Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
View attachment 1503036
Mbunge mpya wa Butiama ni Madaraka Nyerere!Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
View attachment 1503036
Nami nilimuahidi akitia nia nitamchangia,akasema hana haja ya hela,maana gari la kuzungukia wakati wa kampeni analo na kijikita zaidi kwenye mtaji wa selaSiku na huyu Mheshimiwa Pascal Mayalla akitia nia sehemu yoyote ile kupitia CCM mnishtue ili niweze kumchangia chochote kwenye hiyo safari yake ya matumaini.
Jamhuri Media iko hoi kwahyo baba Taghazi hana namna.Jamaa huyo hapo baada ya kujikomba kwa mkuu hatimaye amevaa jezi kabisa.
Anaenda kuomba ubunge huko Butiama.
View attachment 1503036
baba yake unamjuaau umeedikatu kwa vile una simuna bado.Uroho Mali alizoiba baba yake bado anautaka ubunge .
baba yake unamjuaau umeedikatu kwa vile una simuna bado.
Yaani wewe umchangie mtu anamiliki kampuni yake. Badala ya kuchangia chama chako ambacho hakina hata ofisi.Siku na huyu Mheshimiwa Pascal Mayalla akitia nia sehemu yoyote ile kupitia CCM mnishtue ili niweze kumchangia chochote kwenye hiyo safari yake ya matumaini.
acha na maandishi jibu swali, hiki kifaa ninachotumia kina shida naweeza kuwa najua kuandika kuliko ukoo wako wote bwege wewe.Jifunze kuandika kiswahili vizuri kwanza "Unamjuaau " ndo nini?
Mkuu embu rudia tu kuandika upya,sijakupata aisee umenikumbusha darasa LA tatu...1980 giningi primarybaba yake unamjuaau umeedikatu kwa vile una simuna bado.
nime muuliza baba yake na huyo mtia nia anamjua au kaandika tu kwa kuwa ana simu na bado, hiki kitendea kazi changu kina shida kidogo.Mkuu embu rudia tu kuandika upya,sijakupata aisee umenikumbusha darasa LA tatu...1980 giningi primary
Baba yake yupi?Uroho Mali alizoiba baba yake bado anautaka ubunge .
Yaani wewe umchangie mtu anamiliki kampuni yake. Badala ya kuchangia chama chako ambacho hakina hata ofisi.
Wewe ni member wa Saccos ya Mb🙄 Chama gani hicho tena! Mimi ni Mtanzania Mzalendo nisiye na Chama. Halafu mbona huzuiwi kutia nia hata kama unamiliki ndege? Na kuhusu kumchangia, pia haimaanishi ya kuwa Mwana Jamii mwezetu hana hela! Ni njia tu mojawapo ya kumuunga mkono na kumtia moyo.
Au unataka uniambie wale Bodaboda wa kule Mbeya wana hela sana kuliko Naibu Spika wenu aliyemaliza muda wake kwa kuamua tu kumchukulia fomu ya Ubunge pale Mbeya Mjini?
Uroho Mali alizoiba baba yake bado anautaka ubunge .
nime muuliza baba yake na huyo mtia nia anamjua au kaandika tu kwa kuwa ana simu na bado, hiki kitendea kazi changu kina shida kidogo.
Baba yake yupi? Hivi ukishika simu unaandika tu kama unachat watoto wenzako?
Baba yake ni nani? Alikuwa nani hapa Tanzania?Uroho Mali alizoiba baba yake bado anautaka ubunge .