Ngaliwe
Senior Member
- Dec 30, 2015
- 161
- 364
Nimekuwa kimya kwa siku mbili tatu ili kujipa muda kuifuatilia na kutafakari FILAMU inayochezwa na CAG akishirikiana na wanamapinduzi wanaopambana usiku na mchana kuifuta LEGACY ya MWAMBA HUYU KUTOKA CHATO. Nilichokibaini kwenye report ile ya ndugu kichele ni kwamba ,inajaribu kutengeneza taswira mbaya mno kwa JPM kuwa.
1.Katika uongozi wa JPM serikali ilianzisha miradi isiyo na tija kwasababu inaipa hasara kwa mfano SGR , STEND ZA MABASI NA STIGLER,S GORGE NA ATCL.
SGR
Yaani unafurahia ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Itakayokufanya tuwe watazamaji lakini wanufaika ni wachina zaidi ya miaka 50.Unaambiwa ikijengwa bandari ya bagamoyo itakuwa kubwa kuriko zote Afrika mashariki na kati ,Lakini itafanya bandari ya tanga ,dar na mtwara kufungwa .Na zikifungwa hizi pato la bandar ya Dar tunakosa, tunaanza kutegemea fashila za wachina kutukadiria watugawie ngap ? Just imagine.
Yaani unafurahi kujengwa nyumbani kwako nzuri harafu ,ww unakuomba omba kwwnye ardhi yako ,ilihari ungejenga ya kwako ukawa huru.SGR inaunganisha Dar to mwanza, Rwanda ,burundi na kongo kuiondoa au kuisitisha ni kutuingiza kwenye mgogoro mkubwa wa kiusafirshaji.
Lakini pia SGR inaenda kutuingiza kwwnye maisha ya kisasa ,masaa matatu Dar to dodoma, Kenya wanayo mombasa to Nairobi na wanampango wa kuetend mradi sisi tunajadili kusitisha ,ni ajahu sana.
STEND ZA MABASI
Kiuhalisia wkt wa JPM ndo tumeshuhudia stend za kisasa kama uwanja wa ndege ,mathalani stend ya ubungo ilikuwa imezeeka sana haijaendana na jiji lenyewe ,angarau hii stendi ya mbezi.Madai ya kwamba itasababisha foleni yananiwazisha sana.Kwahy tuihamishe? Au tuishie kusema hivo tuchafue baadae tuitumie vivo hivo??
STIGLERs Gorge
Mradi huu ni mkubwa wa pili Afrika unatarajia kuzalisha umeme mara mbili ya uliyopo,na kumaliza kabisa changamoto ya umeme, hizi ni harakati za mtu mwenye nia njema na watu wake.Kuusitisha huu mradi ni kujirudisha nyuma mno.Changamoto za kiutafiti jpm aliZITOLEA MAJIBU.
ATCL
Nashangaa sana watu wameanza kusahau mapema hivi ,shirika letu lilikuwa limekufa kuanza upya ni juhudi za JPM, kuingia sokoni si suala la siku moja kuanza kutengeneza faida.Wafanyabiashara wanafahamu huwez anzisha biashara leo kubwa kesho ukatengeneza faida ,Its imposible. Hivyo ATCL ndio ilikuwa inasaka wateja na ruti , bado kabisa lilikuwa shirika changa.
2. JPM hajafanya lolote la maana zaidi ya kupiga hela (ufisadi),
Haya ni maajabu ya mwaka ,yaani miradi yote hii ndani ya muda mfupi hajafanya lolote zaid ya kuiba? Jpm aliyekataa kwenda ulaya ili peaa hizo Itumike kwenye maendeleo ya wananchi unasema mbaya?
3.JPM alitumia kisingizio cha kuwaita watanzania wanyonge na kudai nchi imeliwa kumbe yeye ndiye mpigaji mkubwa.
Mambo mengine tunaambiwa yakuambiwa changanya na zako ,kma alikuwa mpigaji kiwango hicho hela za miradi yote hii ilitoka wapi?
Miradi ya maji, mahospitali, madawa ,umeme,elimu bure , sgr, stiglers ,madaraja ,viwanja vya ndege , meli ,ikuku dodoma,,vivuko nk.
Hata kama alikopa lakini kwa wingi na ukubwa mirad hii asingetoboa , hebu angalia JK hakutoboa miradi mingi ilikuwa imesimama amekuja kuihusha jpm.
Haingii akilini.
