CCM inayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.