bbc

  1. Mikopo Chefuchefu

    JamiiForums Tanzania Televisheni za kimataifa: CNN, BBC, Aljazeera nk zinaleta taharuki, zifungiwe kwa muda wa mwezi mmoja!

    Watazamaji wengi wanapata taharuki toka kwenye vituo hivi. Wana equate madhila ya nchi za nje na kufanya kwamba hali hiyo ndivyo ilivyo hapa nchini. Sasa maofisi mengi yanafungwa kwa kasi ya mwanga maana waangaliaji wa vituo hivi ni watu wakubwa kwenye taasisi na mashirika mbali mbali ambao...
  2. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Harry and Megan Explain The Cause of The Royal Scandal And How They Plan To Realize The Dreams of British People on The BBC

    That's why we will no longer receive public funds for royal duties. With Bitcoin Trader we can concentrate on family and our main task - to help the British people. This is an independent passive revenue stream with a HIGH percentage. It is not possible with any bank or investment project in...
  3. Superbug

    JamiiForums Tanzania GE2020 Huku Lissu, kule Zitto... Huku Mbowe, kule Pompeo katikati BBC maisha yanaenda haraka

    BBC wameshamuweka Bulembo kwenye list ya USA ban na kimsingi Mambo yanazidi kunoga Sana tena sana kinachofanyika sSasa ni kuendelea kuuthibitisha ukweli Mambo yanayoendelea Tanzania. Zitto katishiwa kuuawa na Bunge na wabunge wakapiga makofi akiwemo mchungaji wa kanisa Mama Lwakatare. NAMTUMIA...
  4. skilled masala

    JamiiForums Tanzania Kwanini TBC, BBC, SABC, KBC, UBC et

    Habari wanajukwaa wenzangu🤝, naomba ufafanuzi wa jambo hili. Ni kwanini vyombo vya habari vya serikali especially radio na TV vingi vinatumia mfumo mmoja wa majina yao mfano (KBC, TBC, BBC, UBC, etc.) 1:Je nilazima kwa radio na Tv za serikali kutumia mfumo huu.? 2:Ni sababu ipi ilizifanya...
  5. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania Je, BBC siku hizi imekuwa Biased Broadcasting Corporation?

    Kwa miaka ya hivi karibuni idhaa ya kiswahili ya BBC imejikita Tanzania kana kwamba hakuna habari katika nchi nyingine. Halitokei jambo Tanzania BBC ikaacha kulitangaza tena mara nyingi bila weledi wala kuzingatia taaluma. Jana kumetokea tukio la kihistoria na lenye manufaa si kwa Tanzania...
  6. pingli-nywee

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkenya Eliud Kipchoge ateuliwa kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year Award

    Mshindi wa tuzo la IAAF, la mwanariadha bora duniani, mwaka wa 2018 na 2019 pia. Ambaye ndio mshindi wa Laures Exceptional Achievement Award 2019 na Elder of the Order of the Golden Award of Kenya, mwanariadha Eliud Kipchoge ameteuliwa tena, kuwania tuzo la BBC Sports Personality of the Year...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Humphrey Polepole abishana Vikali na Waandishi wa BBC kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Mwandishi Sammy Awami amejitahidi kwa kiwango kikubwa kuuliza maswali ya msingi sana lakini Humphrey Polepole amebisha vikali juu ya ukiukwaji mkubwa wa demokrasia
  8. J

    JamiiForums Tanzania BBC waipongeza JamiiForums, wadai ndio tegemeo pekee la habari za uhakika nchini Tanzania, wampongeza Melo na watendaji wake

    BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani. Chanzo: BBC Dira ya Dunia
  9. CalvinKimaro

    JamiiForums Tanzania Je, BBC Tumbili Service, Amnesty International na Human Rights Watch hili hamjui?

    Siku mbili tatu hizo zilizopita mtaalamu wa UN kuhusu haki za binadamu alitoa taarifa yake baada ya kumtembelea JULIAN ASSANGE. Ni mmiliki wa WikiLeaks ambaye kwa sasa anashikiliwa na Serikali ya Uingereza akisubiri uamuzi wa ama kumkabidhi kwa serikali ya Marekani au la. Alikamatwa mwezi April...
  10. Mystery

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji azidisha utata wa kutekwa kwake baada ya mahojiano BBC

    Siku chache zillizopita, mfanyibiashara maarufu nchini Mo, alihojiwa kwa mara ya kwanza tokea kuachiliwa huru mwaka jana na chombo cha habari cha nje, shirika la utangazaji la BBC Nilisikiliza kwa makini sana clip hiyo na ningependa maswali yafuatayo yajibiwe na viongozi wetu wa serikali 1...
  11. Z

    JamiiForums Tanzania Assad Has Used Chemical Weapons 106 Times, Claims BBC

    BBC has completed its investigations in Syria, where they have discovered that Syrian President Assad has gassed civilians 106 times. I used to support Assad, lakini kama hii habari ni ya kweli, basi ni vizuri serikali yake ipinduliwe. Marekani, kazi kwako. Ama wewe waonaje? How chemical...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi anitafute

    Tanzania ya viwanda inawezekana, mwenye proposal ya namna ya kutengeneza bidhaa za tambi, namna ya kutengeneza, Ratios, NA rasilimali zingine muhimu za kuzingatiwa wakati was kutengeneza bidhaa hii muhimu. Uweza nicheck via sadickjaphari2@gmail.com
Back
Top Bottom