Baada ya kusoma na kufuatilia wachambuzi na maoni(comments) facebook kama vile :malisa ,kigogo, Magoiga, Ole mushi, veronica na Dr wiliamu nimebaini mambo yafuatayo:
1. Kundi la watu linashangilia report hii kwamba iko sahihi hasa kwasababu mzee hakuruhusu kukosolewa.Kundi hili ni lile la wale wanaotoka vyama vya upinzani.Hapa wapinzani wanachekelea tu na kujaribu kuonesha wako ipande wa SSH , lakini kiuhalisia wanamtumia kujiimarisha.
Maana ipo siku wataitumia kwa watu kuwa "ccm si chama cha kuaminika ,kimeoza JK alioza na yule mliyeamini yuko smart naye kumbe alioza" .kwahiyo ni Credit kubwa kwa UPINZANI.
2. Kundi la watu wanaokataa kata kata kuwa report hii imepikwa na JK na mafisadi kumchafua mzee kwa kuwa alimharibia biashara zake haramu.Hili limejaa wanaccm na wananchi wa kawaida.Hapa kumezuka timu "MaTAGA na MARTHA" .Mataga wanamwona mama ni msariti mkubwa ,na ya kwamba hataweza kumfikia jpm katika kuiletea maendeleo Tanzania
3.Kundi la watu ambao liko katikati linaamini report ni ya kweli lakini linaamini kuwa mzee hahusiki na huu ufisadi .Hawa wanaimani na SAMIA SULUHU kuwa ataendeleza aliyoachiwa na JPM.Hili nalo ni la wanaCCM ambao wao wanajipa moyo kuwa wampe muda mama huenda akafanya vizuri zaidi.
4. Kundi la watu ambao wanaona hamna umhimu wa kuendelea na CCM kwa kile alichokifanya mama, yaani hawa wanaona yale aliyofanya jpm ni makubwa zaidi kuriko hata CCM ,hivo kuyabeza ni kuwakosea pakubwa.
TWENDE SAWA
BAADA YA KUYAONA HAYO MASWALI MENGI YAKANIJIA
- Kwanini nguvu nyingi zimekezwa katika kumlaumu au kumkashifu jpm ,ili hari hata wakati wake ufisadi ulikuwepo ,ulibainika na kurekebishwa?
Yaani hii inataka kutengenezwa sura kwamba report za nyuma zilikuta serikali iko clean kwa 100%, ilihari nakumbuka hata za nyuma zilionyesha ubadhilifu polisi , TAKUKURU, CCM NA KWENYE MIRADI MBALIMBALI.
- Huyu kichele aliyesema hakuna tatizo kwenye atcl ndiye anatuambia kuwa kuna hasara Ya 150b atcl.Kama ni mtu mkweli angetuambia mwka jana hio hasara kuriko kusubiri rais aliyemteua hayupo ndipo aseme.Huyu ni tofauti na Prof Assa aliyesema bila kumng'unya maneno bunge la sasa ni dhaifu.Kama aliogopa kusema ukweli kqa hofu ya kupoteza kibarua hata leo anaweza kusema uongo ili kulinda kibarua
- kauli nyingi tata alizozitoa mama zinamaanisha nini? Kwa mfano suala la chanjo tusiwe kama kisiwa , madini yanatoloshwa kama awali , wafanya biashara wamekimbia nk.
KUHUSU CHANJO
Kulingana na kauli ya mama kwamba TZ kutokubali chanjo ni kujitenga na dunia, kauli hii inatupa picha kwamba maamzi ya jpm hakuwa anayaunga mkono ya kukataa chanjo.
Kwa mkitadha huo mama anaonyesha kwamba haoni kuwa aliyoyakataa mtangulizi wake ndiyo yamekuja kutokea.Nchi nyingi za ulaya zimekataa chanjo zikiwemo uingereza,uholanzi na dernmak.Kama nchi hizi kubwa zimesitisha chanjo hii yeye anapata wapi ujasiri wa kuona kuwa Tz tumejitenga?
KUHUSU MADINi KUTOLOSHWA
Kauli hii nayo ni tata ,utata unaanzia kwenye maneno "madini yanatoloshwa kama mwanzo" hii kauli inatuaminisha kuwa ukuta ule merelani hauna maana yotote.Lakini report zinamkatalia mama ,kabla ya ukuta kujengwa kenya na SA zilikuwa vinara kuuza tanzanite kuipita nchi yetu lakini leo hii sisi ndio vinara wa kuuza madini haya.
KUHUSU wafanyabiashara KUKiMBIA NCHI
Hapa napo panautata mtupu, nikiangalia wafanyabiashara waliokimbia hawafiki hata wanne.
