bak

  1. R

    Ndugu yetu BAK amepotelea wapi humu JF?

    Siku nyingi simuoni kupost humu! Yuko wapi BAK?
  2. Grand Canyon

    Changamoto za kutahiri ukubwani

    Nilitahiriwa nikiwa na miaka 30 tena nikiwa nimeoa tayari. Ilikuwa shida sana, ngoma inaweza kudinda with no apparent reason, sasa zile nyuzi zikivuta ni maumivu makali kweli kweli. Nilijuta kwa nini niliamua kufanya tohara. It was a sruggle! what about you?
  3. Sanyambila

    SWALI FIKIRISHI: Kwanini CCM wanawalaumu Wapinzani huku wao ndo watawala kwa miaka 59

    Wanajamii habari! Kumezuka kasumba ya wanasiasa hasa wa CCM wakilalamika na kusikitika huku wakidai vijana mmekosa ajira sasa nipeni kura nitatoa ajira. Huku CCM ndo wamekaa madarakani miaka 59 wakitoka TANU hadi CCM. Mgombea wa urais amesikika Mara kadhaa akisema '' chagueni CCM vyama vingine...
  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake

    Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake. Madhara 14 ya dawa za kupanga uzazi ambayo madaktari huwaficha wanawake Wasichana na wanawake hutumia tembe za kupanga uzazi nyakati ambapo wameshiriki ngono bila kinga na wanahofia kuwa wanaweza kupata uja uzito ambao...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wamerakani wataka Rais Magufuli aje kuwaongoza na Rais Trump aje kuongoza Tanzania

    WANANCHI WA MAREKANI WANAWAOMBA WANANCHI WA TANZANIA WABADILISHANE UONGOZI WAMAREKANI WANAMTAKA RAIS MAGUFULI AWE RAIS WAO AENDE KUIONGOZA MAREKANI. NA RAIS TRUMP AJE KUIONGOZA TANZANIA. .JE WATANZANIA MUTAKUBALI KUONGOZWA NA RAIS TRUMP? 👇😅😂🤣😍👇
  6. K

    Corona imekuwa mradi wa Serikali au Mradi wa watu? Wanaowekwa karantini walalamikia bei kubwa ya hoteli wanazopelekwa

    Baadhi ya Wasafiri waliofika Uwanja wa Ndege wa Dar na kutakiwa kujiweka Karantini kwa gharama zao wakilalamika kuwa wametakiwa kukaa hoteli zenye gharama Wasafiri hao wameomba msaada kwa Mamlaka hususan Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kwani wametakiwa kukaa katika hoteli za Southern Sun, Rungwe...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    #COVID19 Njia ya kujikinga na mlipuko wa virusi vya homa ya mapafu au Coronvirus

    NJIA YA KUJIKINGA NA MLIPUKO WA VIRUSI VYA HOMA YA MAPAFU AKA CORONAVIRUS 1) Njia ya Kwanza Kaa nyumbani hiyo ndio njia kubwa ya kujikinga na huo Mlipuko wa mambukiz ya homa ya Mapafu Ukikaa nyumbani utakuwa umejilindana Maradhi. 2) Njia kuu ya pili unapotka nje ya nyumba Tafadhali vaa Mask...
  8. Analogia Malenga

    Dar: Barabara ya Jangwani yafungwa kutokana na mvua zinazoendelea

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mlipuko wa maradhi ya homa ya mapafu corona virus duniani kote

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa Homa Kali ya Mapafu naosababishwa na Virusi vya Corona unaoenea kwa kasi duniani, Tanzania sio kisiwa Naomba wote tufanye yafuatayo ili kuchukua hatua mapema: 1. Wahi kununua Mask kwa familia, mlipuko ukianza hizo Mask hazitaweza kupatikana kiurahisi 2. Nunua...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Mnanipa ushauri gani kuhusu huyu mbwa?

    Aka kambwa toka nikanunue hakabweki kabisa! sijui Tatizo litakua nini wadau
  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    MAMA NA MAISHAHISTORIA YA UKWELI KABISA SOMA UPATE ELIMU

    Mama ni Maisha. Picha ya kweli baada ya operation iliyodumu kwa masaa 7. Mtoto aliyezaliwa yupo mikononi mwa Mama yake, na upande wakulia ni daktari akiwa analia kwa uchungu sana.! Uyo Mama alikuwa anasumbuliwa na maradhi kwa zaidi ya miaka 11, ikafika wakat akakata tamaa kabisa yakuja kupata...
  12. R

    Afande Mambosasa Umetahadhalisha na upotoshaji wa matumizi ya neno utekaji, kuhusiana na Tito Magoti kuwa hakutekwa; Utekaji ni nini?

    Abduction: NOUN The action or an instance of forcibly taking someone away against his will. eg ‘they organized the abduction of Mr. Tito Magoti on his way to the LHRC offices’ ; ‘abductions by armed men in plain clothes’. Najiuliza, Does the above definition match yesterday's action in...
  13. FRANC THE GREAT

    WhatsApp kusitisha huduma kwa mamilioni ya simu (Smartphones)

    Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani. Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook iliweka wazi katika ukurasa wake wa msaada, simu za mikononi ambazo hazitaweza kupata programu hiyo...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Madhara ya kutumia vidonge vya Viagra

    MADHARA YA KUTUMIA VIAGRA AU VEGA ( Sildenafil)? viagra au vega,ni dawa inayotumika sana miongoni mwa wanaume kwa lengo la kuongeza uwezo wao wa kufanya mapenzi ( sex),dawa hizi mara nyingi zinatumiwa na watu wenye matatizo katika mfumo wa uzazi yaani wasioweza kusimamisha vizuri kiungo cha...
  15. assadsyria3

    BAKWATA Watoe tamko umri wa mtoto kuolewa

    BAKWATA wasing'ang'anie kutoa habari za mwezi tu na kama wanavodai wao huwatetea waislamu wote. Suala la kulazimisha ndoa mpaka miaka 18 ni kinyume na imani ya dini. Mtu akibaleghe hio ndio alert kuwa mtu husika ameanza kua mtumzima. Tunaomba mtoe tamko immediately kabla hukumu haijapoa.
  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    Utajiri aliouacha Mzee Mugabe usipime...

    WAKATI Zimbwabwe na Afrika nzima ikiendelea kuomboleza msiba wa kiongozi wake shupavu, Rais wa pili wa nchi hiyo, Robert Gabriel Mugabe (95), Gazeti la Ijumaa Wikienda linakujuza mengi zaidi ya kiongozi huyo ikiwemo utajiri wake. Mugabe alifariki dunia Septemba 6, mwaka huu nchini Singapore...
  17. S

    Ukuaji na ukomavu wa #MfumoMagufuli - mumeanza kuelewa?

    wakuu wanabodi nawasalimu. umepita muda kidogo sijashiriki mjadala humu lakini yote yako powa kabisa na sijatekwa kama wangine walivyodhani. tuko bize na safari ya kuhamia dodoma. miezi kama 6 hivi imepita niliandika mada kuhusu ujenzi wa #MfumoMagufuli au #MfumoJiwe. mada iko kwenye uzi huu...
Back
Top Bottom