canada

  1. FaizaFoxy

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya kimbari ya watoto wadogo yaligunduliwa shule za Kikatoliki Canada

    Shule za makazi (Residential Schools) zilikuwa za mtandao wa shule za bweni ambazo ziliundwa ili kuingiza watoto wa kiasili (natives) katika utamaduni wa Kanada. Shule hizo ziliendeshwa na serikali ya Kanada na mashirika ya kidini (Kikatoliki). Watoto hao walichukuliwa kutoka kwa familia zao...
  2. T

    JamiiForums Tanzania Canada yapanga kuipa Ukraine ndege ya Urusi Antonov an-124 RA-82078

    Ndege ya Urusi Antonov An-124 RA-82078 ambayo iliyozuiwa kuondoka kwenye Uwanja wa Ndege wa Toronto Pearson kwa zaidi ya mwaka mmoja itapelekwa Ukraine. Ikiendeshwa na Shirika la Ndege la Volga-Dnepr, An-124 iliwasili Canada tarehe 27 Februari 2022 ili kuleta vifaa vya kupima COVID-19 kutoka...
  3. N

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mtu aliye Canada kimasomo

    Salaam. Wakuu natafuta mtu aliyeko Canada kimasomo kuna mambo nahitaji msaada wa haraka. Asante.
  4. music mimi

    JamiiForums Tanzania Nina mil 12. Je, inatosha mimi kuhamia Marekani au Canada?

    Wakuu mimi nna ndoto ya kuishi nje ya nchi haswa Marekani au Canada. Nimepambana kwa muda mrefu nipate scholarship za huko ila ni tough haswa kwa sisi wenye GPA za lower second. Nna million 12 fulani kibindoni vipi inatosha kutimiza ndoto? Njia ya kwenda huko nyepesi ni hipi?
  5. happyxxx

    JamiiForums Tanzania Namshauri Lema arudi Canada kuungana na familia yake. Haya matusi kwa watanzania yametosha sisi wanaArusha tusije laumiwa baadae

    Tangu amerudi amekuwa akitoa kejeli dhiaka na matusi kwa vijana na kina mama maskini wa kitanzania. Hata kama yeye ana pesa nyingi na amepata nafasi ya kuishi Canada kwa mgongo wa ukimbizi wa kisiasa kwa siasa alizopewa nguvu na hawa anaotukana leo basi enough is enough. Tumemchoka! Kuna watu...
  6. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Lema, umelikoroga, rudi Canada kwanza ujifikirie

    Lema amekuwa nje ya nchi kwa muda mrefu. Karudi ana mawazo ya ajabu ajabu na bado anafikiri yupo kipindi cha Magufuli, kile cha ugomvi ugomvi na mivutano. Anachoongea sasa ni kama samaki aliyetolewa majini. Hajui siasa za Tanzania zimesonga. Ameanza kwa kuwananga madereva wa bodoboda, ati kazi...
  7. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Bora kuwa huru ukiendesha bodaboda Tanzania kuliko kuwa mfagia vyoo wa Canada

    Kuna watu wanakimbilia nchi za ughaibuni wakifika huko ndio wazoa takataka majalalani waosha vyombo migahawani wazibua vyoo vya wazungu hafu wakija huku wanawaletea dharau watanzania wenzao. Lema kwa kazi ya kufugwa na wazungu ni bora ungebaki bongo uwe chawa wa wazungu.
  8. Replica

    JamiiForums Tanzania Lema awa Makamu Rais wa kampuni ya Canada barani Afrika, aleta mradi wa gari solar zinazopaa Tanzania

    Mwanasiasa wa Tanzania na mbunge wa zamani wa Arusha Mjini anaeishi uhamisho nchini Kanada, Godbles Lema ambaye pia ni makamu wa Rais wa masoko barani Afrika wa kampuni Kanada, Solar ship inc ametoa scholarship kwa ajili ya watanzania kujifunza kuongoza gari solar zinazopaa. Pia Makamu Lema...
  9. Myahudi Jr II

    JamiiForums Tanzania Canada yahitaji zaidi watu (soma)

    Habari wana Jamii Forums, Leo napenda kuwashirikisha ndugu zangu ninyi mambo kadha wa kadha juu ya uhamiaji. Najua Tanzania tuna watu wengi sana wanapenda kufanya kazi nje, pia ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa sana kwa nchi yetu, na pia hata walioajiriwa bado hawana tofauti na wasiyo na ajira...
  10. ndiuka

    JamiiForums Tanzania Wachunguzi wa Ufaransa, Canada na Italia wawasili kusaidia uchunguzi ajali ya Precision Air