Maana bado:Mo ,bakheresa, kitana, kishimba nk wapo ambaye amekimbia ni Manji na MBOWE
Swali linakuja kwanini manji akimbie? Mbona wenzake hawakukimbia?
Kwahiyo kauli hii imejaa ukakasi mtupu
-Kama JPm alikuwa mbaya kiasi hixho na yeye mama akawa anamsapoti basi ni ishara kwamba hatoshi kuwa rais.Kule uingereza waziri mkuu aliamua kujiuzulu kwasababu ya kushikilia msimamo wake kuwa hawezi kuiruhusu uingereza ijitenge na ulaya.
Mama angekuwa mcha Mungu ,mtu wa swala tano tunategemea angekuwa amejiudhuru au hata kukataa ugombea mwenza, lakini miaka 5 imeisha ikaja mingine bado akakubali kumsaidia JPm basi ni dhahiri haya yanayotokea si yake bali ANAONGOZWA.
-hivi kweli stend ya mbezi itaongeza foleni ?? Yaani kuna mambo mengine mpaka yanachekesha , yaani wivu si wivu , ushwetani si ushwetani .Na kwa mkutadha huu ,tutegemee miradi ya maji ,umeme,viwanja vya ndege ,madaraja vitakuwa aidha hasara au havina tija.
HITIMISHO
Kama kweli dhamira yao ni KUIFUTA LEGACY YA JPM BASI WAFANYE YAFUATAYO.
1. UZA ndege zote, meli zote, vivuko vyote
2. Bomoa bandari ya Dar, Tanga na Mtwara zilizoboreshwa.
3. Nyanganya migodi wazawa ,gawa kwa mabeberu, futa kampuni la Twiga.
4. Binafisisha milima, mapori na maziwa
5. Simamisha ujenzi wa stiglers gorge
6. Bomoa SGR , uza vyuma spea.
6. Vunja ,bomoa daraja la busisi, tanzanite
7. Rudisha ada na michango shuleni.
8. Vunja masoko ya madini nchini na ruhusu makinikia kwenda nje ya nje
9. Ruhusu uhuru wa mshoga na ndoa za jinsia moja.
10. Chalaza bakora machinga, mwaga wali wa mama lishe
11. Sitisha ujenzi wa masoko ya kisasa.
12. Vunja ukuta wa merelani
13. Tengeneza sheria za madini
14. Amuru lockdown na chanjo.
MAMA UNANAFASI MBILI TU FUATILIA UZI HUU KWA MAKINI
1.Katika uongozi wa JPM serikali ilianzisha miradi isiyo na tija kwasababu inaipa hasara kwa mfano SGR , STEND ZA MABASI NA STIGLER,S GORGE NA ATCL.
SGR
Yaani unafurahia ujenzi wa bandari ya Bagamoyo
Itakayokufanya tuwe watazamaji lakini wanufaika ni wachina zaidi ya miaka 50.Unaambiwa ikijengwa bandari ya bagamoyo itakuwa kubwa kuriko zote Afrika mashariki na kati ,Lakini itafanya bandari ya tanga ,dar na mtwara kufungwa .Na zikifungwa hizi pato la bandar ya Dar tunakosa, tunaanza kutegemea fashila za wachina kutukadiria watugawie ngap ? Just imagine.
Yaani unafurahi kujengwa nyumbani kwako nzuri harafu ,ww unakuomba omba kwwnye ardhi yako ,ilihari ungejenga ya kwako ukawa huru.SGR inaunganisha Dar to mwanza, Rwanda ,burundi na kongo kuiondoa au kuisitisha ni kutuingiza kwenye mgogoro mkubwa wa kiusafirshaji.
Lakini pia SGR inaenda kutuingiza kwwnye maisha ya kisasa ,masaa matatu Dar to dodoma, Kenya wanayo mombasa to Nairobi na wanampango wa kuetend mradi sisi tunajadili kusitisha ,ni ajahu sana.
STEND ZA MABASI
Kiuhalisia wkt wa JPM ndo tumeshuhudia stend za kisasa kama uwanja wa ndege ,mathalani stend ya ubungo ilikuwa imezeeka sana haijaendana na jiji lenyewe ,angarau hii stendi ya mbezi.Madai ya kwamba itasababisha foleni yananiwazisha sana.Kwahy tuihamishe? Au tuishie kusema hivo tuchafue baadae tuitumie vivo hivo??
STIGLERs Gorge
Mradi huu ni mkubwa wa pili Afrika unatarajia kuzalisha umeme mara mbili ya uliyopo,na kumaliza kabisa changamoto ya umeme, hizi ni harakati za mtu mwenye nia njema na watu wake.Kuusitisha huu mradi ni kujirudisha nyuma mno.Changamoto za kiutafiti jpm aliZITOLEA MAJIBU.
ATCL
Nashangaa sana watu wameanza kusahau mapema hivi ,shirika letu lilikuwa limekufa kuanza upya ni juhudi za JPM, kuingia sokoni si suala la siku moja kuanza kutengeneza faida.Wafanyabiashara wanafahamu huwez anzisha biashara leo kubwa kesho ukatengeneza faida ,Its imposible. Hivyo ATCL ndio ilikuwa inasaka wateja na ruti , bado kabisa lilikuwa shirika changa.
2. JPM hajafanya lolote la maana zaidi ya kupiga hela (ufisadi),
Haya ni maajabu ya mwaka ,yaani miradi yote hii ndani ya muda mfupi hajafanya lolote zaid ya kuiba? Jpm aliyekataa kwenda ulaya ili peaa hizo Itumike kwenye maendeleo ya wananchi unasema mbaya?
3.JPM alitumia kisingizio cha kuwaita watanzania wanyonge na kudai nchi imeliwa kumbe yeye ndiye mpigaji mkubwa.
Mambo mengine tunaambiwa yakuambiwa changanya na zako ,kma alikuwa mpigaji kiwango hicho hela za miradi yote hii ilitoka wapi?
Miradi ya maji, mahospitali, madawa ,umeme,elimu bure , sgr, stiglers ,madaraja ,viwanja vya ndege , meli ,ikuku dodoma,,vivuko nk.
Hata kama alikopa lakini kwa wingi na ukubwa mirad hii asingetoboa , hebu angalia JK hakutoboa miradi mingi ilikuwa imesimama amekuja kuihusha jpm.
Haingii akilini.
Baada ya kusoma na kufuatilia wachambuzi na maoni(comments) facebook kama vile :malisa ,kigogo, Magoiga, Ole mushi, veronica na Dr wiliamu nimebaini mambo yafuatayo:
1. Kundi la watu linashangilia report hii kwamba iko sahihi hasa kwasababu mzee hakuruhusu kukosolewa.Kundi hili ni lile la wale wanaotoka vyama vya upinzani.Hapa wapinzani wanachekelea tu na kujaribu kuonesha wako ipande wa SSH , lakini kiuhalisia wanamtumia kujiimarisha.
Maana ipo siku wataitumia kwa watu kuwa "ccm si chama cha kuaminika ,kimeoza JK alioza na yule mliyeamini yuko smart naye kumbe alioza" .kwahiyo ni Credit kubwa kwa UPINZANI.
2. Kundi la watu wanaokataa kata kata kuwa report hii imepikwa na JK na mafisadi kumchafua mzee kwa kuwa alimharibia biashara zake haramu.Hili limejaa wanaccm na wananchi wa kawaida.Hapa kumezuka timu "MaTAGA na MARTHA" .Mataga wanamwona mama ni msariti mkubwa ,na ya kwamba hataweza kumfikia jpm katika kuiletea maendeleo Tanzania
3.Kundi la watu ambao liko katikati linaamini report ni ya kweli lakini linaamini kuwa mzee hahusiki na huu ufisadi .Hawa wanaimani na SAMIA SULUHU kuwa ataendeleza aliyoachiwa na JPM.Hili nalo ni la wanaCCM ambao wao wanajipa moyo kuwa wampe muda mama huenda akafanya vizuri zaidi.
4. Kundi la watu ambao wanaona hamna umhimu wa kuendelea na CCM kwa kile alichokifanya mama, yaani hawa wanaona yale aliyofanya jpm ni makubwa zaidi kuriko hata CCM ,hivo kuyabeza ni kuwakosea pakubwa.
TWENDE SAWA
BAADA YA KUYAONA HAYO MASWALI MENGI YAKANIJIA
- Kwanini nguvu nyingi zimekezwa katika kumlaumu au kumkashifu jpm ,ili hari hata wakati wake ufisadi ulikuwepo ,ulibainika na kurekebishwa?
Yaani hii inataka kutengenezwa sura kwamba report za nyuma zilikuta serikali iko clean kwa 100%, ilihari nakumbuka hata za nyuma zilionyesha ubadhilifu polisi , TAKUKURU, CCM NA KWENYE MIRADI MBALIMBALI.
