jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Ni muhimu tuelezane ukweli kwani msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wabunge wote na WanaCCM wote watakaomnanga Magufuli wajiandae kupoteza ubunge na nafasi zao ndani ya Chama.
Hayati baba John Pombe Magufuli amewafanyia mengi sana na kamwe hakuna mtanzania atakayemuelewa mnafiki atakayemkashifu.
Kama mnabisha come 2025.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!