Siku nyingi simuoni kupost humu! Yuko wapi BAK?
We were close JF friends. alijitokeza baada ya uzi uliousema. Akasema alikuwa mbali kidogo. Then akawa active member! sasa kapotea tenaUzi huu kumwulizia ulifungwa:
Hairleweki kuna nini nyuma ya pazia.
Bado yuko mbali kidogo, hata hivyo JF of GT's haipo tena kumebaki mtukanano tu.We were close JF friends. alijitokeza baada ya uzi uliousema. Akasema alikuwa mbali kidogo. Then akawa active member! sasa kapotea tena
umemaliza kazi, asante. kweli humu ni kutukanana tu. Watoto wengi sana tofauti na zamani.Bado yuko mbali kidogo, hata hivyo JF of GT's haipo tena kumebaki mtukanano tu.
wewe ni kuku block maana hakuna la kusoma la maana toka kwako. BLOCKED!Ukiona mropokaji wa chadema yupo kimya juu yupo kulamba asali
CAN WE SPECULATE KUWA JF INAPOTEZA MVUTO? SIDHANI , BADO JF NI KIMBILIO LA KUSEMA UKWELI!Na Mkandara na Mzee Mwanakijiji siku hizi siwaoni
!!!!!!!! kwa Post zipi zenye hoja! Kula tunda kimasihara?CAN WE SPECULATE KUWA JF INAPOTEZA MVUTO? SIDHANI , BADO JF NI KIMBILIO LA KUSEMA UKWELI!
Kutukanana ni kwenye JF ya majukwaa gani? Itakuwa JF au majukwaa tofauti siyo haya anayopita mama Samia na kumwaga sifa.Bado yuko mbali kidogo, hata hivyo JF of GT's haipo tena kumebaki mtukanano tu.
JF ni mkusanyiko wa watu wengi mno kuhalalisha specific speculation kama hiyo.CAN WE SPECULATE KUWA JF INAPOTEZA MVUTO? SIDHANI , BADO JF NI KIMBILIO LA KUSEMA UKWELI!
Sasa hivi JF inaakisi Taifa zima na tabia zake.CAN WE SPECULATE KUWA JF INAPOTEZA MVUTO? SIDHANI , BADO JF NI KIMBILIO LA KUSEMA UKWELI!
!!!!!!!! kwa Post zipi zenye hoja! Kula tunda kimasihara?
Soma #6 na #8 utakubaliana na nilichoanza kusema.
CAN WE SPECULATE KUWA JF INAPOTEZA MVUTO? SIDHANI , BADO JF NI KIMBILIO LA KUSEMA UKWELI!
JF haijapoteza mvuto, still members wanajiunga kila uchwao.Bado yuko mbali kidogo, hata hivyo JF of GT's haipo tena kumebaki mtukanano tu.
Well said! sasa hata mama ntilie anaweza access JF! It is only elites as you have put it, had smartphones, computers etc by then!Sasa hivi JF inaakisi Taifa zima na tabia zake.
Mwanzoni ilipoanza ilikuwa inaakisi kikundi kidogo cha "Elites" waliokuwa na access ya internet.
Halafu watu huja, na kutoweka kisha wakaja wengine. Kwa hiyo tutegemee kuona baadhi ya watu wakipotea/phasing out, kisha wakaja wengine mpaka tekinolojia mpya itakaporeplace JF
How do you do it? Kwa mfano MMU huwa siitakiHumu JF kuna majukwaa ukiamua kabisa usione post zake, unaweza.
😅😅😅😅 Mkuu kwann tena huitaki MMU? Uwepo wako ni muhimu sana mkuuHow do you do it? Kwa mfano MMU huwa siitaki
He was one of the prominent figures on JF!Tukirudi kwenye issue ya BAK, I'd yake hata ukijaribu kuitag haitokei, ni kama vile mtu aliyepigwa ban, ila hajapigwa ban. Ukituma advanced search unampata. Hayupo active since 2021. Labda @Maxence Melo na @Moderator eatoe ufafanuzi kuhusu hii ID