skilled masala
Senior Member
- May 2, 2019
- 118
- 158
Habari wanajukwaa wenzangu🤝, naomba ufafanuzi wa jambo hili.
Ni kwanini vyombo vya habari vya serikali especially radio na TV vingi vinatumia mfumo mmoja wa majina yao mfano (KBC, TBC, BBC, UBC, etc.)
1:Je nilazima kwa radio na Tv za serikali kutumia mfumo huu.?
2:Ni sababu ipi ilizifanya radio na TV za baadhi ya nchi kubadili majina yao kuja kwenye mfumo huu mfano RTD to TBC.?
3:Je inaruhusiwa kwa Radio na Tv za watu binafsi au mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata mfumo huu.? Mfano ( *Malema broadcasting corporation _MBC_*)
Naombeni majibu ya maswali haya please kama hamtojali🤝
Ni kwanini vyombo vya habari vya serikali especially radio na TV vingi vinatumia mfumo mmoja wa majina yao mfano (KBC, TBC, BBC, UBC, etc.)
1:Je nilazima kwa radio na Tv za serikali kutumia mfumo huu.?
2:Ni sababu ipi ilizifanya radio na TV za baadhi ya nchi kubadili majina yao kuja kwenye mfumo huu mfano RTD to TBC.?
3:Je inaruhusiwa kwa Radio na Tv za watu binafsi au mashirika yasiyo ya kiserikali kufuata mfumo huu.? Mfano ( *Malema broadcasting corporation _MBC_*)
Naombeni majibu ya maswali haya please kama hamtojali🤝