    Taarifa ya Kamishna Mkuu wa Ufaransa Nabil Hajlaoui inasema timu kutoka Ofisi ya Uchunguzi na Uchambuzi wa Usalama wa Usafiri wa Anga ya Ufaransa itasaidia katika uchunguzi wa ajali hiyo. Tayari timu nyingine ya washauri wa kiufundi kutoka kampuni ya Franco-Italia, ATR, imewasili nchini...
  11. ommytk

    JamiiForums Tanzania Bado na Ndoto ya kwenda kuishi Canada

    Wadau habari za jamvini mimi naomba msaada kwa yoyote mwenye imani ambaye anaweza kunipa tips za kwenda Canada kupambana uko kimaisha kama hauna lolote unalojua kaa pembeni subiri ujadili mengine
  12. J

    JamiiForums Tanzania Visit visa ya canada 🇨🇦

    Habari wakuu, Naomba msaada wa kujua je, unaeza pata visit visa ya Canada then ukifika nchini humo ukapata kaz ukabidili kuwa work. Naombeni mchango wenu kwenye hili ni muhimu sana.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kubadili VISA ya Canada

    Habari wakuu, Naomba msaada wa kujua je, unaeza pata visit visa ya Canada then ukifika nchini humo ukapata kaz ukabidili kuwa work. Naombeni mchango wenu kwenye hili ni muhimu sana.
  14. BARD AI

    JamiiForums Tanzania UPDATE: Mshukiwa wa mauaji ya watu 10 kwa Kisu akutwa amefariki

    UPDATES: Polisi wamethibitisha kuwa mwili wa Damien Sanderson, mmoja kati ya washukiwa wawili waliohusika na mauaji siku ya Jumapili huko Saskatchewan umepatikana katika eneo la James Smith Cree Nation. Kwa mujibu wa taarifa ya Polisi, washukiwa hao wawili ni ndugu na tahadhari imetolewa kuwa...
  15. Breaking bad

    JamiiForums Tanzania Kwanini Ufaransa, Canada, Ujerumani zipo NATO?

    Mataifa haya makubwa yana uwezo wa kujitegemea wenyewe. Kwa nini yasingeamua kuwa neutral kijeshi na kuamua kujiunga na NATO ambapo kwa namna moja ama nyingine ni kama kuwa chawa wa marekani?? ikizingatiwa kuwa ufaransa iliwahi kujitoa,ilikuwa na ulazima gani wa kurudi mara ya pili...
  16. Myahudi Jr II

    JamiiForums Tanzania Hatimae leo nimetua Toronto Canada

    Habari Watanzania Wenzangu, Naamini zoezi la Sensa linaendelea hapo nyumbani.... Walisema Wahenga Mungu hamtupi Mja wake, mimi ni mmoja wa watu wanaoamini mafanikio ya mbali na nyumbani, si kwasababu nyumbani hapafai, hapana bali ni imani ambayo ukiwa mbali na nyumbani akili inafanya kazi mara...
  17. Yussuf senga7

    JamiiForums Tanzania Nimetafutiwa kazi Canada, naomba ushauri wa namna ya kufika

    Mimi sio mwandishi mzuri sna ila ninaomba ushauli nina ndugu yangu anaishi Canada kanitaftia kazi ya delivery sijawai fika. Naomba mwenye uzoefu wa kusafiri na ni nchi gani nikienda itakua raisi mimi kwenda Canada sina pesa za kunitoa hapa Tz mpk Canada.
  18. EINSTEIN112

    JamiiForums Tanzania Canada waruhusu turbines sita kurudishwa Urusi

    The Canadian government made an exception to repair not one, but six Nord Stream turbines, for Germany, The Globe and Mail reported on July 13, citing two sources in the government. Canada's decision to return a turbine for the Nord Stream pipeline to Germany has turned out to be a wider...
  19. mkalamo

    JamiiForums Tanzania U.S. pushed Canada, Mexico to stop imports of Chinese goods produced by Uyghur slave labour

    The United States is pushing its North American economic partners to clamp down on imports of Chinese goods produced by Uyghur slave labour. U.S. Trade Representative Katherine Tai met with Canadian Trade Minister Mary Ng and their Mexican counterpart in Vancouver on Friday to discuss the...
  20. S

    JamiiForums Tanzania Ujerumani yaipigia magoti Canada irejeshe injini (ipo kwenye vikwazo) ya mitambo ya gesi ya Urusi Ujerumani, ili kuiokoa Ujerumani na uhaba wa gesi

    EU+NATO washindwa tena ktk kutekeleza vikwazo walivyokubaliana na kuviweka wao wenyewe juu ya kuminya matumizi ya gesi ya Urusi ili kuipunguzia Urusi pesa ipatazo toka kwenye biashara hiyo. Mabeberu waliweka vikwazo ktk vipuri vya miundombinu ya gesi. Ujerumani ilipeleka injini fulani Canada...
Back
Top Bottom