WhatsApp kusitisha huduma kwa mamilioni ya simu (Smartphones)

FRANC THE GREAT

JF-Expert Member
May 27, 2016
5,416
7,828
Hivi karibuni WhatsApp itasitisha programu yake kwa mamilioni ya simu baada ya kutangaza kwamba programu hiyo itaacha kufanya kazi katika simu za zamani.

Kampuni hiyo inayomilikiwa na Facebook iliweka wazi katika ukurasa wake wa msaada, simu za mikononi ambazo hazitaweza kupata programu hiyo, ikidai hatua hiyo inahitajika kuhakikisha usalama wa watumiaji wake.

Matoleo mbalimbali ya simu za Android, iPhone na Windows zitaathiriwa pale huduma ya programu hiyo itakapositishwa rasmi tarehe 1 Februari, 2020.

WhatsApp haitafanya kazi tena kwenye iPhones zozote zinazoendesha kwa mfumo wa iOS 8 au kabla ya huo, ambao ulizinduliwa na Apple mnamo 2014. Hii inamaanisha mtu yeyote aliye na iPhone 6 au mpya ya hiyo hatahitaji kuwa na wasiwasi juu ya kupoteza WhatsApp.

Simu za Android zinazotumia toleo la zamani kuliko 2.3.3, pia likijulikana kama Gingerbread hazitawezeshwa tena na programu ya WhatsApp na mtu yeyote atakayejaribu kufungua akaunti mpya au kuhakiki akaunti iliyopo kwa kutumia matoleo ya zamani ya Android atazuiwa.

Simu za Windows zinazoendeshwa na mfumo wa uendeshaji wa Windows 8.1 au zaidi zitaendelea na huduma ya WhatsApp kwa kutumia programu hiyo.


1576020144902.png


Chanzo: Independent UK
 
Facebook tu ndio haibagui watumiaji nandio mtandao unaoongoza kuwa nawatu wengi kama ni hivyo sasa huyu mark apagawa na nn kilamiaka anaupgrade tu hii whatsapp kwann asitulie kama alivyo ituliza FB.
 
Facebook tu ndio haibagui watumiaji nandio mtandao unaoongoza kuwa nawatu wengi kama ni hivyo sasa huyu mark apagawa na nn kilamiaka anaupgrade tu hii whatsapp kwann asitulie kama alivyo ituliza FB.
Hiyo yote ni kwaajili ya usalama wa wewe mtumiaji.

Na pia, katika kukupatia huduma wewe mtumiaji wa mwisho wa mitandao ya kijamii, kunakuwa na utofauti huo wa hapa na pale.

Kunakuwa na Platforms tofauti tofauti ili angalau kukidhi mahitaji ya kila mtumiaji.
 
WhatsApp will soon stop working on millions of phones after the messaging app announced it will stop supporting older devices.

The Facebook-owned company revealed on its support page which smartphones would no longer be able to access the app, claiming the move was necessary to ensure the security of its users.

Various versions of Android, iPhone and Windows Phone are affected, with the official support period ending on

WhatsApp will no longer work on any i Phones running iOS 8 or earlier, which was first introduced by Apple in 2014. This means anyone with an iPhone 6 or newer will not need to worry about losing WhatsApp.

“For the best experience, we recommend you use the latest version of iOS available for your phone,” WhatsApp said in a blog spot.

Android phones using an older version than 2.3.3 – also known as Gingerbread – will also no longer be supported and anyone attempting to create a new account or verify an existing account using older Androids will be blocked.

Android Gingerbread came out in 2010, so nearly a decade’s worth of Samsung, Huawei, Sony and Google smartphones are safe from the cull.

Windows Phones running the mobile operating system Windows Phone 8.1 or beyond will continue to be supported by WhatsApp.

Any WhatsApp users affected could theoretically update their OS in order to continue using WhatsApp, however many older phone models will either have difficulty running newer operating systems, or will simply not allow them to be installed.

It is not the first time WhatsApp has ended support for older phones and has previously described it as a “tough decision” to cut off users for the sake of safety and functionality.


WhatsApp to stop working on millions of phones.jpeg
 
Mi nina lollipop hapa na nimejipanga kutonunua simu ingine kwa huo mwaka unaokuja, hala hala wasije wakapindua sheria nikawa mhanga
 
Tutadownload Telegram wabakie na WhatsApp yao
Wanalazimisha watu wanunue matoleo mapya
Kuna wajanja watakuja na mbadala
Owner wa Facebook Insta WhatsApp amekuwa na tamaa mbaya kha
 
Hapo labda kwa hao wenye iphone 5 kurudi chini lakini kwa android sidhani kwa sababu matoleo ya android kwa sasa sidhani kama yupo bado ananiliki simu yenye gingerbread..
Wengi wanaotumia android kwa miaka hii wanaanzia android KIT KAT na kuendelea...
 
Tutadownload Telegram wabakie na WhatsApp yao
Wanalazimisha watu wanunue matoleo mapya
Kuna wajanja watakuja na mbadala
Owner wa Facebook Insta WhatsApp amekuwa na tamaa mbaya kha
Kimeo changu cha tangu mwaka 2016 nilipokitoa dukani, kwa sasa hakisupport Twitter na sitarajii kununua kingine kwa siku za karibuni.

WhatsApp waendelee na ujinga wao hawawezi kunikwamisha
 
Back
Top Bottom