Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,008
- 9,873
Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 10:15 jioni kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam
Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na usafiri wa DART mpaka Kimara na sehemu nyingine za Jiji
Kwa wasafiri wanaoelekea Posta kutoka Kimara, tunawashauri kuchukua mabasi ya DART mpaka Morocco ambapo wanaweza kuchukua usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Posta, Kariakooo na sehemu nyingine za Jiji
ZINGATIA: Nawa mikono kabla ya kuingia kwenye Basi, Panga foleni ukiwa kituoni kwa kuingia kwenye Basi, Usiingie kwenye Basi kwa kugombania, Subiri Basi linalofuata endapo Basi iliyopo imejaa, Bila kunawa mikono kwa sabuni au dawa, hautaruhusiwa kuingia kwenye Basi
Wasafiri wanashauriwa kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza kuendelea na usafiri wa DART mpaka Kimara na sehemu nyingine za Jiji
Kwa wasafiri wanaoelekea Posta kutoka Kimara, tunawashauri kuchukua mabasi ya DART mpaka Morocco ambapo wanaweza kuchukua usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Posta, Kariakooo na sehemu nyingine za Jiji
ZINGATIA: Nawa mikono kabla ya kuingia kwenye Basi, Panga foleni ukiwa kituoni kwa kuingia kwenye Basi, Usiingie kwenye Basi kwa kugombania, Subiri Basi linalofuata endapo Basi iliyopo imejaa, Bila kunawa mikono kwa sabuni au dawa, hautaruhusiwa kuingia kwenye Basi