- Huyu kichele aliyesema hakuna tatizo kwenye atcl ndiye anatuambia kuwa kuna hasara Ya 150b atcl.Kama ni mtu mkweli angetuambia mwka jana hio hasara kuriko kusubiri rais aliyemteua hayupo ndipo aseme.Huyu ni tofauti na Prof Assa aliyesema bila kumng'unya maneno bunge la sasa ni dhaifu.Kama aliogopa kusema ukweli kqa hofu ya kupoteza kibarua hata leo anaweza kusema uongo ili kulinda kibarua
- kauli nyingi tata alizozitoa mama zinamaanisha nini? Kwa mfano suala la chanjo tusiwe kama kisiwa , madini yanatoloshwa kama awali , wafanya biashara wamekimbia nk.
KUHUSU CHANJO
Kulingana na kauli ya mama kwamba TZ kutokubali chanjo ni kujitenga na dunia, kauli hii inatupa picha kwamba maamzi ya jpm hakuwa anayaunga mkono ya kukataa chanjo.
Kwa mkitadha huo mama anaonyesha kwamba haoni kuwa aliyoyakataa mtangulizi wake ndiyo yamekuja kutokea.Nchi nyingi za ulaya zimekataa chanjo zikiwemo uingereza,uholanzi na dernmak.Kama nchi hizi kubwa zimesitisha chanjo hii yeye anapata wapi ujasiri wa kuona kuwa Tz tumejitenga?
KUHUSU MADINi KUTOLOSHWA
Kauli hii nayo ni tata ,utata unaanzia kwenye maneno "madini yanatoloshwa kama mwanzo" hii kauli inatuaminisha kuwa ukuta ule merelani hauna maana yotote.Lakini report zinamkatalia mama ,kabla ya ukuta kujengwa kenya na SA zilikuwa vinara kuuza tanzanite kuipita nchi yetu lakini leo hii sisi ndio vinara wa kuuza madini haya.
KUHUSU wafanyabiashara KUKiMBIA NCHI
Hapa napo panautata mtupu, nikiangalia wafanyabiashara waliokimbia hawafiki hata wanne.
Maana bado:Mo ,bakheresa, kitana, kishimba nk wapo ambaye amekimbia ni Manji na MBOWE
Swali linakuja kwanini manji akimbie? Mbona wenzake hawakukimbia?
Kwahiyo kauli hii imejaa ukakasi mtupu
-Kama JPm alikuwa mbaya kiasi hixho na yeye mama akawa anamsapoti basi ni ishara kwamba hatoshi kuwa rais.Kule uingereza waziri mkuu aliamua kujiuzulu kwasababu ya kushikilia msimamo wake kuwa hawezi kuiruhusu uingereza ijitenge na ulaya.
Mama angekuwa mcha Mungu ,mtu wa swala tano tunategemea angekuwa amejiudhuru au hata kukataa ugombea mwenza, lakini miaka 5 imeisha ikaja mingine bado akakubali kumsaidia JPm basi ni dhahiri haya yanayotokea si yake bali ANAONGOZWA.
-hivi kweli stend ya mbezi itaongeza foleni ?? Yaani kuna mambo mengine mpaka yanachekesha , yaani wivu si wivu , ushwetani si ushwetani .Na kwa mkutadha huu ,tutegemee miradi ya maji ,umeme,viwanja vya ndege ,madaraja vitakuwa aidha hasara au havina tija.
HITIMISHO
Kama kweli dhamira yao ni KUIFUTA LEGACY YA JPM BASI WAFANYE YAFUATAYO.
1. UZA ndege zote, meli zote, vivuko vyote
2. Bomoa bandari ya Dar, Tanga na Mtwara zilizoboreshwa.
3. Nyanganya migodi wazawa ,gawa kwa mabeberu, futa kampuni la Twiga.
4. Binafisisha milima, mapori na maziwa
5. Simamisha ujenzi wa stiglers gorge
6. Bomoa SGR , uza vyuma spea.
6. Vunja ,bomoa daraja la busisi, tanzanite
7. Rudisha ada na michango shuleni.
8. Vunja masoko ya madini nchini na ruhusu makinikia kwenda nje ya nje
9. Ruhusu uhuru wa mshoga na ndoa za jinsia moja.
10. Chalaza bakora machinga, mwaga wali wa mama lishe
11. Sitisha ujenzi wa masoko ya kisasa.
12. Vunja ukuta wa merelani
13. Tengeneza sheria za madini
14. Amuru lockdown na chanjo.
MAMA UNANAFASI MBILI TU FUATILIA UZI HUU KWA MAKINI