ccm

Chama Cha Mapinduzi (CCM) ndicho chama tawala nchini Tanzania na chama cha pili kwa muda mrefu zaidi barani Afrika, baada ya Chama cha True Whig cha Liberia. Kilianzishwa mwaka 1977, baada ya kuunganishwa kwa Tanganyika African National Union (TANU) na Afro-Shirazi Party (ASP) cha Zanzibar.
  1. Matope

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kampeni meneja wa CCM 2020 ni nani? Nayaona makosa ya kiufundi mengi sana

    Habari wakuu, Kampeni meneja wa CCM uchaguzi huu ni nani? Nayaona makosa mengi mno kwenye uchaguzi kipindi hiki. Kwa maeneo waliyofanya kampeni mpaka sasa hivi, watu wameshasahau kilisemwa nini. CCM huwa wana mpangilio wa kampeni zake kwa miaka yote, huko nyuma imekuwa cha kushangaza kuna...
  2. YEHODAYA

    JamiiForums Tanzania Wenye mwamko mkubwa wa kupiga kura ni CCM vyama vingine kulikoni?

    Wenye mwamko mkubwa wa kupiga kura ni CCM vyama vingine kulikoni? Yaani ukiwauliza mtaenda kupiga kura unawakuta wanajibu sijui nitaangalilia huko huko mbele CCM ukiwauliza ni haraka wanakwambia sitakosa kwenda kupiga kura
  3. F

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mgomo baridi CCM Bukoba: Viongozi wa chama wahoji matumizi ya malori kusomba watu kwenye mikutano

    Makatibu Uenezi wa Majimbo ya Uchaguzi Mkoani Kagera wameanzisha mgomo baridi wa kuwalazimisha wenye malori ili wasombe watu kwenda mikutano ya kampeini itakayohutubiwa na Waziri Mkuu Majaliwa anayeingia mkoani jumapili 28/9. Wamedai si vizuri CCM kuendelea kujidanganya kuwa ina watu wakati...
  4. J

    JamiiForums Tanzania CCM Taifa yalaani mauaji na kifo cha mwenyekiti wa UVCCM vyuo vikuu mkoani Iringa komredi Mlelwa. Rais Magufuli aagiza wauaji kusakwa

    Kwa uchungu na masikitiko makuu CCM imezipokea taarifa za mauaji ya mwenyekiti wa Uvccm vyuo vikuu mkoa wa Iringa komredi Mlelwa. Polepole amelitaka jeshi la polisi kufanya uchunguzi haraka na kuchukua hatua stahiki za kisheria. Rip Mlelwa Maendeleo hayana vyama! Mkuu wa mkoa wa Njombe...
  5. Prof Koboko

    JamiiForums Tanzania GE2020 Hivi kweli CCM mnataka Watanzania wawe na moyo gani kumchagua mgombea wenu?

    Hakuna mtu aliyechukia mgombea wenu, alianza vizuri lakini akajawa na madaraka yakamzidi akasahau kua kuna uchaguzi mbeleni. Yaani wasamaria wema wachangie pesa kwa ajili ya majanga halafu wewe unajipeleka kwenye miradi ya serikali siyo ukatili na uonevu kitu gani? Magufuli akishindwa urais huu...
  6. albab

    JamiiForums Tanzania Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha

    Nasikitika kusema tumefika pabaya sana kwamba sasa chama kipo juu ya vyombo vya dola (CCM ni bora kuliko TISS, Polisi na majeshi yote) Kwambaa mwenyekiti, katibu wa chama anaamua nani afanye nini na kwa wakati gani. Inauma sana. Jeshi la polisi mkoa wa Geita lipo kwenye masikitiko makubwa...
  7. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania GE2020 Lazaro Nyalandu aendelea kuimalizia CCM Singida

    Mh Lazaro Nyalandu leo tena ameendelea kuomba ridhaa ya wananchi wa Singida Kaskazini ili wampe kura zao ili awe mwakilishi wao bungeni . Leo alikuwa Kijiji cha Matumbo , kata ya Makuro , eneo hili ni kama ccm haina mgombea ubunge baada ya ya mgombea wake aitwaye Ramadhan Ighondu kuogopwa na...
  8. S

    JamiiForums Tanzania GE2020 CCM ikianguka, kitachofuata ni Magufuli na timu yake kutakiwa kujiuzulu nafasi zao ndani ya CCM

    Kuna watu ukiwaambia habari au uwezekano wa CCM kutoka madarakani, wanakuona unaongea jambo ambalo haliwezi kutokea leo wala kesho na zaidi wataishia kukushangaa tu na hii ni kwasababu wamekariri. Tunachosau wanadamu wengi ni kuwa,katika huu ulimwengu ambao umekuwepo kwa mamilioni ya miaka...
  9. James Martin

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli BAKWATA ni chombo cha CCM?

    BAKWATA ni chombo cha CCM? Hili ni swali ninalojiuliza siku nyingi sana, nafikiri wengi wenu pia mnatafuta jibu. Mimi binafsi nikijaribu kuchunguza naona kama uhusiano wa serikali ya CCM na BAKWATA ni wa karibu kupita kiasi. Nakiri kwamba serikali ina uhusiano na taasisi za kidini lakini hii...
  10. D

    JamiiForums Tanzania Chopa iliyokodiwa Kenya kwa ajili ya kutumiwa na mgombea urais wa JMT kupita CCM badala yake imeanza kutumiwa na Kassim Majaliwa

    Hapa ni Ukerewe ambapo Kassim Majaliwa amefanya mkutano wa kampeni leo kwa kutumia Chopa. Mkutano wa Majaliwa umepelekea mkutano wa Lissu kuchezewa figisu ambapo haujafanyika. Hata hivyo Chopa hii ilikodiwa ili itumiwe na John Magufuli mgombea urais JMT kupitia CCM
  11. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Zanzibar: Katibu wa ACT-Wazalendo mbaroni kwa tuhuma za kuwashambulia kwa mapanga wanachama wa CCM

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linamshikilia Katibu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kosovo Shehia ya Kangani Hassan Hamad Hassan mwenye umri wa miaka 56, kwa tuhuma ya kuwashambulia kwa kuwakata mapanga wanachama wa Chama Cha Mapinduzi akiwemo Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Wete...
  12. S

    JamiiForums Tanzania CCM fahamuni ushindi wa Lissu mnaweza kufananisha na reli ya standard gauge

    Kama bado hamjaelewa basi mfano hai ndio huo Lisu anashinda na ameshapita vibaya sana,pangeni mkipangua ,yaani kubalini tu ,msitake kufanya mizengwe,huu wakati sio,kuna maisha baada ya uchaguzi,japo hamna hamu nayo,lakini yanini yote,sisi sote wamoja hakuna mlete sababu ya kulinda kisicho...
  13. Mtini

    JamiiForums Tanzania CCM acheni utani na watanzania: Kweli kuzibua mitaro na kufyeka barabara mnazihesabu kama ajira za kuongeza?

  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Zimebaki siku 31 za kupiga kampeni, sijamuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM

    Kama wanavyofanya wana CCM wengine waliotia nia na kuenguliwa ama kushindwa kwenye kura za maoni, sijawahi kumuona Makonda akiwanadi wagombea wa CCM. Ikumbukwe kuwa aliwahi kuahidi kuwa atazunguka Dar es Salaam nzima kumpigia kampeni Magufuli. Je, ni kujiamini sana au alikasirishwa na kitendo...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Maandalizi ya kulinda kura ni sasa, mjue CCM hawalali

    Muanze na kuwasunda mawakala, wakala atakeuza utu wake ni hatari sana kwa jamii,mnaweza mkaona msimamizi ndio tatizo lakini hawa mawakala hasa wa upande wa Tanganganyika hurahisika zaidi kupokea donge nono, kisha siku ya uchaguzi anasepa au anajiteka, mjue CCM moja ya mipango yao ni kuwanunua...
  16. S

    JamiiForums Tanzania Tahadhari - Vionjo vitamu vya uongo wanavyotoa wagombea wa CCM

    WaTanzania kaeni chonjo na hotuba za viongozi na wagombea wa CCM,wasikilizeni tu,mkiondoka unakibusu kichinjio huku unajisemea CCM mtanitambua mwaka huu.Chakubanga anakusanya vyombo vya habari na kurusha tumbaku,uongo mtupu,ila jamaa anajua kupangilia kama una akili ya kizezeta unaona kasema...
  17. D

    JamiiForums Tanzania Mgombea wetu wa urais JMT kwa tiketi ya CCM yuko wapi? Leo alitakiwa awe Iringa mjini akimchachafya Msigwa

    Mgombea wetu wa urais JMT yuko wapi? Amebuni mbinu mbadala ya kufanya kampeni? Au anajizuia kukasirika kutokana na mambo fulani fulani? Leo alitakiwa awe Iringa mjini.
  18. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania CCM inakosea sana pale inaposema vitambulisho vya machinga sio vya lazima

    Chama langu halipaswi kujichanganya juu ya suala hili kamwe, aidha kusema wajawazito kujifungua ni bure au watoto chini ya miaka mitano matibabu ni bure nasem ahivi kwa sababu ndani ya mda mfupi tu uliopita haya yalikuwa ni mambo ambayo yalikuwapo na baadhi yalitiliwa mkazo kweli kweli,kuhusu...
  19. N

    JamiiForums Tanzania Yale majimbo ambayo ccm walipita bila kupingwa, wananchi bado mnatakiwa mjitokeze kupimgia kura Tundu Lissu

    Yale majimbo ambayo ccm wamejipa ushindi, wananchi October 28, 2020 nendeni mkampigie kura Tundu Lisu Kwasababu ccm tayari wameshajipa ushindi, hawachaguliki Kumbukeni wao watateuana na ndio utamaduni wao Tundu Lisu anaomba kura zenu, msije ziharibu kwa kuwapigia ccm ambao wamesha shinda...
  20. Fantastic Beast

    JamiiForums Tanzania GE2020 Sitaki kuamini CCM hawakuyaona haya

    Kwamba hawakuwaza wakijibandika kwenye mabango peke yao nchi nzima watachokwa machoni pa watu na watapoteza mvuto machoni na hata mioyoni mwa watu. Kwamba kufanya siasa peke yao kwa miaka 5 kutafanya wananchi wawe na njaa & kiu kubwa sana ya kusikiliza upande wa pili wa shiling. Kwamba kizazi...
Back
Top Bottom