Je, BBC siku hizi imekuwa Biased Broadcasting Corporation?

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Kwa miaka ya hivi karibuni idhaa ya kiswahili ya BBC imejikita Tanzania kana kwamba hakuna habari katika nchi nyingine. Halitokei jambo Tanzania BBC ikaacha kulitangaza tena mara nyingi bila weledi wala kuzingatia taaluma.

Jana kumetokea tukio la kihistoria na lenye manufaa si kwa Tanzania pekee bali kwa nchi zote za kiafrika zilizobarikiwa utajiri wa madini. Serikali imefikia makubaliano na moja ya makampuni makubwa kabisa duniani ambapo mkataba umeingiwa kumaliza uporaji dhahabu ya Tanzania.

Vyombo mbalimbali vya kimataifa ambavyo hata panya akifa Tanzania vinafanya ni habari kuu vyote kimya kulikoni?

Hatuwasikii BBC, VOA wala DW!

Lakini subiri punda achakatwe Tanzania usikie taarifa zao!

Lakini hakuna ambao wamegeuza Tanzania ndio habari yao kuu kuliko BBC! Hata mwakilishi wao ambaye huwa na kiherehere kutangaza mpaka vifo kimya! Kimya chao ni ushahidi tosha siku hizi wao ni BIASED BROADCASTING CORPORATION.
 
Ukiona hivyo hiyo sio habari. Hawana tabia ya kuwalisha wasikilizaji wao habari ya uongo Tbc ilitangaza lakini mubashara na vpindi maalum kwenye marudio..
 
Kwa miaka ya hivi karibuni idhaa ya kiswahili ya BBC imejikita Tanzania kana kwamba hakuna habari katika nchi nyingine. Halitokei jambo Tanzania BBC ikaacha kulitangaza tena mara nyingi bila weledi wala kuzingatia taaluma.

Jana kumetokea tukio la kihistoria na lenye manufaa si kwa Tanzania pekee bali kwa nchi zote za kiafrika zilizobarikiwa utajiri wa madini. Serikali imefikia makubaliano na moja ya makampuni makubwa kabisa duniani ambapo mkataba umeingiwa kumaliza uporaji dhahabu ya Tanzania.

Vyombo mbalimbali vya kimataifa ambavyo hata panya akifa Tanzania vinafanya ni habari kuu vyote kimya kulikoni?

Hatuwasikii BBC, VOA wala DW!

Lakini subiri punda achakatwe Tanzania usikie taarifa zao!

Lakini hakuna ambao wamegeuza Tanzania ndio habari yao kuu kuliko BBC! Hata mwakilishi wao ambaye huwa na kiherehere kutangaza mpaka vifo kimya! Kimya chao ni ushahidi tosha siku hizi wao ni BIASED BROADCASTING CORPORATION.
Ingekuwa inamsifia jiwe ungekuja kuisifu kwa nyimbo na mapambio. Lakini kwa kuwa inamsema kwa tabia zake halisi unakuja kulialia BBC iko biased.
 
Kuna kitu kinatafutwa Tanzania amini usiamini, kuna kitu wanakita huku wakijificha kwenye mwamvuli wa kupigania haki za binadamu na Democracy.
Huoni hapo wanashupalia haki ya watoto kupata mimba shuleni.?
 
Kwa miaka ya hivi karibuni idhaa ya kiswahili ya BBC imejikita Tanzania kana kwamba hakuna habari katika nchi nyingine. Halitokei jambo Tanzania BBC ikaacha kulitangaza tena mara nyingi bila weledi wala kuzingatia taaluma.

Jana kumetokea tukio la kihistoria na lenye manufaa si kwa Tanzania pekee bali kwa nchi zote za kiafrika zilizobarikiwa utajiri wa madini. Serikali imefikia makubaliano na moja ya makampuni makubwa kabisa duniani ambapo mkataba umeingiwa kumaliza uporaji dhahabu ya Tanzania.

Vyombo mbalimbali vya kimataifa ambavyo hata panya akifa Tanzania vinafanya ni habari kuu vyote kimya kulikoni?

Hatuwasikii BBC, VOA wala DW!

Lakini subiri punda achakatwe Tanzania usikie taarifa zao!

Lakini hakuna ambao wamegeuza Tanzania ndio habari yao kuu kuliko BBC! Hata mwakilishi wao ambaye huwa na kiherehere kutangaza mpaka vifo kimya! Kimya chao ni ushahidi tosha siku hizi wao ni BIASED BROADCASTING CORPORATION.
Hili limenishangaza sana hata sikuamini yani maadui ni wengi kuliko marafiki hata hao marafiki kidogo wamebase kwenye uadui habarlr mbaya zao wakwanza kuziona habr nzur hawazion wanafik wengisana.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom